ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,757
- 7,317
Kwanini uislamu una beef sana na wayahudi? Wayahudi waliingilia vipi ukusanywaji wa Hadith zao? Mwisho wa siku Quran inasema wakristo na wayahudi ndiyo watu wabaya kuliko wote duniani.Zipo Hadithi za kweli na zipo Hadithi za uongo. Inasemwa nyingine zilitungwa na wayahudi na makafiri na kuingizwa kwenye hadithi za waislamu.
Kwa ivo unapotumia Hadithi kama rejea ya mambo ya kwenye Quran,uwe muangalifu usitumie zile feki ukadhani upo sahihi.
Quran 98:6
Verily, those who disbelieve (in the religion of Islâm, the Qur'ân and Prophet Muhammad (Peace be upon him)) from among the people of the Scripture (Jews and Christians) and Al-Mushrikûn will abide in the Fire of Hell. They are the worst of creatures.[]