Kwanini wanawake hawaridhiki na wenza wao?

Kwanini wanawake hawaridhiki na wenza wao?

Unajua mlishatuaminisha kuwa mwanamke mmoja hamtosheki na sisi tunamapenzi tunaumia,sawa hamridhiki lkn msingekuwa mnaweka wazi sana kias hiki
Kwani wee nini kinakuzuia kukamatia wanaume wawili watatu ukaburudika?
Sasa kama mnajua mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja kwa nini hamtupi ruhusu ya kuwa nao wengi tuburudike wote full raha
 
Hamna loote nyie, sio kwamba inawauma kisa mnapenda semeni kinachowauma ni kwamba mwanamke mwengine nae analewa mahela na hudumu ambazo ungepata wewe sophy
 
Bwana wee...mie nashangaa sana mtu ana mind eti mke wake kaenda kuonja de libolo tofauti....wacha mke ajipe raha. Tunapeana stress za kijinga tuu kubaniana. Vidume na wanawake wote wanapenda kuonja ladha tufauti. Tupeanage tuu.
Wote tuzini tuu alafu tukaburuduke motoni mbigun tuwaachie malaika
We jamaa mke anauma sana asikwambie mtu.

Nimetoka kusuluhisha ugomvi baina ya mke na mume saa hii. Jamaa alisafiri kikazi, mke kawasha gari kaenda mji mwingine na mchepuko wake kutombwa hukoo, gari imeharibikia hukohuko engine haina kazi tena wametembeza gari bila oil wameikaanga inahitaji 1600,000/= matengenezo na mchepuko hana hata mia mbovu ni dereva tu wa bodaboda.

Jamaa kapewa taarifa akiwa njiani anarudi nyumbani. Kumbuka mke hakuaga kama anaenda safari na gari.

Kumbe jamaa alikuwa na mashaka na mkewe, alichokifanya ni kujaza mafuta full tank kwenye gari halafu akatoa oil ili kubaini kama mashaka yake juu ya mkewe ni halali au si halali. Kimenuka, mke kala kipigo cha mbwa koko hoi bin taabani ikabidi akiri waziwazi kwamba alienda kutombwa.

Kaulizwa sababu anadai mumewe anampa kila kitu lakini hamridhishi kimapenzi anampapasa papasa tu ukilinganisha na yule bodaboda anamshindilia borlo hadi anachanganyikiwa.

Mke karudishwa kwanza nyumbani kwa wazazi mengine yatafuata baadaye. Wana watoto watatu (me mmoja na ke wawili)

Kutombewa kunauma asikwambie mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa mke anauma sana asikwambie mtu.

Nimetoka kusuluhisha ugomvi baina ya mke na mume saa hii. Jamaa alisafiri kikazi, mke kawasha gari kaenda mji mwingine na mchepuko wake kutombwa hukoo, gari imeharibikia hukohuko engine haina kazi tena wametembeza gari bila oil wameikaanga inahitaji 1600,000/= matengenezo na mchepuko hana hata mia mbovu ni dereva tu wa bodaboda.

Jamaa kapewa taarifa akiwa njiani anarudi nyumbani. Kumbuka mke hakuaga kama anaenda safari na gari.

Kumbe jamaa alikuwa na mashaka na mkewe, alichokifanya ni kujaza mafuta full tank kwenye gari halafu akatoa oil ili kubaini kama mashaka yake juu ya mkewe ni halali au si halali. Kimenuka, mke kala kipigo cha mbwa koko hoi bin taabani ikabidi akiri waziwazi kwamba alienda kutombwa.

Kaulizwa sababu anadai mumewe anampa kila kitu lakini hamridhishi kimapenzi anampapasa papasa tu ukilinganisha na yule bodaboda anamshindilia borlo hadi anachanganyikiwa.

Mke karudishwa kwanza nyumbani kwa wazazi mengine yatafuata baadaye. Wana watoto watatu (me mmoja na ke wawili)

Kutombewa kunauma asikwambie mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huyo njemba sii mjinga. Wee unatakiwa uwe mkweli kwa nafsi yako. Kama unajijia hujui kutomber unaoa ya nini🤣🤣🤣🤣

Mie mzabzab najijua kutomer siwezi namwaga ndani ya dakika mbili ndio mana sitaki kuoa maana najua watanitombeager tuu mke wangu.
 
