Kwanini walimu huwa hawazeeki kirahisi?

Kwanini walimu huwa hawazeeki kirahisi?

Kuongea na kutembea kwingi ni zoezi kwao, kuna utafiti ulifanyika ikaonekana hata wahubiri wa kufokafoka hawazeeki kwakuwa mussles za usoni ziko busy muda wote
Aisee hili ni kweli,

Mara ya kwanza kabisa namwona MWL: CHRISTOPHER MWAKASEGE ilikua ni pale moshi uwanja wa mashujaa 2004 hiv kama sijasahau,
Hua namwangalia kwenye televisheni au yutubu hajazeeka
Na pia Nimemwona live 2020, bado hajazeeka, nuru ipo hata kama ana miaka 50+

Cheki wa umri wake wanavyoonekana saivi
 
Me nimeacha kufundisha miaka mingi sasa, ila kitendo cha kuwahi kuwa mwalimu tu bhaass...wanangu wote nilowasomesha now kama tupo sawa tu
Na hii Imekuwa hivi miaka na miaka karibu kwa walimu wote. Siri ni nini haswa?
Mwalimu anaongea sana kupitia kuongea anachoma mafuta ndo maana hata mwalimu ambaye anafundisha has wa ni ngumu kukuta ni mnene au ana manyama uzembe pia walimu ni kazi ya baraka iliyojitenga na ufisadi
 
Ukofatilia Sana Mkuu katika maofisi tazama makarani wa mahakama

Tazama wale offfice attendant , n.k

Kutokuzeeka kunachangiwa zaidi na lifestyle and affordability .

Hasa katika chakula .

Mimi wakati nafundisha walimu walikuwa wanakula chakula wanachokula wanafunzi .

Labda atapata chai na andazi 3 mchana ugali au wali na maharage

Akitoka Shule atatembea kwa mguu kwakuwa hana nauli .

Hiyo ni daily routine so kuzeeka kunaweza kusiwepo kwa haraka.


Na advantage iliyopo ni ya kisaikolojia , unakuwa unasikilizwa na wanafunzi unaheshimiwa n.k

Kwahiyo hata Kama huana kitu kikubwa unaweza kupata utulivu .

Ile kifokewa ,kukoselewa huwa hamna na walimu Shule yoyote huwa wanatunziana Sana heshima .
 
Kabisa yani, mi kuna siku nlikutana na mwalimu alienifundisha vidudu achana na sahivi sijui inaitwaje, dah madam P yupo vile vile yani kama binti.

Kuna kada mtu ana 40s tu kachoka hadi unahisi kadanganya umri
Tumeridhika na shida zetu🤣
 
Back
Top Bottom