Kwanini waislamu wanapingana kuhusu uhalali wa Hadithi?

Kwanini waislamu wanapingana kuhusu uhalali wa Hadithi?

Shetani huja kwa mmoja wenu wakati wa swala na hupuliza kwenye makalioni mwake (at his backside), kiasi cha kumuacha adhani ametoa upepo, ilhali hakujitoa.”
Na kama hilo litokee, haumwachagi kuacha swala mpaka asikie sauti ya kweli ya upepo au apate harufu yake.
— Hadith hii imeorodheshwa kwenye kitabu cha Bulugh al‑Maram (riwaya kutoka kwa Ibn ‘Abbas na Abu Sa’id) kuhusu suala la wasiwasi wa upepo wakati wa swala.
Kwa hiyo mtu akitoa ushuzi watasema ni shetani kapuliza au
 
Quran 9:30 inasema wayahudi wanasema Uzeir ni mwana wa Mungu kihistoria wayahudi hawajawahi kusema hayo maneno hata kimaandiko pia Hata Huyo Uzeir ni nani Quran inashindwa kujibu.
Wayahudi walikua wakiishi na mtume Madina,akifanya nao mijadala,kupeana vyakula,aliona ibada zao, alijua imani Yao
Wewe upo kinyerezi maji hakuna,umejaa fangasi kwenye korodani unabisha mambo yaliyofanyika Madina miaka 1500+ iliyopita, tumia kichwa chako vizuri
 
Napendaga ile hadith mudi alikuwa akinyonya ndimi za wanaume wenzake na kulamba midomo yao akiwa uchi msikitini.

Hii Hadith inawaumizaga kobaz.

Kuna ile shetani anawapulizia matakoni wakiswali. Yani kobaz inamuuma balaaa.

adriz de mbusii
Big show na wenzako, hii mnasemaje na ina ukweli au?majibu tafadhari
 
Muislam gani aliziwia maiti kukaa mortuary au kukataa kusafirisha?..muwe mnatafuta taarifa za kweli siyo ukilisikia tu kwenye vikao vya ulevi basi unalibeba

Quran haijaelekeza kumkafini wala kumvika sanda marehem
Kwanza huu mjadala sitaki uwe unajadiliwa kwa midadi. Sisi ni watu wenye uislamu kwenye Koo na familia zetu.

Mambo ya kusema sijui vikao vya pombe siyo sawa. Siyo mara Moja Wala Kwa familia Moja. Mara kadhaa waislamu wamekataa maiti zao kuwekwa mortuary au kusafirishwa.

Kama si muongozo wa Quran kuhusu maziko sema tu bila ya kumkerehesha mtu anayeuliza.

Maana wengi wetu maisha yetu tumejua mambo manne yampasayo maiti ni haya:

1. Kuoshwa

2. Kuvikwa sanda

3. Kuswalia

4. Kuzikwa.

Sasa kama wewe kama una maarifa tofauti tueleze bila ya kuleta taharuki. Hii ni mada ya kuelimishana.
 
Wayahudi walikua wakiishi na mtume Madina,akifanya nao mijadala,kupeana vyakula,aliona ibada zao, alijua imani Yao
Wewe upo kinyerezi maji hakuna,umejaa fangasi kwenye korodani unabisha mambo yaliyofanyika Madina miaka 1500+ iliyopita, tumia kichwa chako vizuri
Unatumia siasa kujibu ninahisi wewe sio Muislam, Sasa Mtume Mohammad aliyekuja miaka 570 baada ya Yesu ni nani wa kumwamini kati ya mafundisho ya Yesu au Mohammad?
 
Kwanza huu mjadala sitaki uwe unajadiliwa kwa midadi. Sisi ni watu wenye uislamu kwenye Koo na familia zetu.

Mambo ya kusema sijui vikao vya pombe siyo sawa. Siyo mara Moja Wala Kwa familia Moja. Mara kadhaa waislamu wamekataa maiti zao kuwekwa mortuary au kusafirishwa.

Kama si muongozo wa Quran kuhusu maziko sema tu bila ya kumkerehesha mtu anayeuliza.

Maana wengi wetu maisha yetu tumejua mambo manne yampasayo maiti ni haya:

1. Kuoshwa

2. Kuvikwa sanda

3. Kuswalia

4. Kuzikwa.

Sasa kama wewe kama una maarifa tofauti tueleze bila ya kuleta taharuki. Hii ni mada ya kuelimishana.
Kwamba hapajawahi kuwa na maiti ya muislam mochwari wala kusafirishwa?
Quran haijaagiza kuosha wala kuvika sanda maiti,bali kuisomea Dua na kuzika
Maadam haijakataza kuosha na kuvika sanda basi unaweza fanya
 
Unatumia siasa kujibu ninahisi wewe sio Muislam, Sasa Mtume Mohammad aliyekuja miaka 570 baada ya Yesu ni nani wa kumwamini kati ya mafundisho ya Yesu au Mohammad?
Mafundisho ya yesu na Muhammad ni yaleyale, Mungu mmoja,hafanani na chochote,hana mshirika
 
Hadith nyingi zimeandikwa takriban miaka 60 hadi 100 baada ya Mtume
na kwa bahati mbaya zipo hadidhi feki nyingi zilizo andikwa na wale waliokuwa wanauchukia uislam.

Watu hasa wale ambao sio waislam au waislam wachache ambao hawana elimu; hushindwa kutofautisha ni hadithi ipi waiamini na ipi ni Feki lakini pia baadhi ya hadith zimeandikwa kwa tamaduni za kiarabu sasa zikiletwa huku, mambo yakaonekana tofauti na kwetu; wale wapinzani wa Uislam hulazimisha watu waamini kuwa ni mafundisho ya Uislam...kumbe ni tamaduni za kiarabu

Na ndio sababu Waamini; wakitofautiana kwenye Uislam, hutumia Quran na sio Hadithi; Hadithi ni za kusherehesha tu...
Makashfa ya hovyo hovyo dhidi ya Uislam utayasikia kwenye hadithi nyingi FEKI!
Wewe 60 Kijakazi 200 which is which nyinyi waumini
 
Back
Top Bottom