Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

Hiyo dhana ya wamarekani kutomuua Osama huwa inanipa maswali.

1.kama hakuuliwa mbona hakujitokeza kupinga?

2.kama alikufa kabla ya oparesheni mbona wafuasi wake walikuwa kimya mda wote kipindi wamarekani wanadai bado yupo hai mara kaibuka kasema hili na lile,mbona hawakusema kama kafa?
Alipouawa na wamarekani,Alqueda wenyewe walitangaza kwamba kiongozi wao ameuawa na watalipa kisasi.Pia wakamchagua na mrithi wake.Sasa watu wanaposema hajafa,je hao Alqueda nao walinunuliwa wakubali uongo?
 
Waisrael walipanga kwenye TWIN TOWERS na kukata bima kubwa sana kwa ajili ya maduka yao,na wao ndiyo waliolipua TWIN TOWERS kwa ndege ili WALIPWE BIMA.
NI KAZI YA WAYAHUDI(ambao siyo wakristo)kwaajili ya BIMA.
bima tu
 
Alipouawa na wamarekani,Alqueda wenyewe walitangaza kwamba kiongozi wao ameuawa na watalipa kisasi.Pia wakamchagua na mrithi wake.Sasa watu wanaposema hajafa,je hao Alqueda nao walinunuliwa wakubali uongo?
weka picha au hata ka audio au vp mkuu
 
weka picha au hata ka audio au vp mkuu
upload_2017-10-17_10-28-41.jpeg

Ayman al-Zawahiri

Ayman al-Zawahiri, an eye surgeon who helped found the Egyptian militant group Islamic Jihad, was named as the new leader of al-Qaeda on 16 June 2011, a few weeks afterOsama Bin Laden's death.
Sasa ndo mtueleze,hao Al-qaeda nao walihongwa na wamarekani ili kukubali kwamba Osama ameuawa?.Kama Osama hajafa,nin kwa nini wakubali kubeba hii aibu ya kiongozi wao kuuawa,Maana najua kwao Al-qaeda ile ni aibu.
 
Hawakutaka azikwe kwenye Kaburi maana Mpaka leo hii pasingetosha...watu wanaomkubali Osama wangekuwa wanakwenda kuhiji Ktk Kaburi la Osama
Kitu ambacho wamarekani hawakutaka Iwe hivyo....

Ova
 
Back
Top Bottom