Kwanini waislamu wanapingana kuhusu uhalali wa Hadithi?

Kwanini waislamu wanapingana kuhusu uhalali wa Hadithi?

JE, HIZI SIFA ZA AJABU ZA MUHAMMAD NI ZA KITUME?

1. Muhammad alizini na kijakazi/alikuwa Malaya.
2. Muhammad alikuwa na changudoa
3. Muhammad alinyonya ulimi wa mwenzake na wa watoto(Shoga)
4. Muhammad alikuwa Mlevi
5. Muhammad alikuwa amerogwa
Wengi wenu labda hamkuwa mnazifahamu hizi siri ambazo Waislam wanazificha kila siku. Naam, naziita siri kwasababu huwa hawasemi huu ukweli wa Muhammad Mtume wa Allah.
MTUME MUHAMMAD ALIFUMANIWA NA KIJAKAZI WA MKEWE
Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako.
(Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)
Je, huku kufumaniwa ndio sifa za kitume?
MTUME MUHAMAMD ALIKUWA NA CHANGU DOA
Sunan Abu-Dawud, Kitabu 38, Namba 4458: Amehadithia Ali ibn AbuTalib: "Mtumwa wa Kisichana ambaye alikuwa mali ya nyumba ya Mtume wa Allah aligawa Uroda kwa Rafiki ya Muhammad. Basi Nabii wa Allah akasema kwa Ali: Nenda na ukampe adhabu Muasherati wangu kwa kufanya Ngono bila ya ruhusa yangu. Ali akaharakisha kwenda alipo yule Mtumwa wa Kisichana wa Muhammad na kuona damu ilikuwa inatiririka kutoka kwake, na bila kuacha. Hivyo Muhammad alikwenda kwake na akasema: Mwache damu iendelee kutiririka mpaka itakopo simama; kisha mpe adhabu kwa mujibu wa dhambi yake".
Je, kuwa na chagu doa ni sifa ya kiutume?
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN
Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
Je, Muhammad kunyonya ulimi watu wa jinsia yake, ni sifa ya kitume?
MTUME MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI
Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, UNATAKA KUNYWA MVINYO? Mtume Muhammad akasema: NDIO. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete MVINYO ULIO MKALI ILI NINYWE; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule MVINYO MKALI ALILEWA
Je, kula ulabu ni sifa ya kitume?
MTUME MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA
Pia, kwa mujibu wa Sahih Bukhari juzuu ya 4, Kitabu cha 54, Hadithi namba 490 na Sahih Bukhari, juzuu ya 7, kitabu cha 71, hadithi namba 658; Muhammad alirogwa na akazurika na uchawi. Kisa cha mtume kurogwa na kuzurika na uchawi pia kinasimuliwa katika quran Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy ukurasa wa 977 na 978.
Je, kurogwa ni sifa ya utume?
MASWALI:
(a) Ikiwa uchawi ni ukafiri, kuna uhusiano gani kati ya Allah na ukafiri mpaka atelemshe uchawi?
(b)Mtume Muhammad alirogwa na wachawi wa kiislam au wachawi wengine?
(c) Mtume Muhammad alirogwa na uchawi ulioteremshwa na malaika wa Allah au uchawi mwingine?
(d) Mtume au nabii gani mwingine alirogwa na akaathirika na uchawi?
Kama Muhamamd alikuwa Mtume wa Mungu, mbona tabia zake si za kitume na hazifanani na mitume walio tangulia kbala yake?

Kimsingi kusudio la hadithi lilikuwa kwa ajili ya ufafanuzi tu mfano; ukisoma sura/Aya Kwenye Quran kama hujailewa unaweza kutafuta hadithi/ historia ya hicho kifungu kuwa kiletwa wakati gani na maksudi yake yalikuwa nini na kukufanya uelewe kwa undani. Hiyo ndio ilikuwa kusudio la msingi la hadithi;

LAKINI sasa waliingia mamluki wakaandika mila za kiarabu na waposhoshaji waka andika habari za kudhalilisha na kuziita hadithi.....na hata kwa akili ya kawaida ya darasa la nne ukisoma walicho andika utaona kabisa ni upotoshaji wa hali ya juu. Wanao weza kuamini huo upuuzi ni wale walio soma kwa kuunga unga huko mashuleni...

