Kwanini wanaume wanasuka nywele?

Kwanini wanaume wanasuka nywele?

Naona nimekugusa sana huna point zaid ya kutoa povu tú dume zima unasuport madume wenzio kusukwa?LOL bila aibu? paka na shedo kabisaaaa maana unatamani kua mwanamke kama mm kumbuka kua amelaaniwa mwanamke anayejifananisha na mwanaume na Mwanaume anayejifananisha na mwanamke.....kwa namna moja ama nyingine iwe mawazi n.k.
Ee Mungu nusuru vizaz vyetu!!!!!!!

Kwanza sijatoa povu...bali nimekujibu kistaarabu sana tena kwa hoja mzuri zenye mifano tele.
Ila kwa huu uandishi wako wa vijembe na kashfa nitashindwa kujadiliana na wewe na sina budi
kusema ahsante kwa hii comment yako...mshindi ni wewe na mimi nimekubali kushindwa.
 
kumradhi kama ww ni the gunners...
gun__1235400495_sagna23022009.jpg

huyu ni nani? sagna? oh my... mi na mpira wapi na wapi!
 
Dada Evelyn Salt acha kunifurahisha, huyu atakuwa amekosea ku type tuu, na kuandika nywere. Hah hah hah
 
Mkuu,siyo wewe tu...hata mimi mwenyewe sijawahi kusuka cornrows hair style lakini hiyo hainifanyi mimi niwaponde na kuwabeza baadhi ya vijana wenzangu wanaopenda kwenda na hizo swaga. Ila mimi ni muumini mzuri sana wa kuweka Crazy permanent color kwenye natural hair zangu...huwa napenda kuchanganya color kama tatu hivi ambazo ni za ukweli alafu naweka rough hair style(like bohmien curls) kiukweli huwa naonekana very unique niwapo kwenye foleni au niingiapo sehemu yoyote yenye mkusanyiko wa watu kama super market nk...tena baadhi ya wadada utawasikia kaka umependeza!!

Hebu weka picha tuone kama unapendeza..

C.C. Tyta
 
Last edited by a moderator:
Kwanza sijatoa povu...bali nimekujibu kistaarabu sana tena kwa hoja mzuri zenye mifano tele.
Ila kwa huu uandishi wako wa vijembe na kashfa nitashindwa kujadiliana na wewe na sina budi
kusema ahsante kwa hii comment yako...mshindi ni wewe na mimi nimekubali kushindwa.

umejibu kwa busara sana...kuheshimu uamuzi wa mtu haimaanishi unakubaliana nao...
 
Jamani!!!!
Hili ndio tatizo letu, mtu usipoona kosa katikakitu flani watu wanadhani na wewe unafanya, kwa nini?
Mimi ni msukuma pure kabisa nyumbani ni Lyamidati, ukiachilia mbali taalumu yangu pamoja na kazi ninayofanya kutokubaliana na vitu kama kusuka nywele, mimi binafsi sipendi na wala sijawahi waza kufuga nywele achilia mbali kusuka.

Pamoja na kutopenda kwangu, lakini sio kitu cha ajabu mwanaume kusuka, inategemea na mazingira na kazi yake, Mbona waganga na wacheza ngoma za kienyeji baadhi husuka nywele na hujaza mashabiki hukohuko usukumani!!??, Lekaga nkimaebhe, kwandya nakutogilwe, nadasukaga unene, utizuunilema, dihaya nakupm tuyombe kisoga.

Lekaga jenejo ng'wana mayo
mwanaume kusuka ni mambo ga sagala sagala gete
 
Hebu weka picha tuone kama unapendeza..

C.C. Tyta
Ha ha haaa...mtihani huo! Anyway hebu jaribu kunivutia hisia au kupiga picha kwenye fikra zako kuwa naonekanaje.
Picha utakayoipata hapo'basi ndiyo niko hivyo hivyo kimuonekano. Ha ha haaa
 
Hakuna dume rijali lilokamilika haswaaaaa likaketi chini kitako Eti linasubiria kusukwa LOL wanaume wanaosuka wote ni mashoga tú

Sina cha kukupa zaidi ya Ahsante na kauli yangu njema kuwa
NAKUPENDA.
 
Back
Top Bottom