Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,831
Acha kuongea upuuzi wewe ficha upumbavu wako
dah! Nijibu kwa hoja sio unanivujia bila kuwa na pointi.....mi sioni tatizo maana hakuna muongozo wa hili hata ktk vitabu vya dini, tena naamini misuko ni kwa ajili ya watoto wa kiume ila watoto wa kike kama kawaida yao kurukia tabia za kiume nao wakaanza kusuka!