Kwanini wanawake hawaridhiki na wenza wao?

Kwanini wanawake hawaridhiki na wenza wao?

Lakini tuseme ukweli, hivi hawa wanawake wanajitomba? Si ni sisi wenyewe wanaume ndio tunawatongoza! tena ingali tunajua fika kuwa ni wake za watu.

Binafsi naona kama tunawaonea tu kwasababu hii ni 50 kwa 50. Unakuta Mimi natomba nje ovyo ovyo lakini ikitokea mke wangu akatombwa nje inakuwa nongwa.

Maisha mafupi haya, Haina haja saaana ya kujipa stress bila sababu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana wee...mie nashangaa sana mtu ana mind eti mke wake kaenda kuonja de libolo tofauti....wacha mke ajipe raha. Tunapeana stress za kijinga tuu kubaniana. Vidume na wanawake wote wanapenda kuonja ladha tufauti. Tupeanage tuu.
Wote tuzini tuu alafu tukaburuduke motoni mbigun tuwaachie malaika
 
Vijana wa siku hizi hawana mtu wa KUWAFUNDA !! Kama wasoma Biblia wanavyojua, unatakiwa ukae na mkeo KWA AKILI !!

1. Lazima uwe tayari kuishi kwa "ujanja" wa kumfurahisha mkeo. Ujue kwamba KILA MWANAMKE anataka kubembelezwa KAMA MTOTO (baby)!!

Umpe zawadi ndogo ndogo umkabidhi kwa mapenzi (surprise). Sio lazima ziwe za thamani kubwa. Hata kitambaa cha mfukoni. Au waridi lizuri, au chocolate. Chochote utakachompa, mradi iwe unaonyesha HUBA !!

Jifunze kwa jogoo wa kienyeji. Lazima anaokota chakula anampa mtetea anayemtaka. Anamtafutia tena kingine. Mara ya tatu anajifanya ameokota amempa kumbe hakuna kitu. Wakati mtetea anatafuta iko wapi, jogoo anapanda. Sasa wewe mwanaume jogoo atakuzidije akili?

2. Kwenye sex:-
Wanaume weeeengi sana wanafeli.

Wanawake weeengi hawa - enjoy sex ila wanajifanya kutoa sauti ya kuonyesha "wame-genyeka" sana. Kumbe kama umeingia kichwa kichwa, haoni raha. Wewe mwanaume umekuja, na kwa vile unajua ni wa kwako, unaingia na kuanza kutwanga (utadhani unakoboa kande). Ukimfanyia hivyo, hasikii raha yoyote. Kwa hiyo, anajisukuma kutoa sauti za mahaba kumbe
anawaza akachepuke na nani aridhike. Matokeo yake, akimpata kijana akitupa neno moja tu, anajiachia kama yoote !!


3. PHAKIKISHA:- Anza kwanza romance, kwa muda mreeefu, mpaka mwenyewe akuambie sasa weka. Halafu, nenda taratibu, huku unampa maneno ya mahaba. Uhakikishe yeye amefika Kilimanjaro kabla yako.

Haya mambo yanataka ufundi !! Sio unatwanga tu utadhani unakoboa kande !!

3. Halafu, ukimaliza usiondoke. Endelea kumpa maneno ya kumpa raha, umweleze alivyo mtamu, alivyo mzuri n.k. Anaweza kujikuta anasisimka tena, lakini na wewe usifanye haraka. Bao la pili linaweza "kujipiga lenyewe" kiulaiiini !!

NAKUHAKIKISHIA :- Ukitumia "utaalamu" huu, mwanamke wako hatakuacha, na kamwe hatatembea nje hata kama pesa huna.
Natamani wakuelewe wawe romantic sio wanaparamia kama wanaparamia kuangua minazi
 
Bwana wee...mie nashangaa sana mtu ana mind eti mke wake kaenda kuonja de libolo tofauti....wacha mke ajipe raha. Tunapeana stress za kijinga tuu kubaniana. Vidume na wanawake wote wanapenda kuonja ladha tufauti. Tupeanage tuu.
Wote tuzini tuu alafu tukaburuduke motoni mbigun tuwaachie malaika
Mwenye kusikia na asikie asante kwa busara zako mzabzab
 
Habari MMU,

Leo nimeona nije kuangazia upande huu wa wanawake, ambao wanaonekana kutoridhika kabisa na chochote wapatacho kutoka kwa wenzi wao.

Mwanamke humfanyie chochote kile jua ipo siku atakusaliti tu, na mbaya zaidi atakusaliti kwa kitu cha kipumbavu kwelikweli.

Jamaa mmoja ashawahi sema "Mwanamke unaweza kuonesha busara kwa kumnunulia gari, lakini akaliwa mbususu na mtu aliemsaidia kubadilisha tairi tu kwa siku moja!"

Leo hii unaweza ukawa na pesa kiasi cha kutosha na ukajaribu kumpatia mke/mpenzi wako lakini akakucheat na mtu asietoa hata mia, tena akala miuno ya uzazi kushinda hata wewe mmiliki.

Wanawake wamekuwa na hila kwenye mapenzi mpaka imefikia hatua leo hii, jamii inaaminishwa kuwa hakuna mwanamke wa peke yako! Yaani ni Lazima mbususu ya mkeo au demu wako iliwe na wapwa wengine tu!

Naomba tuulizane hivi ni kwa nini inakuwa hivi!?

Ni tamaa gani hiyo ya kisheitwani!?

Ndio maana wakija kukutana na sisi wakina Edson Carrington tuliobarikiwa kumiliki vyuma, tunawapiga vingi vingi vya kichwa bila ya kuwachelewesha.
Mapnz nowdays hayathamiki Tena wengi Yani watu hawana Cha kupoteza mke haogopi kuvunja ndoayake na Wala hofu ya Mungu hta Kwa wanaume ila nyie ndo chanzo
 
Back
Top Bottom