Kwanini wanawake hawaridhiki na wenza wao?

Kwanini wanawake hawaridhiki na wenza wao?

Edson Carrington

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2022
Posts
216
Reaction score
637
Habari MMU,

Leo nimeona nije kuangazia upande huu wa wanawake, ambao wanaonekana kutoridhika kabisa na chochote wapatacho kutoka kwa wenzi wao.

Mwanamke humfanyie chochote kile jua ipo siku atakusaliti tu, na mbaya zaidi atakusaliti kwa kitu cha kipumbavu kwelikweli.

Jamaa mmoja ashawahi sema "Mwanamke unaweza kuonesha busara kwa kumnunulia gari, lakini akaliwa mbususu na mtu aliemsaidia kubadilisha tairi tu kwa siku moja!"

Leo hii unaweza ukawa na pesa kiasi cha kutosha na ukajaribu kumpatia mke/mpenzi wako lakini akakucheat na mtu asietoa hata mia, tena akala miuno ya uzazi kushinda hata wewe mmiliki.

Wanawake wamekuwa na hila kwenye mapenzi mpaka imefikia hatua leo hii, jamii inaaminishwa kuwa hakuna mwanamke wa peke yako! Yaani ni Lazima mbususu ya mkeo au demu wako iliwe na wapwa wengine tu!

Naomba tuulizane hivi ni kwa nini inakuwa hivi!?

Ni tamaa gani hiyo ya kisheitwani!?

Ndio maana wakija kukutana na sisi wakina Edson Carrington tuliobarikiwa kumiliki vyuma, tunawapiga vingi vingi vya kichwa bila ya kuwachelewesha.
 
Unajifanya mwamba kumbe ushalizwa.

Kwenye mapenzi hako kamchuma kako hakakusaidii kitu.

Sisi ndo wanawake bana. Tunachokitaka sisi wenyewe hatukijui.

So ukifanikiwa kumpata mwanamke mwema mwenye hofu ya Mungu na ana akili timamu kama hiyo kitu weka ndani na pingu za maisha.
 
Ata bible inatuasa muishi nao kwa akili sasa kama huna akili za kutosha achana nao utakuja kufa siku si zako.

1 Pet 3:7 SUV​

Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
Mithali 6: 32 tunaambiwa kila aziniye na mwanamke hana akili..
 
Unajifanya mwamba kumbe ushalizwa.

Kwenye mapenzi hako kamchuma kako hakakusaidii kitu.

Sisi ndo wanawake bana. Tunachokitaka sisi wenyewe hatukijui.

So ukifanikiwa kumpata mwanamke mwema mwenye hofu ya Mungu na ana akili timamu kama hiyo kitu weka ndani na pingu za maisha.
Hamna anaeweza niliza weweee!!!
Mimi ndo dawa yenu, nyie c mnajidai hamjui mnachotaka! Sasa me nakijua, napenda nipate kama wewe Karucee
 
Unajifanya mwamba kumbe ushalizwa.

Kwenye mapenzi hako kamchuma kako hakakusaidii kitu.

Sisi ndo wanawake bana. Tunachokitaka sisi wenyewe hatukijui.

So ukifanikiwa kumpata mwanamke mwema mwenye hofu ya Mungu na ana akili timamu kama hiyo kitu weka ndani na pingu za maisha.
Mimi napenda nyie msiokijua mnachotaka, karibu sana Karucee
 
Msikate tamaa...watu wema bado wapo iwe ni mwanamke au mwanaume unayemtaka kwa ajili ya maisha yako. Mke mwema anatoka kwa.......

Mconsult Bwana akupe mke unayemtaka. Lakin kama hutaki fine...endelea kutumia akili, pesa, kipaji, uhandsome wako utampata tu. Mo akijipindua vibaya eti kisa ana dusko atafurah na shoo. Anaweza kugongewa na Dereva wake vlevle. Narudia...chukua hii...Muombe Mungu kiukwelikwelii kabisa..atakupa mke mwema.

NB; Mke mwema haimaanish hana madhaifu..ila Mungu atakupa moyo wa kuyabeba madhaifu yake.

#juankunywazakopepsi#
 
Msikate tamaa...watu wema bado wapo iwe ni mwanamke au mwanaume unayemtaka kwa ajili ya maisha yako. Mke mwema anatoka kwa.......

Mconsult Bwana akupe mke unayemtaka. Lakin kama hutaki fine...endelea kutumia akili, pesa, kipaji, uhandsome wako utampata tu. Mo akijipindua vibaya eti kisa ana dusko atafurah na shoo. Anaweza kugongewa na Dereva wake vlevle. Narudia...chukua hii...Muombe Mungu kiukwelikwelii kabisa..atakupa mke mwema.

NB; Mke mwema haimaanish hana madhaifu..ila Mungu atakupa moyo wa kuyabeba madhaifu yake.

#juankunywazakopepsi#
Kweli
 
Habari MMU

Leo nimeona nije kuangazia upande huu wa wanawake, ambao wanaonekana kutoridhika kabisa na chochote wapatacho kutoka kwa wenzi wao.

Mwanamke humfanyie chochote kile jua ipo siku atakusaliti tu, na mbaya zaidi atakusaliti kwa kitu cha kipumbavu kwelikweli.

Jamaa mmoja ashawahi sema "mwanamke unaweza kuonesha busara kwa kumnunulia gari, lakini akaliwa mbususu na mtu aliemsaidia kubadilisha tairi tu kwa siku moja!!"

Leo hii unaweza ukawa na pesa kiasi cha kutosha na ukajaribu kumpatia mke/mpenzi wako lakini akakucheat na mtu asietoa hata mia, tena akala miuno ya uzazi kushinda hata wewe mmiliki.

Wanawake wamekuwa na hila kwenye mapenzi mpaka imefikia hatua leo hii, jamii inaaminishwa kuwa hakuna mwanamke wa peke yako! Yaani ni Lazima mbususu ya mkeo au demu wako iliwe na wapwa wengine tu!

Naomba tuulizane hivi ni kwa nini inakuwa hivi!?

Ni tamaa gani hiyo ya kisheitwani!?

Ndio maana wakija kukutana na sisi wakina Edson Carrington tuliobarikiwa kumiliki vyuma, tunawapiga vingi vingi vya kichwa bila ya kuwachelewesha. Shenzi
Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana
 
Wanawake Ni pasua KICHWA mkuu
images-519.jpg
 
Mtu asiwambie ndoa tamu sana. Niko committed for eight years na nasikia furaha sana. Hata akitokea akanisalitu ikawa mwisho wa mahusiano Sina Cha kujutia. .
Nadhani kwa Sababu nimefika umri ambao sioni haja ya kulia Lia kisa mapenzi. .
Maisha ni mafupi sana, you can't dwell on pain. You move on with your life and enjoy your numbered days on earth. Tatizo mkisalitiwa inauma kama mbususu unaimiliki na hati miliki yako tu. Unawaza jinsi ilivyoliwa na wahuni. Ukiona inaliwa na wahuni basi Haina mana hiyo😬

Kadri nilivyokua nakua nilijikuta nabadili soda. Wakati Niko mdogo fanta orange ilikuwa tamu sana ila sasa siwezi tumia fanta orange hata kwa mawe. Think about it. .
 
Back
Top Bottom