Hivyo zile hadithi zilizo elezea kila sura ilivyokuja na maana iliyokusudiwa ndio sahihi....
Lakini ikumbukwe pia kuwa Mitume wote akiwemo Yesu walikuwa ni watu kama sisi (wanakula, wanaenda choo, wana lala usingizi, wanaumwa, wanaomba kwa Mungu awape uwezo wa kutenda nk ) tofauti yake na sisi ni kuwa, walikuwa na uwezo wa kupokea ujumbe kutoka kwa Mungu.
 
Kimsingi kusudio la hadithi lilikuwa kwa ajili ya ufafanuzi tu mfano; ukisoma sura/Aya Kwenye Quran kama hujailewa unaweza kutafuta hadithi/ historia ya hicho kifungu kuwa kiletwa wakati gani na maksudi yake yalikuwa nini na kukufanya uelewe kwa undani. Hiyo ndio ilikuwa kusudio la msingi la hadithi;

LAKINI sasa waliingia mamluki wakaandika mila za kiarabu na waposhoshaji waka andika habari za kudhalilisha na kuzi ita hadithi.....na hata kwa akili ya kawaida ukisoma walicho andika hata kwa akili ya darasa la nne utaona kabisa ni upotoshaji wa hali ya juu...

Hivyo zile hadithi zilizo elezea kila sura ilivyokuja na maana iliyokusudiwa ndio sahihi....
Kwa maelezo yako haya inaonesha bila ya shaka kwenye Quran imetajwa kuwa kutakuwa na hadithi za kuielezea Quran?
 
Hii imo kwenye hadithi ama kwenye Quran?

Jibu fupi:
Qur’an imetaja mambo ya msingi, lakini maelezo mengi ya yanayotengua udhu yako kwenye Hadithi sahihi.
Nifafanue kidogo kwa ushahidi

Ushahidi kutoka Qur’an
Qur’an imetaja hali ya udhu na wakati wa kuurudia, si orodha ndefu ya vinavyoutengua.
Aya kuu:
Surat Al-Ma’idah 5:6
“Enyi mlioamini! Mnaposimama kwa ajili ya Swala, basini osheni nyuso zenu na mikono yenu mpaka viwiko, mpanguse vichwa vyenu na (mioshe) miguu yenu mpaka vifundoni…”

Aya hii:
Inaonyesha udhu ni sharti la swala
Lakini haijaorodhesha moja kwa moja kila kinachotengua udhu

Ushahidi kutoka Hadithi
Hapa ndipo maelezo ya kina yapo

1. Kutoka kitu katika tupu mbili (mkojo, kinyesi, upepo)
Hadithi (Bukhari & Muslim):
“Allah hakubali swala ya mmoja wenu anapopata hadathi mpaka atawadhe.”
Na Mtume ﷺ akaeleza hadathi kuwa ni:
“…akisikia sauti au akahisi harufu.”
— (Muslim)
Hii ni dalili ya upepo (gesi).

2. Kulala usingizi mzito
Hadithi (Abu Dawud):
“Jicho ni kifungo cha tupu; ikilala macho, kifungo hufunguka.”
Ndiyo maana usingizi mzito hutengua udhu.

3. Kugusa tupu
Hadithi sahihi (Ahmad, Abu Dawud, Tirmidhy):
“Atakayegusa tupu yake basi na atawadhe.”

4. Kula nyama ya ngamia
Hadithi sahihi (Muslim):
Mtume ﷺ alipoulizwa:
“Je, tufanye udhu kwa kula nyama ya ngamia?”
Akasema: “Ndiyo.”
5. Kupoteza fahamu (kuzimia, kulewa n.k.)
Hili limekubaliwa na wanazuoni kwa qiyas (ulinganifu) na usingizi mzito, likitokana na hadithi za fahamu kupotea.
Hitimisho
Qur’an imethibitisha udhu ni sharti
Hadithi zimefafanua nini kinatengua udhu
Ndiyo maana fiqh ya udhu inategemea Qur’an + Sunnah
 
Kimsingi kusudio la hadithi lilikuwa kwa ajili ya ufafanuzi tu mfano; ukisoma sura/Aya Kwenye Quran kama hujailewa unaweza kutafuta hadithi/ historia ya hicho kifungu kuwa kiletwa wakati gani na maksudi yake yalikuwa nini na kukufanya uelewe kwa undani. Hiyo ndio ilikuwa kusudio la msingi la hadithi;

LAKINI sasa waliingia mamluki wakaandika mila za kiarabu na waposhoshaji waka andika habari za kudhalilisha na kuziita hadithi.....na hata kwa akili ya kawaida ya darasa la nne ukisoma walicho andika utaona kabisa ni upotoshaji wa hali ya juu. Wanao weza kuamini huo upuuzi ni wale walio soma kwa kuunga unga huko mashuleni...

