bora lile la kwanzaLiwekee KyGel
Kama vile hataki kumbe anataka huyu hata umpe kadi ya kipaumbele kwenye harusi aje haji maana anaumia sanaUtakua nesi au dereva?![]()
![]()
![]()
Pole sana.
Umeongea kwa hisia mpaka nimekuhurumia.
BTW siyo wote ambao hatuna njema bali baadhi ya wanaume tu wanaotuchafulia CV.
naomba hela basiMsumali wa moto umepenya...Wewe fuata yako mkuu! Kutokuolewa kwetu ina hasara ganikwako?
Pole mkuu, utaolewa ni suala la muda tu.Wewe fuata yako mkuu! Kutokuolewa kwetu ina hasara ganikwako?
HayaPole mkuu, utaolewa ni suala la muda tu.
Nakusubiri![]()
![]()
![]()
Nakujaa
kweli mkuu,mimi nina jirani yangu nyumba ya pili hapa ni Dr.Et analala pekee yake!!!!
Angalia hasikuhamshie dude.na yeye anaweza akaw mmoja wao
Kisu kimegonga mfupaMbona jibu kavu hivi.
Lazima usikie kelele.Kisu kimegonga mfupa
