Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 20,272
- 49,230
😂😂Nitakuwa nimerogwa 😂😂Nakazia, je wewe haupendi kubamsi bamsi na baharia?😂
😂😂Nitakuwa nimerogwa 😂😂Nakazia, je wewe haupendi kubamsi bamsi na baharia?😂
Kumbe tafiti ziko sawa, asali ni tamu zaidi kwa malkia wa nyuki😂😂Nitakuwa nimerogwa 😂😂
Wee huyu alikujankulilia de libolo hapa jf 🤣🤣🤣Nakazia, je wewe haupendi kubamsi bamsi na baharia?😂
Hahahahah kumbe alikuja kwenye mahakama huru ya jf kushitaki kwanini apelekewi libolo fcWee huyu alikujankulilia de libolo hapa jf 🤣🤣🤣
😂😂😂Kipaumbele ni mzigoHuwa sikuzote aanzae haonekani ila anayemaliza ndio huitwa mkorofi. Mwanamke shurti ujiheshimu na ujichunge mtu kukuoa ni kama kakupa zawadi ya thamani sana maishani. Sasa inakuwaje uichezee?
Wanaume type ya akina sisi mzigo ndio kipaumbele, ukianza masharti tu lazma nitafte spare nje ya kupunguza ugumu. Siwezi kumsajilia "Mwamnyeto" na umri wangu huu.
😂😂😂Hata sikulilia Jamani khaWee huyu alikujankulilia de libolo hapa jf 🤣🤣🤣
😂😂Sema tu sikuitaka ningeitaka ningeipeleka mm Kwan angekataa 😂😂Hahahahah kumbe alikuja kwenye mahakama huru ya jf kushitaki kwanini apelekewi libolo fc
Ah sema ukweli wako bwana....ulililia de liboloz bwana. Alafu mbona ni nature ya mwanadamu kwa nini wanawake mnataka kufanya kuwa hamlili de libolo.😂😂😂Hata sikulilia Jamani kha
Ukiuza dai risiti ukinunua dai risiti...mwendo ni huo huo!😂😂😂Kipaumbele ni mzigo
Kanuni namba moja...mwanaume hapana kususia mbususu😂😂Sema tu sikuitaka ningeitaka ningeipeleka mm Kwan angekataa 😂😂
😂Ningelilia ningesema ila niliamua mwenyew nataka nibadilishe mazingira 😂😂😂au sioAh sema ukweli wako bwana....ulililia de liboloz bwana. Alafu mbona ni nature ya mwanadamu kwa nini wanawake mnataka kufanya kuwa hamlili de libolo.
Sie mbona twalilia mbususu na ni fresh tuu mpaka tunapewa na magoti tunapiga
Kupelekewa moto ni swala la asili tu kama ilivyo kiu na njaa. Tusinyimane jamani tutaviacha😂😂Sema tu sikuitaka ningeitaka ningeipeleka mm Kwan angekataa 😂😂
Sasa kumbe unajua kwann nililie na wakat kuisusa hamuwez😂😂😂Kanuni namba moja...mwanaume hapana kususia mbususu
Kubadilisha mazingira hahaha kwa hiyo umepata kitu ingine😂Ningelilia ningesema ila niliamua mwenyew nataka nibadilishe mazingira 😂😂😂au sio
Sawa basi vizuri....mpelekeeSasa kumbe unajua kwann nililie na wakat kuisusa hamuwez😂😂😂
😂😂Kupelekewa moto ni swala la asili tu kama ilivyo kiu na njaa. Tusinyimane jamani tutaviacha
Sitaki 😂Sawa basi vizuri....mpelekee
Na hili ndio jambo ambalo wanawake wanapaswa kulitambuaKupelekewa moto ni swala la asili tu kama ilivyo kiu na njaa. Tusinyimane jamani tutaviacha
Hlf hii sentensi ya mwisho wanawake wa siku hizi hatuiogopi[emoji1787]Ukiuza dai risiti ukinunua dai risiti...mwendo ni huo huo!
Sio umeolewa halafu maku unataka kuitoa kwa mgao kama maji ya Dawasco. Replacement ni dkk 0 tu!
Utakuwa umeata libolo lingineSitaki 😂