Hivyo zile hadithi zilizo elezea kila sura ilivyokuja na maana iliyokusudiwa ndio sahihi....
Lakini ikumbukwe pia kuwa Mitume wote akiwemo Yesu walikuwa ni watu kama sisi (wanakula, wanaenda choo, wana lala usingizi, wanaumwa, wanaomba kwa Mungu awape uwezo wa kutenda nk ) tofauti yake na sisi ni kuwa, walikuwa na uwezo wa kupokea ujumbe kutoka kwa Mungu.
Qur’an imetaja mambo ya msingi, lakini maelezo mengi ya yanayotengua udhu yako kwenye Hadithi sahihi.
Nifafanue kidogo kwa ushahidi

Ushahidi kutoka Qur’an
Qur’an imetaja hali ya udhu na wakati wa kuurudia, si orodha ndefu ya vinavyoutengua.
Aya kuu:
Surat Al-Ma’idah 5:6
“Enyi mlioamini! Mnaposimama kwa ajili ya Swala, basini osheni nyuso zenu na mikono yenu mpaka viwiko, mpanguse vichwa vyenu na (mioshe) miguu yenu mpaka vifundoni…”

Aya hii:
Inaonyesha udhu ni sharti la swala
Lakini haijaorodhesha moja kwa moja kila kinachotengua udhu

Ushahidi kutoka Hadithi
Hapa ndipo maelezo ya kina yapo

1. Kutoka kitu katika tupu mbili (mkojo, kinyesi, upepo)
Hadithi (Bukhari & Muslim):
“Allah hakubali swala ya mmoja wenu anapopata hadathi mpaka atawadhe.”
Na Mtume ﷺ akaeleza hadathi kuwa ni:
“…akisikia sauti au akahisi harufu.”
— (Muslim)
Hii ni dalili ya upepo (gesi).

2. Kulala usingizi mzito
Hadithi (Abu Dawud):
“Jicho ni kifungo cha tupu; ikilala macho, kifungo hufunguka.”
Ndiyo maana usingizi mzito hutengua udhu.

3. Kugusa tupu
Hadithi sahihi (Ahmad, Abu Dawud, Tirmidhy):
“Atakayegusa tupu yake basi na atawadhe.”

4. Kula nyama ya ngamia
Hadithi sahihi (Muslim):
Mtume ﷺ alipoulizwa:
“Je, tufanye udhu kwa kula nyama ya ngamia?”
Akasema: “Ndiyo.”
5. Kupoteza fahamu (kuzimia, kulewa n.k.)
Hili limekubaliwa na wanazuoni kwa qiyas (ulinganifu) na usingizi mzito, likitokana na hadithi za fahamu kupotea.
Hitimisho
Qur’an imethibitisha udhu ni sharti
Hadithi zimefafanua nini kinatengua udhu
Ndiyo maana fiqh ya udhu inategemea Qur’an + Sunnah
 
Kimsingi kusudio la hadithi lilikuwa kwa ajili ya ufafanuzi tu mfano; ukisoma sura/Aya Kwenye Quran kama hujailewa unaweza kutafuta hadithi/ historia ya hicho kifungu kuwa kiletwa wakati gani na maksudi yake yalikuwa nini na kukufanya uelewe kwa undani. Hiyo ndio ilikuwa kusudio la msingi la hadithi;

LAKINI sasa waliingia mamluki wakaandika mila za kiarabu na waposhoshaji waka andika habari za kudhalilisha na kuziita hadithi.....na hata kwa akili ya kawaida ya darasa la nne ukisoma walicho andika utaona kabisa ni upotoshaji wa hali ya juu. Wanao weza kuamini huo upuuzi ni wale walio soma kwa kuunga unga huko mashuleni...