Wanapenda ama mna washawishi nyie viumbe[emoji28]
Kuna wanawake kama vile mko na pepo la kutombwa, yaani ni kila wakati kila saa mmelowana tu huko chini na mnajituma kunako mtanange sio kitoto.

Mwanamke anamlaza mwanaume anafakamia bolo analinyonya weee kisha analikalia anajipimia mwenyewe anakatikia mborlo anasugulisha Quuma utahisi inakatika inanyofokea kwa ndani, kisha ananyonga kulia na kushoto halafu anatukana mitusi anaiporomosha huku anamwaga maji Kumar limetepeta ova sikio la tembo na mwishoni anaanza kulia akimaliza usingizi wake ova kakata network

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa huyo njemba sii mjinga. Wee unatakiwa uwe mkweli kwa nafsi yako. Kama unajijia hujui kutomber unaoa ya nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mie mzabzab najijua kutomer siwezi namwaga ndani ya dakika mbili ndio mana sitaki kuoa maana najua watanitombeager tuu mke wangu.
Wakati wako ukifika utaoa tu. Hakuna kitu iko na nguvu kama nguvu ya wakati[emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wako ukifika utaoa tu. Hakuna kitu iko na nguvu kama nguvu ya wakati[emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu kama hicho. Maana kwanza ukiwa jobless kama mie hapa wanawake hawakutaki so huwezi kuoa na ukiwa na hela wanawake wanajileta tuu wala huna ata shida ya kuoa.
Nashangaa mwanaume una mihela eti unaoa
 
Hamna kitu kama hicho. Maana kwanza ukiwa jobless kama mie hapa wanawake hawakutaki so huwezi kuoa na ukiwa na hela wanawake wanajileta tuu wala huna ata shida ya kuoa.
Nashangaa mwanaume una mihela eti unaoa
Sio kila aliyeoa ana kazi joh! Kuna mwanamke anakuangalia anatamani uwe mume wake hivohivo ulivyo yupo radhi achome hata vitumbua mpate kula muijenge familia yenu sema anashindwa tu namna ya kukutongoza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana wee...mie nashangaa sana mtu ana mind eti mke wake kaenda kuonja de libolo tofauti....wacha mke ajipe raha. Tunapeana stress za kijinga tuu kubaniana. Vidume na wanawake wote wanapenda kuonja ladha tufauti. Tupeanage tuu.
Wote tuzini tuu alafu tukaburuduke motoni mbigun tuwaachie malaika
Hahahah mzee mbona kama umejikatia tamaa kabisa😂
 
Mapnz nowdays hayathamiki Tena wengi Yani watu hawana Cha kupoteza mke haogopi kuvunja ndoayake na Wala hofu ya Mungu hta Kwa wanaume ila nyie ndo chanzo
Huwa sikuzote aanzae haonekani ila anayemaliza ndio huitwa mkorofi. Mwanamke shurti ujiheshimu na ujichunge mtu kukuoa ni kama kakupa zawadi ya thamani sana maishani. Sasa inakuwaje uichezee?

Wanaume type ya akina sisi mzigo ndio kipaumbele, ukianza masharti tu lazma nitafte spare nje ya kupunguza ugumu. Siwezi kumsajilia "Mwamnyeto" na umri wangu huu.
 
Mungu bado hajaishiwa na watu waaminifu, wapo wanawake waaminifu sana kwenye ndoa zao, ila kutokana na dunia ya sasa tunafikiri hawapo ila nakuhakikishia wapo.
Tunachopaswa kujiuliza kabla hatujawalalamikia hawa wake zetu, tujiulize sisi tu waaminifu kwenye ndoa zetu? wakati mwingine tunavuna matunda ya tabia zetu au matendo yetu.
Jambo lingine lakujiuliza msingi wa ndoa zetu ulikuwaje, mlivyoanza mahusiano ya kuingia kwenye ndoa yalikuwaje, mlitunza uaminifu wenu?
Mambo haya huwa hatutaki kuyajua ila ndoa bora inaanza kutengenezwa na mtu mwenyewe, shida tunataka kilicho bora ila sisi hatutaki kuwa bora.
Tusijenge mtazamo mbaya juu ya wanawake, kukosea kwa mmoja tusiwaone wote hawafai.
Safi sana mkuu
 
Back
Top Bottom