Kwanini walimu huwa hawazeeki kirahisi?

Kwanini walimu huwa hawazeeki kirahisi?

Hili swali lilishajibiwa miaka kadhaa iliyopita. U apokuwa mtoto by default unaona watu wazima kama wenye umri sana. Mwalimu akiwa na miaka 35 na wewe ukiwa na miaka 12 utanwona mtu mzima sana. Sasa ukija fikisha miaka 32 na yeye akawa na 55 utaona bado yuko fit. Chunguzeni hilo mtabaini
 
Life style ya walimu inawafanya waonekane hawazeeki haraka.

Kutokana na hali zetu duni, hatuli junk foods. Mboga mboga, matunda, dagaa kwa wingi 🤣

Miili ina mazoezi ya kutosha. Muda mwingi tunakimbizana na watoto, kufundisha twafundisha tumesimama, mara nyingi kutoka na kwenda kazini ni kwa kutembea nk.

Kuridhika na kipato kidogo tulichonacho, na uhakika wa kupata angalau kipato kila mwezi inasaidia zaidi kisaikolojia.

Kutokuwa na hofu na kupelekeshwa. Kazi zetu ni kwa ratiba maalumu hivyo tunazitekeleza bila kuwa na hofu ama tension.

Kukaa wengi sehemu moja (staff room) kunatufanya muda mwingi tusocialize ukijumlisha na kushare vituko vya wanafunzi inasaidia hupunguza kidogo msongo wa mawazo.
Nk nk nk nk
 
ni kweli.sis kil tukikutana na mwl kinabo, munuo au mwl galawika unshangaa yupo vile vile. au mwl komba
 
Back
Top Bottom