Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?




Watu hatufatilii hizi habari kiundani, hatujui kama Propaganda zinatengenezwa na wao na kwa vile kMedia kubwa za Kimataifa wao ndo wanazimiliki. Basi wanapanga kipi tuoneshwe na tuaminishwe. Simple! Ukiangalia Umri wa Dini ya Uislam ni zaidi ya miaka 1000 Ila ugaidi hauzidi miaka 30!
Dunia ya wanasesere
 
Nisichokielewa mimi ni jinsi hili tukio la kuanza kumsaka Osama na hadi kumpata,yani jinsi linavyosimuliwa kwa pande zote mbili yani upande wa marekani kwa kila atua walizokuwa wakizichukuwa na upande wa pili nako unapata story ya kilichokuwa kikiendelea.

Huwa naonaga ni kama simulizi ya movie tu na sio uhalisia.
 
UONGO ulikatazwa kwa sababu madhara yake ni mengi ikiwemo kuondoa uaminifu kwa mwenye kudanganya,

WAMERAKANI wamekuwa waongo sana katika kufanikisha mambo yao mengi ya dhuluma,

Itakuwa ni kosa kubwa kwa mtu kuweza kuwaamini sio kwenye issue ya OSAMA TU bali hata kwenye mambo mengi,

Kuna link ntaiweka baadae hapa ikionesha wakuu wa CIA wakikiri mbele ya tume maalum ya senate kuwa wamekuwa wakitumia MEDIA KUSAMBAZA UONGO,

KAMA wanaweza kudanganya DUNIA kuwa watu waliuliwa ORLANDO kwenye pub ya mashoga wakati sio kweli kabisa hawa watu hawatakiwi kuaminiwa kwa chochote.....
 
Msiumize vichwa sana. Wamerekani sio wajinga kuua ile mashine. Ni asset kubwa mno.
Hizo video niza kutengeneza kuonesha dunia kuwa hawashindwi.

Osama walimkamata ila hawakumuua yupo sehemu isiyojulikana.kwa faida yao

Picha hizo ni plastic surgery.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Msiumize vichwa sana. Wamerekani sio wajinga kuua ile mashine. Ni asset kubwa mno.
Hizo video niza kutengeneza kuonesha dunia kuwa hawashindwi.

Osama walimkamata ila hawakumuua yupo sehemu isiyojulikana.kwa faida yao

Picha hizo ni plastic surgery.
Fake+bin+laden.jpg
 
Back
Top Bottom