Kwanini wanawake hawaridhiki na wenza wao?

Kwanini wanawake hawaridhiki na wenza wao?

Lakini tuseme ukweli, hivi hawa wanawake wanajitomba? Si ni sisi wenyewe wanaume ndio tunawatongoza! tena ingali tunajua fika kuwa ni wake za watu.

Binafsi naona kama tunawaonea tu kwasababu hii ni 50 kwa 50. Unakuta Mimi natomba nje ovyo ovyo lakini ikitokea mke wangu akatombwa nje inakuwa nongwa.

Maisha mafupi haya, Haina haja saaana ya kujipa stress bila sababu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini tuseme ukweli, hivi hawa wanawake wanajitomba? Si ni sisi wenyewe wanaume ndio tunawatongoza! tena ingali tunajua fika kuwa ni wake za watu.

Binafsi naona kama tunawaonea tu kwasababu hii ni 50 kwa 50. Unakuta Mimi natomba nje ovyo ovyo lakini ikitokea mke wangu akatombwa nje inakuwa nongwa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ukisema hivyo unakosea mkuu mbalizi!! Sisi wanaume ndo tulivyo yeye mwanamke nd anaetakiwa kujishkilia
 
Lakini tuseme ukweli, hivi hawa wanawake wanajitomba? Si ni sisi wenyewe wanaume ndio tunawatongoza! tena ingali tunajua fika kuwa ni wake za watu.

Binafsi naona kama tunawaonea tu kwasababu hii ni 50 kwa 50. Unakuta Mimi natomba nje ovyo ovyo lakini ikitokea mke wangu akatombwa nje inakuwa nongwa.

Maisha mafupi haya, Haina haja saaana ya kujipa stress bila sababu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said
 
po
Usinifanye nilie machozi ....nimetoka kuumizwa mda sio mrefu na aliyekuwa mke wangu.usiwaamini wanawake.nashukuru alinitotoleshea mtoto mmoja inatoshaaaa
pole sana mkuu me mwenyewe nimetoka kukataliwa mda si mref nimewinda miez 7 nishasem i love mara 600 lkn mamb bado
 
Kuna possibility kubwa umkampata demu mweny tabia zako ila sio 100% ,Tunapoongelea kwa wanawake je sis wanaume ni wakamilifu Kuna Maisha ya nyumba hapo wanaume tunakuwa tuna mwanamke wa kulea watoto ila tulifika ofisi na maeneo yetu ya kazi kama biashara hata vibarua unakuta tunajiachia kama hamna ndoa vile ..uzinzi na kupenda kutongoza ovyo sijui kutamani ni kujipendekeza kwa maoni ..why ? Jaribu kuplay fair tusipende kumchukulia kila mtu katika hali ya mtazamo mmoja mfano so kila mwanamke unamuona lazima ufikirie kutembea nae na kuwa mpenzi wako....vitu vya kawaida ile jamii ya sasa mwanamke anatachezewa na jamaa wengine na the same kwa mwanaume atachezea wake za watu.

Unajua unaweza kuplay fair na ukagain uaminifu na jamii hata kupata dili za maana hata kwa baadhi ya hao unawaona labda ni wasichana..unaweza ukaishi nae katika mitazamo labda ya kikazi then kila mtu akala hamsini zake so kila demu unamumtongoza kibongo bongo unajichoresha Kuna dili unazizuia kimtindo na neema...wanawake ni kawaida sana tofauti na jamii inavyowachulia na hata sisi wanaume ni ivyo ivyo...

Kwa nn unajikuta unatamani sana mwanamke au mwanaume mwingine ?👉👉kwa sababu tupo too obsessed kufuatilia mambo mengine jaribu kama miezi kadhaa kukausha kila demu au mwanaume wa mtu ,fanya ishu zako za maana wacha kujifanya unachunguza mtu yukoje mara sijui yuko ivi kama kazini au sehemu ya biashara fanya ishu zako then mawazo weka kwa partner wako huko nyumba kama mna ndoa ...kila kitu ni kile kile ...Naeleza haya ukija kuwa mkubwa utakuja kutambua hamna jipya ishu ni kuridhika tu..

Binafsi hizi mambo ni mungu kwa vile mikausho mikali najua hap ni wapi nafanya nn? Demu ukiwa unashoboka sana basi kila unayemuona utashobokea na ubongo utalemaaa juu ya wanawake ..halal is beauty
 
Back
Top Bottom