Kwanini wanawake hawaridhiki na wenza wao?

Kwanini wanawake hawaridhiki na wenza wao?

Sema all in all Wote tunacheat, wanaume kwa wanawake huwezi kulaumu sana upande mmoja, sema ndo hivo mwanaume ukichitiwa inauma kisenge. ila ukielewa haya mambo yanavoenda unaweza kujifunza kutoumia ovyo
 
Shida ni kwamba wanawake wako tofauti, treatment ya drama queens na independent ladies ni tofauti sana.

Pasua kichwa/Drama Queens like nagging and being chased, you chase them you become a punk. Last moment atakucheat tu, hauna ujanja. At the same time wanapenda sana kuwa baby sit wanatuchanganya sana akili af wako tele. Cycle yao wanaanza low at last wanakupanda kichwani ukiwa boya you get busted. These are fun creatures to date with wana amsha amsha ila sio watu wa kufanya nao maisha serious. Utaumia!!!

Independent ladies are the ones that appreciate the right treatment ukiwa umenyooka kwa finances na maisha kwa ujumla utainjoy sana ila ubaya wa hawa they aren't many. Wengi wanafaa kuoa hawa ila sasa when things go the right way kwa muda mrefu boredom kicks in. Wengi sio fun partners when it comes to lovegames and they turn into controlling freaks in the longrun hasa wakiwa na financial muscles.

Usipoelewa vIzuri hayo makundi mawili utaumia
 
Sema all in all Wote tunacheat, wanaume kwa wanawake huwezi kulaumu sana upande mmoja, sema ndo hivo mwanaume ukichitiwa inauma kisenge. ila ukielewa haya mambo yanavoenda unaweza kujifunza kutoumia ovyo
Huwezi kuizoea hio hali bruh unless unazungumzia demu tu ambaye hamna vows zozote nae. Fikiria mtu ambaye uliutambulisha ulimwengu mzima kuwa amekuwa mkeo then once in a while she get fucked up with a stupid punk ambaye hajui what pains you been through!
 
Sina Cha kusema mnk dah nimewai kuwa na date na wif of smdy nikagundua kuwa siyo kuwa haridhiki Ni yey mwenye wetu ameamua kutoka kisa Cha kipumbafu San binfs nikasema hili Ni Chaka jamaa kaingia
 
Huwezi kuizoea hio hali bruh unless unazungumzia demu tu ambaye hamna vows zozote nae. Fikiria mtu ambaye uliutambulisha ulimwengu mzima kuwa amekuwa mkeo then once in a while she get fucked up with a stupid punk ambaye hajui what pains you been through!
Dah ndo hivo bro, sema usaliti hauzuiliki na upo, so kaa ukijua hivo itakusaidia kupunguza maumivu siku ikitokea, kuliko kuaamini mwanamke 100%
 
Sina Cha kusema mnk dah nimewai kuwa na date na wif of smdy nikagundua kuwa siyo kuwa haridhiki Ni yey mwenye wetu ameamua kutoka kisa Cha kipumbafu San binfs nikasema hili Ni Chaka jamaa kaingia
Bro hakunaga sababu maalumu yakucheat ni tamaa tu za kimwili ata wewe unawezafuck dem wa ovyo tu kisa tamaa
 
Unajifanya mwamba kumbe ushalizwa.

Kwenye mapenzi hako kamchuma kako hakakusaidii kitu.

Sisi ndo wanawake bana. Tunachokitaka sisi wenyewe hatukijui.

So ukifanikiwa kumpata mwanamke mwema mwenye hofu ya Mungu na ana akili timamu kama hiyo kitu weka ndani na pingu za maisha.
hata hao wenye hofu ya mungu wanalika vizur juzi kati nimetoka kumgonga mlokole
 
Akili gani mnazomaanisha nyinyi..tukija kisayansi tofauti ya mwanaume na mwanamke kwenye mfumo wa ubongo au akili ni nini, bila kujua hilo mtabaki kisema hivyo vizazi na vizazi
SIjaelewa unataka dfn ya akili
Kwa mujibu wa tafsiri ya kamusi ya Kiswahili sanifu akili inamaanisha 👇

  1. Uwezo wa kuelewa na kujifunza mambo; ujanja, ufahamu, hekima, werevu, bongo.
  2. Uwezo wa kufikiri na kuamua kwa busara.
  3. Hesabu 1628 Musa akasema, Kwa jambo hili mtajua ya kwamba Bwana amenituma, ili nifanye kazi hizi zote; kwa kuwa mimi sikuzifanya kwa AKILI zangu mwenyewe.
 
Sina Cha kusema mnk dah nimewai kuwa na date na wif of smdy nikagundua kuwa siyo kuwa haridhiki Ni yey mwenye wetu ameamua kutoka kisa Cha kipumbafu San binfs nikasema hili Ni Chaka jamaa kaingia
Wengine ni basi sio kwamba hata wana ishu kwenye ndoa zao ni hulka tu ya umalaya
 
Ukimwamini mwanamke jua umeumia mkuu..mwanamke hutakiwi kumwamini kabisa...au kuonyesha unampenda kwa dhati..utakuja ufe atii...

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wengine ni basi sio kwamba hata wana ishu kwenye ndoa zao ni hulka tu ya umalaya
Huyu wangu mm eti Ana dai mume Ni mkorofi Sana hayuko romantic kbsa Ni fujo fujo tu hivyo Yuko kwangu kutafuta faraja kwangu ambayo ameikosa kwenye ndoa yake ,

Sababu za kimbumbafu Sana [emoji38] anajidai nayo nikasema huyu Ni Malaya Ni tabia zake za mwaNzo alfu mbaya Zaid Ana marafiki ambao wengi hawajaolewa na ndiko niliko kutana nae
 
Usaliti sio wa kutoa mbususu tu!,anaweza kukusaliti kwa kutoa siri zako za uchumi ukaanguka kiuchumi
 
Kama humpelekei moto hizo pesa zako sio chochote

Tena nikwambie kitu mwanamke akiwa anapewa pesa tu bila kitombo cha maana huwa wanapata nyege za hatari afu kibaya zaidi mtoa pesa anampapasa tu lazima aipeleke kwa wasuguaji waisugue
 
Back
Top Bottom