Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,781
- 3,941
Well. Atleast they got their man.
So is laden death.Hoax.

Dunia ya wanasesere
Watu hatufatilii hizi habari kiundani, hatujui kama Propaganda zinatengenezwa na wao na kwa vile kMedia kubwa za Kimataifa wao ndo wanazimiliki. Basi wanapanga kipi tuoneshwe na tuaminishwe. Simple! Ukiangalia Umri wa Dini ya Uislam ni zaidi ya miaka 1000 Ila ugaidi hauzidi miaka 30!
Mm pia naamini kuwa wamarekani hawakumuuwaUmesema unaamini Osama Kweli aliuwawa, unaweza kuthibitisha hilo, kabla sijaja na mimi kukuthibitisha ya kwamba si Kweli wamerakani walimuua Osama.
Duh, hata mimi ndio kwanza naiona kwa mara ya kwanzaMmh dhana mpya hii ambayo sijawahi kuisikia
Msiumize vichwa sana. Wamerekani sio wajinga kuua ile mashine. Ni asset kubwa mno.
Hizo video niza kutengeneza kuonesha dunia kuwa hawashindwi.
Osama walimkamata ila hawakumuua yupo sehemu isiyojulikana.kwa faida yao
Picha hizo ni plastic surgery.
Ukiwa na akili ndogo huwezi kuona hadi uwe na akili kubwa.Ujinga tuu.. Wala sijaona Point yoyote hapa.