Kwanini walimu huwa hawazeeki kirahisi?

Kwanini walimu huwa hawazeeki kirahisi?

Kwema wakuu,

Nimekutana na mwalimu kwenye daladala ambaye alinifundisha zaidi ya miaka 20 iliopita na bado yupo ngangari, muonekano ule ule,

Nilimtambua japo yeye hakunikumbuka kirahisi, nina mifano mingi ya walimu ambao bado wanaonekana vizuri hata baada ya miaka mingi kupita,

Swali langu ni je? kwanini walimu hawazeeki kirahisi? Huwa hawana stress za maisha kama watu wengine au siri ni nini?

Ama kweli walimu wamebarikiwa sana.
Aisee...
Kuna wale waliosoma Zanaki P/S miaka ile kulikuwa na mwalimu mmoja bomba kweli anaitwa Mwalimu Seifu
Baada ya miaka 25, nilikutana nae mnazi mmoja sikuamini macho yangu, yuko vile vile bomba hata ningekuwa mshenzi ningeaanza kumtamani. na kumtongoza.....
Lakini nilimuamkia na mindevu yangu kwa heshima na taadhima na nikamkatia $100 kama asante Mwalimu, tukapiga stori mbili tatu
Natumai bado ni mzima wa afya na nauombea afya na uzima tele.....
 
This is true,wiki iliyopita nilimuona mwalimu wangu wa history alinifundisha mwaka 2011 nikiwa kidato Cha pili tegeta sekondari.

Ilibidi Mimi nimkwepe nisimsalimie maana nilivyozeeka ningepata tabu sana kumkumbusha kwamba ndyo Mimi wa kipindi kile.
Katika miaka yote hyo,sikuona utofauti wowote tangu nilipomuona mpaka wiki iliyopita.
 
This is true,wiki iliyopita nilimuona mwalimu wangu wa history alinifundisha mwaka 2011 nikiwa kidato Cha pili tegeta sekondari.

Ilibidi Mimi nimkwepe nisimsalimie maana nilivyozeeka ningepata tabu sana kumkumbusha kwamba ndyo Mimi wa kipindi kile.
Katika miaka yote hyo,sikuona utofauti wowote tangu nilipomuona mpaka wiki iliyopita.
🤣🤣🤣🤣
Msiwe mnatukwepa jamani, tusalimiane tu.
 
Hii ni kweli aisee.
Mwalimu anafanya kazi na kuridhika na hatima yake.

Ndio maana hata watoto wao wanakuwa poa sana kimaadili sio wote lakini.

Mwalimu anafanya kazi kuanzia saa moja na nusu hadi saa nane mchana. Anarudi nyumbani.

Jumamosi na jmapili anakuwa na familia yake. Siku zote za holiday za kitaifa na za mikutano ya ccm anakaa nyumbani.

Mwl anauhakika wa kula na kulala maisha yake yoote.

Hana presha.
Palikua na ulazima gani wa kutaja mikutano ya sisiem 😂
 
Kwema wakuu,

Nimekutana na mwalimu kwenye daladala ambaye alinifundisha zaidi ya miaka 20 iliopita na bado yupo ngangari, muonekano ule ule,

Nilimtambua japo yeye hakunikumbuka kirahisi, nina mifano mingi ya walimu ambao bado wanaonekana vizuri hata baada ya miaka mingi kupita,

Swali langu ni je? kwanini walimu hawazeeki kirahisi? Huwa hawana stress za maisha kama watu wengine au siri ni nini?

Ama kweli walimu wamebarikiwa sana.
kwa sababu wanakula vi2 vya asili visivyo na mafuta
 
Kwema wakuu,

Nimekutana na mwalimu kwenye daladala ambaye alinifundisha zaidi ya miaka 20 iliopita na bado yupo ngangari, muonekano ule ule,

Nilimtambua japo yeye hakunikumbuka kirahisi, nina mifano mingi ya walimu ambao bado wanaonekana vizuri hata baada ya miaka mingi kupita,

Swali langu ni je? kwanini walimu hawazeeki kirahisi? Huwa hawana stress za maisha kama watu wengine au siri ni nini?

Ama kweli walimu wamebarikiwa sana.
Kuongea ongea, hawana muda wa kuwaza shida zao
 
Kwema wakuu,

Nimekutana na mwalimu kwenye daladala ambaye alinifundisha zaidi ya miaka 20 iliopita na bado yupo ngangari, muonekano ule ule,

Nilimtambua japo yeye hakunikumbuka kirahisi, nina mifano mingi ya walimu ambao bado wanaonekana vizuri hata baada ya miaka mingi kupita,

Swali langu ni je? kwanini walimu hawazeeki kirahisi? Huwa hawana stress za maisha kama watu wengine au siri ni nini?

Ama kweli walimu wamebarikiwa sana.
Wana baraka nyingi za wanafunzi wote waliopita kwenye mikono yao.
 
Kwema wakuu,

Nimekutana na mwalimu kwenye daladala ambaye alinifundisha zaidi ya miaka 20 iliopita na bado yupo ngangari, muonekano ule ule,

Nilimtambua japo yeye hakunikumbuka kirahisi, nina mifano mingi ya walimu ambao bado wanaonekana vizuri hata baada ya miaka mingi kupita,

Swali langu ni je? kwanini walimu hawazeeki kirahisi? Huwa hawana stress za maisha kama watu wengine au siri ni nini?

Ama kweli walimu wamebarikiwa sana.
Hongera kwao
 
This is true,wiki iliyopita nilimuona mwalimu wangu wa history alinifundisha mwaka 2011 nikiwa kidato Cha pili tegeta sekondari.

Ilibidi Mimi nimkwepe nisimsalimie maana nilivyozeeka ningepata tabu sana kumkumbusha kwamba ndyo Mimi wa kipindi kile.
Katika miaka yote hyo,sikuona utofauti wowote tangu nilipomuona mpaka wiki iliyopita.
😂😂😂😂 Full mandevu hadi unawaza sijui niseme shkamoo sijui niseme za saizi.....
 
Back
Top Bottom