Dr leader
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 1,046
- 1,349
- Thread starter
- #101
Ni kweliWanaume wa kiafrika asili yao ni kugandamiza wanawake kila kitu aamue yeye mali azifuje, tendoo la ndoa apange yeye , chakula kizuri apewe yeye.
Wanawake walioenda shule na wasomi wengi wamefundishwa haki za wanawake kupitia mfumo wa nchi za kimagharibi hivyo wanajitambua halafu wamejikomboa kiuchumi wana sauti ya ukombozi kupitia pesa zao hivyo hawapendi kubabaishwa na kiumbe mwingine.
Si kwamba hawapendi mahusiano la , ila wanaume wenyewe hukosa kujiamoni na kujiweka mnyonge akitaka mwanamke ambembeleze kila muda na kusahau kwamba nae ni jukumu lake so manzi anaona kama anazingua anampotezea na kutafuta mwingine. Ukiwa na pesa hakuna kinachoshindikana vijana wanapenda mserereko wanajipeleka wenyewe.
So maisha ya wanawake wasomi huenda kimtindo huo, hayataki stress, jamii inawanyanyapaa na wao wanashika 50 zao.
Hawapend kujishusha,wanataka kuwa last say, nobody last them, nobody after them