Hivyo zile hadithi zilizo elezea kila sura ilivyokuja na maana iliyokusudiwa ndio sahihi....
Lakini ikumbukwe pia kuwa Mitume wote akiwemo Yesu walikuwa ni watu kama sisi (wanakula, wanaenda choo, wana lala usingizi, wanaumwa, wanaomba kwa Mungu awape uwezo wa kutenda nk ) tofauti yake na sisi ni kuwa, walikuwa na uwezo wa kupokea ujumbe kutoka kwa Mungu.

Zayd bin Harithah ni nani?

Alikuwa mtumwa aliyepewa Mtume Muhammad, ambaye alikombolewa na kupendwa kama mwana.

Mtume Muhammad alimchukua kama mwana wa kufikia (adopted son) na watu walimuita "Zayd bin Muhammad" kwa muda.

Lakini baadaye Mtume alikataza kuita watoto wa kufikia kwa majina ya wale waliowalea, ikasisitiza waitwe kwa jina la baba zao wa kweli: akijitengenezea mazingira ya kuja Mgegeda huko mbeleni maana alishampenda.

“Waiteni kwa baba zao; huo ndio uadilifu mbele ya Mwenyezi Mungu...”
(Surah Al-Ahzab 33:5)

Zaynab bint Jahsh ni nani?

Alikuwa binamu wa Mtume Muhammad.

Aliolewa na Zayd bin Harithah kwa ushauri wa Mtume.

Ndoa yao haikudumu, wakatengana (Zayd alimpa talaka Zaynab) baada ya kuwa na mifarakano kila wakati mwanamke akijazwa upepo na Muhamad na kupewa kiburi.

Muhamd anasema kwamba ndoa hii ilitokea kwa amri ya Mwenyezi Mungu, ili kuvunja mila ya Waarabu ya kuona aibu mtu kumuoa mke wa zamani wa mwana wa kufikia, jambo ambalo halina msingi wa kisheria (kwa sababu si mwana wa damu).
 
Kimsingi kusudio la hadithi lilikuwa kwa ajili ya ufafanuzi tu mfano; ukisoma sura/Aya Kwenye Quran kama hujailewa unaweza kutafuta hadithi/ historia ya hicho kifungu kuwa kiletwa wakati gani na maksudi yake yalikuwa nini na kukufanya uelewe kwa undani. Hiyo ndio ilikuwa kusudio la msingi la hadithi;

LAKINI sasa waliingia mamluki wakaandika mila za kiarabu na waposhoshaji waka andika habari za kudhalilisha na kuziita hadithi.....na hata kwa akili ya kawaida ya darasa la nne ukisoma walicho andika utaona kabisa ni upotoshaji wa hali ya juu. Wanao weza kuamini huo upuuzi ni wale walio soma kwa kuunga unga huko mashuleni...

Hivyo zile hadithi zilizo elezea kila sura ilivyokuja na maana iliyokusudiwa ndio sahihi....
Lakini ikumbukwe pia kuwa Mitume wote akiwemo Yesu walikuwa ni watu kama sisi (wanakula, wanaenda choo, wana lala usingizi, wanaumwa, wanaomba kwa Mungu awape uwezo wa kutenda nk ) tofauti yake na sisi ni kuwa, walikuwa na uwezo wa kupokea ujumbe kutoka kwa Mungu.
Naendelea kutoa masomo kuhusiana na Muhamad na Quran ili watu waufahamu Uisilamu. Watu wengi wakiwemo waisilamu wenyewe wamekuwa hawamfahamu Muhamad na hawaufahamu Uisilamu ulivyoanzishwa. Hawamfahamu vizuri Muhamad na matendo yake ambayo ndo msingi wa Uisilamu.

Tunaenda kwa maandiko hakuna kutukana dini ya watu .lengo watu wajifunze uisilamu kama ambavyo mimi nlijifunza nilipokuwa kafir. Na baada ya kuufahamu nimekafirika zaidi na kuwafahamu ndugu zangu wa Kiisilamu kwa kina. Waliojenga misikiti kuutia nguvu ukafir.


Sahih al-Bukhari

Imepokelewa kutoka kwa Anas bin Malik:

“Mtume wa Mwenyezi Mungu alichukua Safiya (bint Huyayy) kama mke wake. Aliwapa watu karamu ya harusi ambapo hakutoa chochote isipokuwa tende na samli (mafuta ya wanyama).”

