mwallu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 6,787
- 4,215
nahisi nakufahamu..kuna siku nita ku pm
Jamani!!!!
Hili ndio tatizo letu, mtu usipoona kosa katikakitu flani watu wanadhani
na wewe unafanya, kwa nini?
Mimi ni msukuma pure kabisa nyumbani ni Lyamidati, ukiachilia mbali
taalumu yangu pamoja na kazi ninayofanya kutokubaliana na vitu kama
kusuka nywele, mimi binafsi sipendi na wala sijawahi waza kufuga nywele
achilia mbali kusuka.
Pamoja na kutopenda kwangu, lakini sio kitu cha ajabu mwanaume kusuka,
inategemea na mazingira na kazi yake, Mbona waganga na wacheza ngoma za
kienyeji baadhi husuka nywele na hujaza mashabiki hukohuko
usukumani!!??, Lekaga nkimaebhe, kwandya nakutogilwe, nadasukaga unene,
utizuunilema, dihaya nakupm tuyombe kisoga.