Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 12,406
- 36,569
Basi tufanye tu kila mtu ni malayaMke sahihi n yule anayeepuka ushawishi, aliyechepuka baada ya kupata vishawishi vingi na aliyechekupa Bila ushawishi hao wote hawana utofauti, hao wote n malaya.
Basi tufanye tu kila mtu ni malayaMke sahihi n yule anayeepuka ushawishi, aliyechepuka baada ya kupata vishawishi vingi na aliyechekupa Bila ushawishi hao wote hawana utofauti, hao wote n malaya.
Umalaya n umalaya tuu, jambo lolote la kujipatia pesa au kuridhishwa kimapenzi kutoka kwa mwanaume asiye wako, huo n umalayaSasa hiyo n more advanced.
Sa umalaya gani hujaguswa?
Watu mkishakuwa wanene mnajiona wakubwa, sawa baby wangu nakupendaKiben 10 una sipirit ya ujiamini sana🤔
Ahsante, tena wee ndo umenipa na extra points, kumbe hata mwanamke Malaya akiwa provider bado atapata wenza kwa haraka na rahisi km ilivyo kwa wanaume ambapo umeweka mfano Shilole.Yes, hapa kuna kitu umeongea nikamkumbuka msanii wa kizazi hichi shiloe mwenye shishi food. Yeye anaolewa tu sijui anaoa sababu ni provider lakini unadhani mwanamke provider mwenye historia isiyofaa ni sawa sawa na mwanaume mwenye historia kama hiyo hiyo? NO, sababu ni kwamba mwanamke kapewa jukumu la maadili na jamii ya wanaume maana ndo walezi wa tabia za watoto.
Mm sijawah kumpa pesa mwanamke ambaye sio wangu, hvy mm sio malayaBasi tufanye tu kila mtu ni malaya
Kwahiyo hata pesa hazina exceptional 😳Umalaya n umalaya tuu, jambo lolote la kujipatia pesa au kuridhishwa kimapenzi kutoka kwa mwanaume asiye wako, huo n umalaya
Ninapo kupenda mahi, uko mkweli na muwazi, yaani hujigusi waja wataonaje? Wanataka nini? Wee unawapa wanachostahilii.We tena , nisapoti hadi wanipige humu 🤣
Unajua nini mdogo wangu Coca, suala la mahusiano na ndoa ni very complicated na mimi sipendi kuwatia wanaume moyo kwa kuwaambia wanayoyata kuyasikia, ili tuelewane sote lazima tujenge tabia ya kuambiana ukweli.
Mi na unene wapi na wapi?Watu mkishakuwa wanene mnajiona wakubwa, sawa baby wangu nakupenda
Wachaga na kutoa pesa wapi na wapi😂Mm sijawah kumpa pesa mwanamke ambaye sio wangu, hvy mm sio malaya
Ishu n una pokea hy pesa ww kama nani kwakeKwahiyo hata pesa hazina exceptional 😳
Umalaya n umalaya tu, hakuna umalaya mkubwa wala mdogo.
Huwez kusema muaji wa mtu mmoja n tofaut na muuaji wa watu kumi.
Hahaha Mkuu labda ukishamuoa na bikra yake muende kuishi porini.Sasa bikra anakijuliwa wapi? Kukaa kwenye jamii iliyo kengeuka haina maana kwamba unakubaliana nayo, wewe unazani wanaishi kwenye zilizo ruhusu maswala uhalali wa ndoa za jinsia moja wote wanakubaliana nayo,kisa wanaishi kwenye mwaka 2026?
Kama jamii ile dhana ya uwajibikaji ipo kwa wachache sana, zamani wazazi walikuwa wanawajibika kwenye kumlea na kumfundisha mambo mema mtoto na binti alikuwa anawajibika kujitunza.Ndio maana hata ndoa,familia na jamii zilikuwa ni bora ,kila mtu anawajibika,wajibika kwa familia yako usiangalie trend ya jamii husika current inafanya nini.
Mm n mpare 😎Wachaga na kutoa pesa wapi na wapi😂
wanaume tunapendelewa sana tukioa Mungu mwenyewe kasema tunapata vibali tunapata chombo chema sasa haya mengine huwa yanatokea wapi au tunakosea kuchagua mpaka wanasaliti wakijutia amekutana na msukule
Kwa nnje ni mwembamba Tena English figure ila Wewe ni mnene kwa ndani, uzuri na utamu wako naujue mimi🥰Mi na unene wapi na wapi?
Swadaktaaa!
Wanaume watapata wenza kwa haraka, kwa sababu ya wao kuwa provider, unaelewa nini namaanisha maana ya kuwa provider.
Allah akbar 🤝😊Takbir
Kama nakuheshimu Siwez kutembea na mkeo.
We ukipokea pesa mpaka uwe na tittle?Ishu n una pokea hy pesa ww kama nani kwake