Shaloom Sanga
Member
- May 20, 2017
- 52
- 36
Hawapend kujishusha,wanataka kuwa last say, nobody last them, nobody after them
Kwan ww upo kundi gn hapo?Wewe fuata yako mkuu! Kutokuolewa kwetu ina hasara ganikwako?
Ndio maana Tanzania uchumi umekuwa ovyo. .Wewe fuata yako mkuu! Kutokuolewa kwetu ina hasara ganikwako?
Wewe ni nani usikosolewa...kaoe mmangatiNilishangaa nilipoenda shule moja nikakuta kati ya walimu wanawake 15 waliolewa ni wawili tu
Wengi wameishiwa kuzalishwa tu. nilijiuliza sana .watu sijui wanawachukuliaje wanawake walioenda shule
Tatizo la wanawake wasomi Kujifanya wajuaji kwenye kila kitu.Kukusoa mbele za watu haoni haja anakuabisha mchana kweupe hasa kwa watu kama sisi tulioshia la 2 B
Sasa msaidie kulipaka mafutaMbona jibu kavu hivi.
Hebu leta hayo mafuta tulipake kama ben polSasa msaidie kulipaka mafuta
Kimbo kwa mangiHebu leta hayo mafuta tulipake kama ben pol
Wel said mkuu uko sahihi kabsa, wanawake wa dzain hyo wana nyodo sn na ukijiingza mkenge ukioa ujue miaka mi5 haifk mshaachana na mcpoachana mtakua mnalala km dada na kaka.Na mara nyingi sana wasomi wakubwa hupenda kuoa form four leaver halafu wale wa kawaida sana kwa uzuri. Nina rafiki yangu kipenzi baba yake ni profesa lakini mama yake ni form four failure. Juzi pia nimemtembelea Mwanafunzi wangu ambaye baba yake ni profesa , mama yake alivyo HUWEZI amini kama ni mke wa profesa. Kifupi wanawake Wazuri, wanawake wa kidigitali na wanawake wasomi ni wa kulamba tu wengi sio wife materials.
Liwekee KyGel