Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

UONGO ulikatazwa kwa sababu madhara yake ni mengi ikiwemo kuondoa uaminifu kwa mwenye kudanganya,

WAMERAKANI wamekuwa waongo sana katika kufanikisha mambo yao mengi ya dhuluma,

Itakuwa ni kosa kubwa kwa mtu kuweza kuwaamini sio kwenye issue ya OSAMA TU bali hata kwenye mambo mengi,

Kuna link ntaiweka baadae hapa ikionesha wakuu wa CIA wakikiri mbele ya tume maalum ya senate kuwa wamekuwa wakitumia MEDIA KUSAMBAZA UONGO,

KAMA wanaweza kudanganya DUNIA kuwa watu waliuliwa ORLANDO kwenye pub ya mashoga wakati sio kweli kabisa hawa watu hawatakiwi kuaminiwa kwa chochote.....
Umenikumbudha mkasa wa D.B. Cooper jinsi alivyotrka ndege na kupotea mpaka leo hajawahi kupatikana tena licha ya msako mkali wa FBI uliogharimu miaka 45.

Tupo tunaoamini D.B. Cooper alikuwa ni sehemu ya system ya Marekani hivyo akasaidiwa na vyombo vyao vya usalama kupoteza ushahidi.

Na wapo wanaoamini D.B Cooper was imaginary name!
 
Kuna dhana kuna hakuuwawa walizuga kumzika baharini kuficha siri Lkn yuko marekani sehemu ya siri wamemshikiria huko.
 
Mtu baada ya kuweka fact Kama mwenzie ye anakaa kubisha tu waungwana uwanja huu upo huru toeni evidence basi ili watu wafaidike mtu akalia ubishi tu
Unajua hao ni kama wale wale wanaambiwa lete vyeti..yeye anabishana mengine
 
Naskia Osama ni theory tu, jamaa yupo zake Hawaii anakula bata batani, kwa maelezo ya Edward s....na kuhusu sep 11 pia sivyo tunavyoaminishwa...yote kheri tu
 
Balali alifikwa na mauti huko amerika
By waziri mkuu Fulani kutoka Tanzania,q
Mm siamini kama Osama alikufa au hakufa labda marekani wenyewe watupe video yake wakati wanamshambulia,otherwise wasituletee story kama za kina balali na vichwa vya treni huku kwetu
Sio lazima Marekani na yeye anaweza kujitokeza kujibu mapigo zaidi hapo amededi
 
Mbona sadam hussein walimuanika ? Kwa jinsi alivyowasumbua wangemuanika uchi hawa wamarekan walivyowakorofi


Mm binafs siamin km osama kauliwa na wamarekan

Bali kama kufa ni kwa ahad yake na hawakuona hata maiti yake bali walichunguza na kujua amekufa

Ili kuonekana majasiri wakapuplish km wao ndo wamemuua
Kuna tofauti kati ya Saddam na Osama, Saddam alikamatwa akiwa hai lakini Osama aliuwawa. Pia mazingira ya kupatikana kwao yalikuwa tofauti, waliokuwa wanamsaka Saddam walikuwa huru sana yaani Iraq chini ya utawala wa USA lakini waliokuwa wanamsaka Osama hawakuwa na uhuru wote kule Pakistan kiasi cha kuamua kuvamia ngome ya Osama kijeshi na kwa mashambulizi makali ya risasi dhidi ya walinzi wake.

Alafu kuhusu mzozo baina ya USA na Mashariki ya kati naona watanzania wengi wanachukua upande kutokana na dini zao lakini binafsi sijafahamu maslahi ya kidini yanayowafanya mpaka waumini hawa kuchukua upande.
 
Osama hajawahi fanya kazi ya kijasusi na USA,kwenye ile War na Usovient Union USA alikua ni mfadhiri tuu wa mataifa ya uislamu Saudi Arabia,Afghanstan na mengine dhidi ya Usovient
USA alitoa pesa tuu kwa haya mataifa ya kiislam,hakutoa hata Military training, baada ya hii vita Osama ndo akaigeuka nchi yake Saudi Arabia akaxema inakubali msaada kutoka kwa Taifa chafu yenye Ideology ya uongozi usio wa haki,ku support ushoga na mambo mengi ambayo ni kinyume na Dini ya Uislam ikiwa nipamoja na kuusika na vifo vya waislam middle east
Baada ya kufarakana na nchi yake Saudi Arabia akaenda Afghanistan na baadae Sudan na kurud tena Afghanistan,Hadi wakat anahama Afghanistan Osama alikua kwenye list ya 10 most wanted people ya Jeshi ya Marekani
 
Taifa lililo endelea kabisa kama Marekani wana amini nguvu za giza/majini/uchawi,vipi sisi Waswahili?
 
Back
Top Bottom