Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,727
- 3,139
Walinzi hao, siku akienda kulisha mbuWanajeshi umewaonea kabisa mbona safi sana na nidhamu nzuri kabisa
Cjui mnaita lindo mwanaume unalala peke yako. Cwez oa mtu mwenye asili ya uaskari.
Walinzi hao, siku akienda kulisha mbuWanajeshi umewaonea kabisa mbona safi sana na nidhamu nzuri kabisa
inferiority complexNa mara nyingi sana wasomi wakubwa hupenda kuoa form four leaver halafu wale wa kawaida sana kwa uzuri. Nina rafiki yangu kipenzi baba yake ni profesa lakini mama yake ni form four failure. Juzi pia nimemtembelea Mwanafunzi wangu ambaye baba yake ni profesa , mama yake alivyo HUWEZI amini kama ni mke wa profesa. Kifupi wanawake Wazuri, wanawake wa kidigitali na wanawake wasomi ni wa kulamba tu wengi sio wife materials.
Oohh! Sorry which name should I use?Wanawake wasioolewa hawaitwi bachelors!!
Njoon ww na yeye niwaweke ndaniMume wangu Kaboom unataka akuoe nawewe?
Kwani wewe ujaolewaWewe fuata yako mkuu! Kutokuolewa kwetu ina hasara ganikwako?
waite spinsterOohh! Sorry which name should I use?
Bachelorette?
Hapo kwenye WASOMI sasa umkute kasoma GENDER wanakua na hasira sana na wanaume.
Yaani hata kusex hua wanahisi wanaonewa.



Wanajua nini?Umesahau wanawake mawakili hao ni wajuaji sana
Liwekee KyGel
Wanaume hajiamin tu kwa wanasheriaWanawake walio soma sheria kuolewa ni kugimu sana niwabishi ile mbaya
Ha ha ha hadi sex hyo chumvi mkuuHapo kwenye WASOMI sasa umkute kasoma GENDER wanakua na hasira sana na wanaume.
Yaani hata kusex hua wanahisi wanaonewa.
Naona umeyakumbuka mafuta ambayo unayapenda sana..Hongera
Kweli mkuu yaani jinsi lilivo tu lile tendo wao huona ni abuse.Ha ha ha hadi sex hyo chumvi mkuu