Kwanini Wahaya hawana maendeleo kama Wachaga wakati kote elimu ilifika mapema?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,587
15,370
Watu wa Kagera hasa Wahaya, sambamba na Wachaga tunaambiwa elimu ilifika huko mapema kabla ya maeneo mengine nchini.

Tunaambiwa elimu ni ufunguo wa maisha, ila naona huu ufunguo umefanikiwa zaidi kwa wachaga kuliko wahaya.

Chanzo cha tatizo ni nini, hawa watani wangu walikwama wapi?

Ni hayo tu.
 
Stori bila statistics ni porojo.

Chanzo cha stori yako ni kipi!

Maendeleo gani unazungumzia?

Ukisema maendeleo una maana gani

Maendeleo katika nyanda zipi?

MBALI NA HAPO,UNAONESHA CHUKI DHIDI YA KABILA HUSIKA.
 
Watu wa Kagera hasa Wahaya, sambamba na Wachaga tunaambiwa elimu ilifika huko mapema kabla ya maeneo mengine nchini.

Tunaambiwa elimu ni ufunguo wa maisha, ila naona huu ufunguo umefanikiwa zaidi kwa wachaga kuliko wahaya.

Chanzo cha tatizo ni nini, hawa watani wangu walikwama wapi?

Ni hayo tu.
Majivuno na Umalaya Sumu Kwa maendeleo
 
Natoa mfano mmoja Nina rafiki yangu ni muhaya .Huyu bwana yupo radhi kutumia gharama kubwa ili tu anukie vizuri avutie wanawake.

Yupo tayar kukushusha hadhi mbele ya wanawake na washkaji ili yeye awe top

Huyu tulikuwa tunalipwa sawa lakin mpaka mkataba unaisha Hana hata godoro
Yeye night club na kuongea kiingireza.

Mwingine ni mchanga aiseee huyu jamaa anaweza akakudai hata 100tsh.

Kwanza anakula ugali WA buku .sijui alikuwa na malengo gani ?? Ni goodsaver

Kafanya vitu vikubwa kwa umri wake


Kiufupi wahaya hawana TOFAUTI na wakenya wao wakishajua kiingireza tu wanahisi ndio tayari maisha washayapitia.

Kumbe maisha ni zaidi ya lugha.
 
Watu wa Kagera hasa Wahaya, sambamba na Wachaga tunaambiwa elimu ilifika huko mapema kabla ya maeneo mengine nchini.

Tunaambiwa elimu ni ufunguo wa maisha, ila naona huu ufunguo umefanikiwa zaidi kwa wachaga kuliko wahaya.

Chanzo cha tatizo ni nini, hawa watani wangu walikwama wapi?

Ni hayo tu.
Wahaya wana elimu ila hawana akili
 
Stori bila statistics ni porojo.

Chanzo cha stori yako ni kipi!

Maendeleo gani unazungumzia?

Ukisema maendeleo una maana gani

Maendeleo katika nyanda zipi?

MBALI NA HAPO,UNAONESHA CHUKI DHIDI YA KABILA HUSIKA.
wacha upuuzi statistical Kagera ni moja ya mikoa maskini japokuwa wana ardhi ya rutuba na pia karibia kila kitu kama Kilimanjaro tena kwa kuzidi maana wana ardhi kubwa na ya rutuba haswa!
 
Watu wa Kagera hasa Wahaya, sambamba na Wachaga tunaambiwa elimu ilifika huko mapema kabla ya maeneo mengine nchini.

Tunaambiwa elimu ni ufunguo wa maisha, ila naona huu ufunguo umefanikiwa zaidi kwa wachaga kuliko wahaya.

Chanzo cha tatizo ni nini, hawa watani wangu walikwama wapi?

Ni hayo tu.
Tafuta nyuzi usome. Mambo ya wahaya na wachaga kila siku JF. Walishajadili threads zimajaa humu.
 
Hawa ndugu zangu kwani midomo yao wanakula nn ? Maana ukikutana na wahaya 10 basi 9 midomo inaleta hewa mbaya
Jamani acheni dharau na makabila ya watu! Tabia ya wachaga kujitukuza inakera sana! Hata wachungaji wao full kuongelea uchaga!
Kwa sasa msijidanganye kila kabila wana maendeleo ila tatizo tunapofikiria kuwa sisi au wale si bora au sio bora ndo tunaharibu!
 
Watu wa Kagera hasa Wahaya, sambamba na Wachaga tunaambiwa elimu ilifika huko mapema kabla ya maeneo mengine nchini.

Tunaambiwa elimu ni ufunguo wa maisha, ila naona huu ufunguo umefanikiwa zaidi kwa wachaga kuliko wahaya.

Chanzo cha tatizo ni nini, hawa watani wangu walikwama wapi?

Ni hayo tu.
Thithi tunajimwambafai mnoo🤸🤸🤸
 
Back
Top Bottom