900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 9,423
- 11,439
Hadi walimu wa tuitionsSio tu walimu watu wanaolipwa mshahara mdogo huwa hawazeeki
Hadi walimu wa tuitionsSio tu walimu watu wanaolipwa mshahara mdogo huwa hawazeeki
😂😂😂 kama hajapatwa na matatizo yoyote ya kiafya atakuwa ni pisi hadi kesho maana ana kamwili flani hivi kidogo.Duh, hebu tafuta nambari yake ya simu unipatie 😎
AhaaHadi walimu wa tuitions
Ha ha haaaa. Sina jibu la uhakika mkuu just kudhania tuMkuu ulipoaanza kuelezea nilijua kuwa utaweka hitimisho la jibu ila umetuacha njiani, hebu malizia basi wewe ni mtu sahihi kutupa jibu
Yaani mtete tu bhaasss?Dah nimemkumbuka mwalimu wangu primary alikuwa ananijali kinoma yaani chai ofisini na mambo mengi tu hadi walimu wengi wakawa wananiita mume wake. alikuwa pisi yule ticha ila alikuwa na roho ngumu kiasi jamii ilikuwa haimpendi, natamani kuonana nae tutete mawili matatu.
inawezekana kabisaHa ha haaaa. Sina jibu la uhakika mkuu just kudhania tu
Me naona ile kusimama, kutembeatembea wakati wa kusomesha na kuandika. Kufanya kazi masaa machache, kushare knowledge...labda inaweza kuwa ndio sababu.
Huyu ni wewe kabisa na doria unajua 😆😆😆😆 lete exposureNa sahivi hayupo home kaondoka na difenda kaenda doria 😂😂
Kuongea na kutembea kwingi ni zoezi kwao, kuna utafiti ulifanyika ikaonekana hata wahubiri wa kufokafoka hawazeeki kwakuwa mussles za usoni ziko busy muda woteSwali langu ni je? kwanini walimu hawazeeki kirahisi? Huwa hawana stress za maisha kama watu wengine au siri ni nini?
Ama kweli walimu wamebarikiwa sana.
Eee ni wewe Ticha? (Samani lakini sijajua jinsia yako) Maana hiyo avatar ina fanana karibu asilimia 75, kupunguza uongo ni maelezo niliyompa secretarybird kabla hata hujani quote.Yaani mtete tu bhaasss?
Sema kwanini hamzeeki?
😂Eee ni wewe Ticha? (Samani lakini sijajua jinsia yako) Maana hiyo avatar ina fanana karibu asilimia 75, kupunguza uongo ni maelezo niliyompa secretarybird kabla hata hujani quote.
😂😂😂 Lakini hata hivyo yule Ticha alivyokawa kichwa kitupu hawezi kuijua jf.
100%Inawaepusha na kula kula ovyo na ulevi hence they stay healthy 🤣🤣🤣
Fanya hima mkuu😂😂😂 kama hajapatwa na matatizo yoyote ya kiafya atakuwa ni pisi hadi kesho maana ana kamwili flani hivi kidogo.
Vipi kuselfika umeacha?
Akiwa Angel Nylon nitafurahi sana.Eee ni wewe Ticha? (Samani lakini sijajua jinsia yako) Maana hiyo avatar ina fanana karibu asilimia 75, kupunguza uongo ni maelezo niliyompa secretarybird kabla hata hujani quote.