Kama ulikuwa unanuna au unachukia kwanini mikoa ya Kilimanjaro na Arusha ina Maendeleo sana Tanzania, yafuatayo ndiyo majibu yako...

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,114
Sababu hizi GENTAMYCINE nimezipata kutoka kwa Mkongwe na Mchambuzi wa Masuala ya Siasa Bwana Hamduni Marcel aliyeko Mkoani Mwanza alipokuwa akizungumza na Kipindi cha Morning Magic cha Magic FM Asubuhi hii hii ya leo


1. Viongozi wengi Wakubwa (Waandamizi) Kuoa Kaskazini (Kilimanjaro na Arusha) hivyo kuamua kupeleka Maendeleo ya Kasi huko Ukweni Kwao

2. Uasi wa Kihistoria wa Mikoa ya Watu wenye Misimamo ya Mara (Kwetu GENTAMYCINE) na Kagera kwa Watawala wa nchi hii.

3. Kuwa na Vivutio muhimu vya Utalii hasa Mbuga mbalimbali za Wanyama.

4. Kuwa Jirani na nchi ya Kenya ambayo miaka ya nyuma ilipata Ushirikiano mkubwa na nchi za Magharibi hasa Kimaendeleo

5. Kuwa na Kumbi kubwa na nyingi za Mikutano ya Kimataifa.

6. Kutangulia kupata Elimu kutoka kwa Taifa Jirani la Kenya ambalo Kiuhalisia limetangulia kuipata.

7. Hulka ya Kiasili ya Watu wa Mikoa hiyo kupenda Kujituma katika Kuwajibika na Kuinuana Kimaisha tofauti na Mikoa mengine ambayo haipendi Kusaidiana bali inapenda Kuchekana pale Mmoja akiwa bado hajatusua Kimaisha.

Kwahiyo kuanzia leo hii ni matumaini yangu makibwa GENTAMYCINE kuwa sasa Wenye Chuki (Usununu) na Watu wa Mikoa ya Kaskazini (ya Kilimanjaro na Arusha) baada ya hizi Sababu Kuu Saba (7) tajwa hapa juu tutabadilika, tutawapenda, tutawaheshimu na ikibidi tutajenga nao Ukaribu (Urafiki) ili Watufundishe Maisha na Kufanikiwa ili nasi tuwe na Maendeleo kama Wao.
 
Sumaye kaoa Mchaga japo naye ni kanda ya kaskazini,Bomani alioa mchaga,Mke wa Wariona mchaga,mke wa mzee wa Vijisent mchaga
 
Sababu hizi GENTAMYCINE nimezipata kutoka kwa Mkongwe na Mchambuzi wa Masuala ya Siasa Bwana Hamduni Marcel aliyeko Mkoani Mwanza alipokuwa akizungumza na Kipindi cha Morning Magic cha Magic FM Asubuhi hii hii ya leo


1. Viongozi wengi Wakubwa (Waandamizi) Kuoa Kaskazini (Kilimanjaro na Arusha) hivyo kuamua kupeleka Maendeleo ya Kasi huko Ukweni Kwao

2. Uasi wa Kihistoria wa Mikoa ya Watu wenye Misimamo ya Mara (Kwetu GENTAMYCINE) na Kagera kwa Watawala wa nchi hii.

3. Kuwa na Vivutio muhimu vya Utalii hasa Mbuga mbalimbali za Wanyama.

4. Kuwa Jirani na nchi ya Kenya ambayo miaka ya nyuma ilipata Ushirikiano mkubwa na nchi za Magharibi hasa Kimaendeleo

5. Kuwa na Kumbi kubwa na nyingi za Mikutano ya Kimataifa.

6. Kutangulia kupata Elimu kutoka kwa Taifa Jirani la Kenya ambalo Kiuhalisia limetangulia kuipata.

7. Hulka ya Kiasili ya Watu wa Mikoa hiyo kupenda Kujituma katika Kuwajibika na Kuinuana Kimaisha tofauti na Mikoa mengine ambayo haipendi Kusaidiana bali inapenda Kuchekana pale Mmoja akiwa bado hajatusua Kimaisha.

Kwahiyo kuanzia leo hii ni matumaini yangu makibwa GENTAMYCINE kuwa sasa Wenye Chuki (Usununu) na Watu wa Mikoa ya Kaskazini (ya Kilimanjaro na Arusha) baada ya hizi Sababu Kuu Saba (7) tajwa hapa juu tutabadilika, tutawapenda, tutawaheshimu na ikibidi tutajenga nao Ukaribu (Urafiki) ili Watufundishe Maisha na Kufanikiwa ili nasi tuwe na Maendeleo kama Wao.
Marekebisho kidogo Kuhusu sababu ya 6: Kutangulia kupata Elimu kutoka TaIfa jirani la Kenya.......sio sahihi kusema "kutoka TaIfa jirani la Kenya"

Shule ya kwanza kijijini kwetu, pamoja na Kanisa vilijengwa Mwaka 1910. Elimu haikutoka Kenya; ilikuja na wazungu ambao waliwahi kufika sehemu hizo

Walipofika Wamishenari, walijenga Kanisa, Shule na Dispensary. Katika sehemu nyingi za pwani, Waarabu hawakujenga Shule Wala Dispensary. Haikuwa utamaduni wao.

