Kwanini wanawake wa aina hii hawaolewi?

Kwanini wanawake wa aina hii hawaolewi?

Na mara nyingi sana wasomi wakubwa hupenda kuoa form four leaver halafu wale wa kawaida sana kwa uzuri. Nina rafiki yangu kipenzi baba yake ni profesa lakini mama yake ni form four failure. Juzi pia nimemtembelea Mwanafunzi wangu ambaye baba yake ni profesa , mama yake alivyo HUWEZI amini kama ni mke wa profesa. Kifupi wanawake Wazuri, wanawake wa kidigitali na wanawake wasomi ni wa kulamba tu wengi sio wife materials.
Kweli kabsaa mimi nishuhuda wa hilo aisee yupo prof wetu hapa chuon kwetu kaoa mdada wa form four tena ni mama wa nyumbani halafu ni mzur kinoma
 
Nilishangaa nilipoenda shule moja nikakuta kati ya walimu wanawake 15 waliolewa ni wawili tu

Wengi wameishiwa kuzalishwa tu. nilijiuliza sana .watu sijui wanawachukuliaje wanawake walioenda shule

Tatizo la wanawake wasomi Kujifanya wajuaji kwenye kila kitu.Kukusoa mbele za watu haoni haja anakuabisha mchana kweupe hasa kwa watu kama sisi tulioshia la 2 B
Walimu wa kike hasa shule za msingi na sekondari. Wanaume tukisikia jina mimi ni mwl basi tunaamini huyu atakua mpole, anajua kelea, mvumilivu, ana lugha nzuri. Ukishamuoa na kuweka ndani unakuta yupo tofauti na ulivyo tarajia. Unakuta ni malaya, mlevi, domo chafu nk basi unaamua kupiga chini.

Ndio maana walimu wengi wa kike ni ma single mom.
 
Back
Top Bottom