Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

Usije ukalogwa kuamini eti Mmarekani alimuua Osama
Osama yuko hai anakula maisha na ndie anayeisaidia Marekani kupambana na makundi ya kigaidi
 
Mimi siamini chochote hapo coz huyo osama sijawahi kufahamiana nae
 
  • Thanks
Reactions: Pep
OSAMA AIKUWA BINADAMU kama binadamu mwingine ambaye alipata mafunzo toka USA so alikuwa anajua ana deal na watu wa namna gani. KUFA ALIKUFA.. ALIUAWA.
 
OSAMA AIKUWA BINADAMU kama binadamu mwingine ambaye alipata mafunzo toka USA so alikuwa anajua ana deal na watu wa namna gani. KUFA ALIKUFA.. ALIUAWA.
With a lot of intelligence upstairs
 
Picha za maiti yake ikiwa imeharibiwa na kipigo cha risasi zinekosolewa na wengi kuwa ni za kutengenezwa
ad9e955f1a1129077532f2aef441db36.jpg
kumbuka tu kuwa sheikh Osama hakupigwa za kichwa bali kifuani
 
Kama wao hawashindwi mbona kiduku anawatoa jasho! Kama kweli wao vidume walimuua osama basi wamshushie kiduku japo kabomu kamoja basii mbona hadithi nyingi..
 
Back
Top Bottom