Kwanini wanaume wanasuka nywele?

Kwanini wanaume wanasuka nywele?

NITAKE RADHI Evelyn Salt...NDIO NILICHOPENDEWA...
1240661_392558307534376_926579765_n.jpg
pumpkin.jpg

Vyovyote vile. Ila huu ndio mpango mzima kwa sasa.
 
Hakuna dume rijali lilokamilika haswaaaaa likaketi chini kitako Eti linasubiria kusukwa LOL wanaume wanaosuka wote ni mashoga tú

Hapo umeseme ukweli dume zima na ndevu kama mimi unaweka makalio chini usukwe una mapungufu, kuiga utamaduni wa nje naomba m7 aongeze hilo kuvaa hereni n kusuka jela 20yrs ndio dawa yao
 
Kwan hujui siku hizi wanaume nao wanataka waolewee
 
Fashion zingine ni identities, so sishangai asilimia kubwa ya wanaume wanaosuka kuwa ni mabwabwa
 
Mkuu, kwanza umewahi kumuona mwanaume au mkaka gani hapa Bongo amesuka kwa kutumia Rasta au Kanekalon material kwa style za pick and drop au yeboyebo ya kike kabisa alafu anatembea barabarani au anaingia ofisini kufanya kazi? Hakuna kitu kama hicho mkuu kwani hizo ni style za kike kabisa mkuu wangu...tunachoongelea hapa na ninachokitetea mimi ni hizi style za cornrow hair za kiume...tena kwa kutumia nywele zake za asili.

Lakini kinachoonekana hapa ni baadhi ya wachangiaji kuonyesha au kuaminisha kama hao wakaka au wavulana wanakaa chini kama wanawake na wanasuka yebo yebo au Salsa hair style kama za wanawake...hakuna mwanaume rijali anayeweza fanya hicho kitu na akikifanya basi ni kweli mwanaume huyo atakuwa shoga.
Kama nilivyosema awali mimi siyo mzoefu na usukaji wa nywele kwa wanaume. Hivyo hizo tofauti unazoongelea sizijui wala siwezi kuzigundua nikikutana na mwanaume aliyesuka. Lakini bado nina shauku ya kujua ni nini hasa kinamsukuma mwanaume wa kawaida aamue kusuka na ajione amependeza zaidi kwa sababu tu amefanya hivyo!.
 
Back
Top Bottom