(Sahih al-Bukhari, Kitabu cha Ndoa, Hadith No. 4211)
 
Kimsingi kusudio la hadithi lilikuwa kwa ajili ya ufafanuzi tu mfano; ukisoma sura/Aya Kwenye Quran kama hujailewa unaweza kutafuta hadithi/ historia ya hicho kifungu kuwa kiletwa wakati gani na maksudi yake yalikuwa nini na kukufanya uelewe kwa undani. Hiyo ndio ilikuwa kusudio la msingi la hadithi;

LAKINI sasa waliingia mamluki wakaandika mila za kiarabu na waposhoshaji waka andika habari za kudhalilisha na kuziita hadithi.....na hata kwa akili ya kawaida ya darasa la nne ukisoma walicho andika utaona kabisa ni upotoshaji wa hali ya juu. Wanao weza kuamini huo upuuzi ni wale walio soma kwa kuunga unga huko mashuleni...

Hivyo zile hadithi zilizo elezea kila sura ilivyokuja na maana iliyokusudiwa ndio sahihi....
Lakini ikumbukwe pia kuwa Mitume wote akiwemo Yesu walikuwa ni watu kama sisi (wanakula, wanaenda choo, wana lala usingizi, wanaumwa, wanaomba kwa Mungu awape uwezo wa kutenda nk ) tofauti yake na sisi ni kuwa, walikuwa na uwezo wa kupokea ujumbe kutoka kwa Mungu.
Kwa mujibu wa Uislamu:

🔹 1. Aliyetunga Muhamad

Waislamu wanaamini kuwa Qur’an ni neno la moja kwa moja kutoka kwa Mwenyezi Mungu (Allah).

Haikuandikwa au kutungwa na mtu yeyote—bali iliteremshwa (wahyi) kwa Muhammad kupitia malaika Jibril (Gabriel).

Hii inakuja kuonekana imeandikwa na wahusika wapo chini. Ni mkanganyiko inajichanganya yenyewe na watu wengi sababu ni Maamuma hawajui wanadanganyika.

“Hakika huu ni ufunuo unaoteremshwa. Umeteremshwa na Malaika mwenye nguvu.”
(Qur’an, Surah At-Takwir 81:19-20)

🔹 2. Muhammad hakuiandika mwenyewe. Sababu hakujua kusoma wala kuandika

Muhammad alikuwa hajui kusoma wala kuandika (Ummi), kama Qur’an inavyosema:

“Wala wewe hukuwahi kusoma kitabu kabla yake, wala kuandika kwa mkono wako…”
(Qur’an, Surah Al-‘Ankabut 29:48)

Alikuwa anasikiliza ufunuo, kisha akiwaambia Maswahaba wake, ambao walihifadhi na kuiandika.

Nani waliandika Qur’an?

🔹 3. Waandishi wa Wahyi (Ufunuo)

Baada ya Muhammad kusoma ufunuo, waandishi wake waliandika Qur’an kwenye vitu kama:

Ngozi ya mnyama

Majani ya mtende

Mifupa mikubwa

Mawe mepesi (slates)

Waliokuwa waandishi mashuhuri wa Qur’an ni:

Zayd bin Thabit

Ali bin Abi Talib

Ubayy bin Ka’b

Mu’awiyah bin Abi Sufyan

Abdullah bin Mas’ud
na wengine wengi

🔹 4. Kukusanywa kwa Qur’an kuwa kitabu

Baada ya kifo cha Muhammad, Khalifa Abu Bakr alianzisha kazi ya kukusanya Qur’an yote na kuiandika katika kitabu (mushaf) kutokana na kumbukumbu za waandishi na walihifadhi.

Kazi hii ilifanywa na Zayd bin Thabit

Qur’an iliendelea kuhifadhiwa na kusomwa kizazi hadi kizazi.


Kisha wakati wa Khalifa Uthman bin Affan, nakala za Qur’an zilisambazwa kwa miji mikuu ya Kiislamu ili kuwe na umoja wa usomaji (qira’ah).

Wengi hudai kuwa Qur’an iliandikwa na watu au "kuiga" kutoka dini nyingine hasa Torati ya Wayahudi na Imani za Kikureshi. Ni kweli pia walisikia hadithi hizo na kuzichukua.

