Kwanini wanaume wanasuka nywele?

Kwanini wanaume wanasuka nywele?

Naomba kukurekebisha sio nywere ni nywele.....
mi naona hizo ni tabia za kike tu kusuka,kuvaa hereni
wanavaa na skin jeans zetu mwisho nao wanataka wafanyiwe kama tunavofanyiwa sie
 
Kusuka ni utamaduni au style ya maisha mtu ameamua.

Wamasai, Rasta farri wanasuka.
 
Mambo ya ujana; kama mtu umekulia vijijini lazima ushangae vitu kama hivyo... lakini kwa mjini ni jambo la kawaida mwanaume anasuka, anavaa heleni, cheni n.k na wengine wanafunga vilemba kichwani - KAWAIDA TU. Mbona hujiulizi mwanamke kuvaa suruali na kunyoa kipara???
 
Naomba kukurekebisha sio nywere ni nywele.....
mi naona hizo ni tabia za kike tu kusuka,kuvaa hereni
wanavaa na skin jeans zetu mwisho nao wanataka wafanyiwe kama tunavofanyiwa sie

nyie mnafanyiwaje wangu?????
 
Naomba kukurekebisha sio nywere ni nywele.....
mi naona hizo ni tabia za kike tu kusuka,kuvaa hereni
wanavaa na skin jeans zetu mwisho nao wanataka wafanyiwe kama tunavofanyiwa sie
Umeona eeh yaani wanatamani wangezaliwa Wanawake LOL Mungu anusuru vizaz vyetu
 
Naomba kukurekebisha sio nywere ni nywele.....
mi naona hizo ni tabia za kike tu kusuka,kuvaa hereni
wanavaa na skin jeans zetu mwisho nao wanataka wafanyiwe kama tunavofanyiwa sie

nini 0715...???
 
Kusuka ni utamaduni au style ya maisha mtu ameamua.

Wamasai, Rasta farri wanasuka.

images
images
 
kuna wanaosuka kwa sababu huo ni utamaduni wao mfano wamasai, na kunawanao suka sababu ya ujana drogba anaweka dawa ya nywele ambayo hutumiwa na wanawake ovious halafu kuna rastafarians
 
Naomba kukurekebisha sio nywere ni nywele.....
mi naona hizo ni tabia za kike tu kusuka,kuvaa hereni
wanavaa na skin jeans zetu mwisho nao wanataka wafanyiwe kama tunavofanyiwa sie
Wasiwasi wako hauna ukweli na kabla sijaendelea kuchangia huu uzi, nakuomba wewe na Munkari muwaombe radhi wamasai na makabila mengine ambayo wanaume kusuka na kuvaa hereni ni sehemu ya utamaduni wao.
 
Ndiyo,kwani cha ajabu nini? Si moja ya swaga tu. Hebu vuta hisia wewe ni kijana kuanzia miaka 25-35 au 40...una moto bike yako CC 600,bomba 2 alafu ina crazy sound unakatisha mitaa ya Mbezi tangi bovu hadi Boko unaelekea kula weekend
yako Bagamoyo...nyuma ya bike yako umempakiza mrembo mzuri amekukumbatia huku akiwa na pensi ya jinsi na laba...alafu wewe mwenyewe umesuka line za kiume kichwani na umetupia black sun glass.

Usipime wangu!...watu weweeeee! Ala chezea wewe
MillionHairs, kweli mimi ni kijana wa umri huo wa 25-40 lakini swaga za namna hiyo kusuka, maadili yameniepusha, lakini vyovyote vile ikiwa kura raha hata ukiwa na mkoko wako na familia yako unakula tu kokote na vizuri kuliko hizo swaga za ajabu....
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo,kwani cha ajabu nini? Si moja ya swaga tu. Hebu vuta hisia wewe ni kijana kuanzia miaka 25-35 au 40...una moto bike yako CC 600,bomba 2 alafu ina crazy sound unakatisha mitaa ya Mbezi tangi bovu hadi Boko unaelekea kula weekend
yako Bagamoyo...nyuma ya bike yako umempakiza mrembo mzuri amekukumbatia huku akiwa na pensi ya jinsi na laba...alafu wewe mwenyewe umesuka line za kiume kichwani na umetupia black sun glass.

Usipime wangu!...watu weweeeee! Ala chezea wewe

Powa bro; umenena ...... Wanaopinga staili za kusuka wanaume labda hawakupitia ujana ....
 
Back
Top Bottom