Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Duhh mahusiano ya namna hii tayari hayanifai! Hawaheshimiani kwanz, hizo lugha wanazotumia duhh🙆🏽‍♀
Umeona eeeh ndio maana nakwambia wewe ni wangu na chaguo Lako nimimi hata kama wewe ni mdogo kwangu ila unanifaa🤸
 
Two wrongs don't make it correct. Mwanaume anaechepuka ahukumiwe yeye binafsi kama mwanaume, na mwanamke anaechepuka ahukumiwe yeye binafsi kama mwanamke. Kusiwe na upande mmoja wa kuhalalisha uchepukaji wao kwa kurusha lawama upande mwingine. Je wanaume tukinywa sumu nanyi mtakunywa? jibu ni hapana, hii maana yake wanawake mnajua kipi chema kipi kibaya bila kujali mwanaume kafanya nini
💯 lakini hii sio mathematics kwamba 1+1=11

Sayansi ya mahusiano yoyote yale iwe ndugu, urafiki, ndoa iko complicated. Tunapoijadili hatuwezi kuacha kujadili “visababishi”.

Sio kwa maana ya kujustify bali kueleza hiki kimesababishwa na hiki na kile na kile ikawa hivi.
 
💯 lakini hii sio mathematics kwamba 1+1=11

Sayansi ya mahusiano yoyote yale iwe ndugu, urafiki, ndoa iko complicated. Tunapoijadili hatuwezi kuacha kujadili “visababishi”.

Sio kwa maana ya kujustify bali kueleza hiki kimesababishwa na hiki na kile na kile ikawa hivi.
Unanikoshaaa haswaaa!!!
 
Swadaktaaa!

Wanaume watapata wenza kwa haraka, kwa sababu ya wao kuwa provider, unaelewa nini namaanisha maana ya kuwa provider.
Yes, hapa kuna kitu umeongea nikamkumbuka msanii wa kizazi hichi shiloe mwenye shishi food. Yeye anaolewa tu sijui anaoa sababu ni provider lakini unadhani mwanamke provider mwenye historia isiyofaa ni sawa sawa na mwanaume mwenye historia kama hiyo hiyo? NO, sababu ni kwamba mwanamke kapewa jukumu la maadili na jamii ya wanaume maana ndo walezi wa tabia za watoto.
 
Unanikoshaaa haswaaa!!!
We tena , nisapoti hadi wanipige humu 🤣

Unajua nini mdogo wangu Coca, suala la mahusiano na ndoa ni very complicated na mimi sipendi kuwatia wanaume moyo kwa kuwaambia wanayotaka kuyasikia, ili tuelewane sote lazima tujenge tabia ya kuambiana ukweli.
 
Back
Top Bottom