Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

Hiyo dhana ya wamarekani kutomuua Osama huwa inanipa maswali.

1.kama hakuuliwa mbona hakujitokeza kupinga?

2.kama alikufa kabla ya oparesheni mbona wafuasi wake walikuwa kimya mda wote kipindi wamarekani wanadai bado yupo hai mara kaibuka kasema hili na lile,mbona hawakusema kama kafa?

Mkuu hujapata taarifa kama jasusi lao jingine Al Baghdad halijafa wakati tuliambiwa kauliwa kwenye shambulizi la warusi long time?
Hakuna alopinga tulivoambiwa kafa, na wafuasi wake walikaa kimya. ila no ivo niliona kwenye ka news ivi jamaa katoa video yake.

Tusiposhuhulisha akili zetu tutachezewa sana tu
 
Walizingatia imani yake ya kiislamu kuwa hairuhusu maiti kuchomwa,na wasingeweza kumzika ardhini kuhofia kuwa ni sehemu ya kuhiji na kuwa kitovu cha ugaidi
Suluhisho ni kumzika baharini kwa mujibu wa imani yake!

Broo katika Islam hakuna kitu kama icho izo ni propaganda tu

Valia ili swala njuga utajua mambo mengi zaidi ya haya yaliyo andikwa na mtoa mada

Inshort kilicho andikwa na mtoa mada hakina uhalisia ata kidogo

Ukitaka kufaham uhalisia do some research about the whole situation
 
Mbona sadam hussein walimuanika ? Kwa jinsi alivyowasumbua wangemuanika uchi hawa wamarekan walivyowakorofi


Mm binafs siamin km osama kauliwa na wamarekan

Bali kama kufa ni kwa ahad yake na hawakuona hata maiti yake bali walichunguza na kujua amekufa

Ili kuonekana majasiri wakapuplish km wao ndo wamemuua

Kuna ukweli ndani yake kwa uyilo yanena mkuu
 
Heee kumbe na wao wana nguvu za Giza mi nkadhani mambo hayo ya sie waswahili tu
Kaka majini yameumbwa na Mungu huyu aliyeumba waafrika na wazungu.. inawezekanaje waliotuletea dini wasijue kama kuna viumbe vinaitwa majini?!.. kuna tofauti kati ya majini na wachawi.
 
Osama alikufa natural death kutokana na maradhi ya figo huko kwenye mapango ya kandahar,cha ajabu NAVY SEALS TEAM SIX ambao ndio inasemekana walifumua ubongo wa Usama mbona waliuliwa woote kwa kuchomwa kama ndafu.ili kuficha siri.
hZRDK.jpg
 
wangewapa ndugu zake wamzike, hilo kaburi ingegeuka kuwa sehemu ya ibada kila mwaka kwa waliokuwa wanaamini philosophy yake.

Kuepusha shari, jamaa wakaamua kuutosa mwili wake baharini.
 
Back
Top Bottom