Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

Waisrael walipanga kwenye TWIN TOWERS na kukata bima kubwa sana kwa ajili ya maduka yao,na wao ndiyo waliolipua TWIN TOWERS kwa ndege ili WALIPWE BIMA.
NI KAZI YA WAYAHUDI(ambao siyo wakristo)kwaajili ya BIMA.
 
Waisrael walipanga kwenye TWIN TOWERS na kukata bima kubwa sana kwa ajili ya maduka yao,na wao ndiyo waliolipua TWIN TOWERS kwa ndege ili WALIPWE BIMA.
NI KAZI YA WAYAHUDI(ambao siyo wakristo)kwaajili ya BIMA.
Mmh dhana mpya hii ambayo sijawahi kuisikia
 
Hadithi za kusema walitaka kupoteza kumbukumbu zake sio za kweli kabisa, wangeweza kumchoma moto(cremation) ama hata kumtumbukiza kwenye pipa la acid nknk ... Tabu yote ya nini kwenda kumzika baharini?
Walizingatia imani yake ya kiislamu kuwa hairuhusu maiti kuchomwa,na wasingeweza kumzika ardhini kuhofia kuwa ni sehemu ya kuhiji na kuwa kitovu cha ugaidi
Suluhisho ni kumzika baharini kwa mujibu wa imani yake!
 
What I believe is that Osama bin Laden is dead,but what I don't understand is the reason why he was buried deep in the sea.
Osama alikufa natural death kutokana na maradhi ya figo huko kwenye mapango ya kandahar,cha ajabu NAVY SEALS TEAM SIX ambao ndio inasemekana walifumua ubongo wa Usama mbona waliuliwa woote kwa kuchomwa kama ndafu.ili kuficha siri.
 
Mtu wa kuleta facts alikuwa ni jasusi aliyetukuka edward snowden, alikuwa anataka kupasua anachokijua kuhusiana na kifo chake, kabla hajaachia episode zake, wakamkamata, hadi leo hawajamwachia,ngoja tuone nani ataweza kuja kutegua kitendawili hiki
 
Mbona sadam hussein walimuanika ? Kwa jinsi alivyowasumbua wangemuanika uchi hawa wamarekan walivyowakorofi


Mm binafs siamin km osama kauliwa na wamarekan

Bali kama kufa ni kwa ahad yake na hawakuona hata maiti yake bali walichunguza na kujua amekufa

Ili kuonekana majasiri wakapuplish km wao ndo wamemuua
 
Back
Top Bottom