Kwanini walimu huwa hawazeeki kirahisi?

Kwanini walimu huwa hawazeeki kirahisi?

Maisha ya Mwalimu ni MAZOEZI tosha..

Amka 11 kulala 2 Usiku

Mazoezi ya Wanafunzi na yeye lazima ashiriki

Michezo ya Wanafunzi na yeye lazima ashiriki

Kila anachofanya mwanafunzi lazima na yeye Ashiriki.

Mwili wa Mwalimu upo MAZOEZINI muda wote, ni Kazi inayohusisha Mwili kwa 95%

Kusimama ni almost 90% maishani mwake

Kuandika mikono juu ubaoni,nk

Kuna vitu vingi sana ambavyo MWALIMU anafanya vinamfanya asizeeke

Tunarudi kwenye USHAURI WA DOKTA JANABI KWAMBA...

Mazoezi ni kila kitu maishani,ukitaka kuonekana kijana Milele,

Mazoezi na wala sio siri nyingine
 
Kwema wakuu,

Nimekutana na mwalimu kwenye daladala ambaye alinifundisha zaidi ya miaka 20 iliopita na bado yupo ngangari, muonekano ule ule,

Nilimtambua japo yeye hakunikumbuka kirahisi, nina mifano mingi ya walimu ambao bado wanaonekana vizuri hata baada ya miaka mingi kupita,

Swali langu ni je? kwanini walimu hawazeeki kirahisi? Huwa hawana stress za maisha kama watu wengine au siri ni nini?

Ama kweli walimu wamebarikiwa sana.
Kwa sababu wanakula chaki.

Cc Kijana Masikini
 
Kwema wakuu,

Nimekutana na mwalimu kwenye daladala ambaye alinifundisha zaidi ya miaka 20 iliopita na bado yupo ngangari, muonekano ule ule,

Nilimtambua japo yeye hakunikumbuka kirahisi, nina mifano mingi ya walimu ambao bado wanaonekana vizuri hata baada ya miaka mingi kupita,

Swali langu ni je? kwanini walimu hawazeeki kirahisi? Huwa hawana stress za maisha kama watu wengine au siri ni nini?

Ama kweli walimu wamebarikiwa sana.
The fact ni kwamba career yao inawalazimu kusimama muda mrefu na kutembembea sana tofauti na watendaji wanaokaa muda mrefu kwenye life time ya kikazi
 
Kwa sababu wanakula chaki.

Cc Kijana Masikini
Dah nimemkumbuka mwalimu wangu primary alikuwa ananijali kinoma yaani chai ofisini na mambo mengi tu hadi walimu wengi wakawa wananiita mume wake. alikuwa pisi yule ticha ila alikuwa na roho ngumu kiasi jamii ilikuwa haimpendi, natamani kuonana nae tutete mawili matatu.
 
Ualimu ni kazi yenye baraka kutoka Kwa MUNGU na wanadamu pia.....jiulize kwanini polisi wakistaafu wanaugua stroke?
Hii argument ina-contradict na hoja ya mazoezi ambayo huchangia pakubwa walimu kutozeeka. Maana kama ni mazoezi sidhani kama walimu wanawafikia polisi kwa mazoezi.

That means, inajenga tafakuri nyingine kwamba sio mazoezi tu, kuna factors nyingine zinachangia walimu kutozeeka haraka kama ni kweli hawazeeki haraka.
 
Me nimeacha kufundisha miaka mingi sasa, ila kitendo cha kuwahi kuwa mwalimu tu bhaass...wanangu wote nilowasomesha now kama tupo sawa tu
Na hii Imekuwa hivi miaka na miaka karibu kwa walimu wote. Siri ni nini haswa?
Mkuu ulipoaanza kuelezea nilijua kuwa utaweka hitimisho la jibu ila umetuacha njiani, hebu malizia basi wewe ni mtu sahihi kutupa jibu
 
Back
Top Bottom