✅ Muhammad alipokea na kusoma ufunuo huo kwa watu

✅ Maswahaba waliiandika na kuihifadhi

✅ Waliandila kadri walivyokumbuka na kukumbushana

“Hakika Sisi ndio tulioteremsha Qur’an, na hakika Sisi ndio tutailinda.”
(Qur’an, Surah Al-Hijr 15:9)
 
Kwa maelezo yako haya inaonesha bila ya shaka kwenye Quran imetajwa kuwa kutakuwa na hadithi za kuielezea Quran?
Huo ni ufafanuzi tu (japo watu wamezoea kuita hadithi) kimsingi huo ufafanuzi ni sehemu ya Quran na kwa baadhi ya vitabu vya Quran wamejumuisha kabisa kuwapa wasomaji uelewa mkubwa (kuepusha tafsiri feki) hivyo chagua ni lako ukitaka kununua Quran ambayo kila sura imewekwa na historia yake unapata.
 
Napendaga ile hadith mudi alikuwa akinyonya ndimi za wanaume wenzake na kulamba midomo yao akiwa uchi msikitini.

Hii Hadith inawaumizaga kobaz.

Kuna ile shetani anawapulizia matakoni wakiswali. Yani kobaz inamuuma balaaa.

adriz de mbusii
😅😅😅😅😅Hizi ndo wanasemaga wenyewe hadithi Fake bhana. Sasa Shetani anawapulizia nini matakoni? Mkuu thibitisha kwa rejea ya hadithi yenyewe otherwise mnawaonea sana Kobazi.
 
Wameanza kupingana karne ya 20 mwishoni baada ya kuona hadithi zinaleta shida kwenye jamii za sasa. Mfano mmojawapo ni hadithi ya Mohamed kumuoa Aisha akiwa na miaka 6 na kuanza kumlala akiwa na miaka 9.

Inakuwa ngumu kumtetea mtume wao,mtume bora kuliko wote kwa kitendo kile . Option pekee inayobaki ni kuja na hesabu zisizo eleweka ili kumuoka Mohamed na ukakasi wa jambo lile.
Ila we jamaa 😀,S.A.W unamaanisha alikuwa Fataki
 
Alikula had watumwa,alikula Hadi mke wa mtoto wake wa kufikia

Mudy alikuwa hatari sana
Ebo!hadi mke wa mtoto wake nae akajipigia😅😅😅Hapo mimi ndo namkuhali Muddyalikuwa haachi totozi akiipenda tu anaweka, mkimpgia kelele anazama mapangonu anarudi na Aya kuhalarisha na kuyapa baraka aliyoyafanya
 
🏃🏃🏃

Wewe jamaa ushakuja... Hebu tulia tupate maarifa.
Nipo tu kaka nacheka VITUKO vya Hadith nakupa hii 👇
FB_IMG_1770062935411.jpg
 
Huo ni ufafanuzi tu (japo watu wamezoea kuita hadithi) kimsingi huo ufafanuzi ni sehemu ya Quran na kwa baadhi ya vitabu vya Quran wamejumuisha kabisa kuwapa wasomaji uelewa mkubwa (kuepusha tafsiri feki) hivyo chagua ni lako ukitaka kununua Quran ambayo kila sura imewekwa na historia yake unapata.
Sawa!!
 
Haya nimefika hivi nyie wagalatia mnadhani ni nyie peke enu mlioanza kupinga hii dini na kuzusha? Kuna kina abu lahab nyie Bado watoto Elimu hamna kichwa debe tupu si bible Wala Quran mnayoelewa ndio maana huwa tunawasindikiza tuu Kwenye hoja maana Hata tukijibu hamuelewi nyie mmezoea kupigwa kamba na wachungaji wanawake eti kaenda mbiguni karudi kuwabarik zumarid
 
Wameanza kupingana karne ya 20 mwishoni baada ya kuona hadithi zinaleta shida kwenye jamii za sasa. Mfano mmojawapo ni hadithi ya Mohamed kumuoa Aisha akiwa na miaka 6 na kuanza kumlala akiwa na miaka 9.

Inakuwa ngumu kumtetea mtume wao,mtume bora kuliko wote kwa kitendo kile . Option pekee inayobaki ni kuja na hesabu zisizo eleweka ili kumuoka Mohamed na ukakasi wa jambo lile.
Wakataa hadithi wapo tangu tu baada ya kifo cha mtume,mmoja wapo khalifa ummar,siyo jipya hilo
 
Back
Top Bottom