Kwa hiyo watu Kaskazini walielimika mapema sana. Mangi Marealle alikuwa na Masters Degree tayari by 1952. Kina Mzee Mtei walikwenda Chuo Kikuu Makerere miaka ya 1950s. Wakati huo admissions zinatoka London.
 
Ukiondoa Dar es salaam mikoa mengine yote hali ya maisha ni duni sana ukiondoa visehemu vinavyoitwa mjini. Ukitembea kilometa kumi unakutana na maisha ya hovyo
 
Sababu hizi GENTAMYCINE nimezipata kutoka kwa Mkongwe na Mchambuzi wa Masuala ya Siasa Bwana Hamduni Marcel aliyeko Mkoani Mwanza alipokuwa akizungumza na Kipindi cha Morning Magic cha Magic FM Asubuhi hii hii ya leo


1. Viongozi wengi Wakubwa (Waandamizi) Kuoa Kaskazini (Kilimanjaro na Arusha) hivyo kuamua kupeleka Maendeleo ya Kasi huko Ukweni Kwao

2. Uasi wa Kihistoria wa Mikoa ya Watu wenye Misimamo ya Mara (Kwetu GENTAMYCINE) na Kagera kwa Watawala wa nchi hii.

3. Kuwa na Vivutio muhimu vya Utalii hasa Mbuga mbalimbali za Wanyama.

4. Kuwa Jirani na nchi ya Kenya ambayo miaka ya nyuma ilipata Ushirikiano mkubwa na nchi za Magharibi hasa Kimaendeleo

5. Kuwa na Kumbi kubwa na nyingi za Mikutano ya Kimataifa.

6. Kutangulia kupata Elimu kutoka kwa Taifa Jirani la Kenya ambalo Kiuhalisia limetangulia kuipata.

7. Hulka ya Kiasili ya Watu wa Mikoa hiyo kupenda Kujituma katika Kuwajibika na Kuinuana Kimaisha tofauti na Mikoa mengine ambayo haipendi Kusaidiana bali inapenda Kuchekana pale Mmoja akiwa bado hajatusua Kimaisha.

Kwahiyo kuanzia leo hii ni matumaini yangu makibwa GENTAMYCINE kuwa sasa Wenye Chuki (Usununu) na Watu wa Mikoa ya Kaskazini (ya Kilimanjaro na Arusha) baada ya hizi Sababu Kuu Saba (7) tajwa hapa juu tutabadilika, tutawapenda, tutawaheshimu na ikibidi tutajenga nao Ukaribu (Urafiki) ili Watufundishe Maisha na Kufanikiwa ili nasi tuwe na Maendeleo kama Wao.
Unaposema maendeleo uwe unasema ni maendeleo yapi mbona mm nipo kaskazini na sioni kitu cha maana kuzidi mikoa mingine zaidi ya ulevi tu

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Sababu hizi GENTAMYCINE nimezipata kutoka kwa Mkongwe na Mchambuzi wa Masuala ya Siasa Bwana Hamduni Marcel aliyeko Mkoani Mwanza alipokuwa akizungumza na Kipindi cha Morning Magic cha Magic FM Asubuhi hii hii ya leo


1. Viongozi wengi Wakubwa (Waandamizi) Kuoa Kaskazini (Kilimanjaro na Arusha) hivyo kuamua kupeleka Maendeleo ya Kasi huko Ukweni Kwao

2. Uasi wa Kihistoria wa Mikoa ya Watu wenye Misimamo ya Mara (Kwetu GENTAMYCINE) na Kagera kwa Watawala wa nchi hii.

3. Kuwa na Vivutio muhimu vya Utalii hasa Mbuga mbalimbali za Wanyama.

4. Kuwa Jirani na nchi ya Kenya ambayo miaka ya nyuma ilipata Ushirikiano mkubwa na nchi za Magharibi hasa Kimaendeleo

5. Kuwa na Kumbi kubwa na nyingi za Mikutano ya Kimataifa.

6. Kutangulia kupata Elimu kutoka kwa Taifa Jirani la Kenya ambalo Kiuhalisia limetangulia kuipata.

7. Hulka ya Kiasili ya Watu wa Mikoa hiyo kupenda Kujituma katika Kuwajibika na Kuinuana Kimaisha tofauti na Mikoa mengine ambayo haipendi Kusaidiana bali inapenda Kuchekana pale Mmoja akiwa bado hajatusua Kimaisha.

Kwahiyo kuanzia leo hii ni matumaini yangu makibwa GENTAMYCINE kuwa sasa Wenye Chuki (Usununu) na Watu wa Mikoa ya Kaskazini (ya Kilimanjaro na Arusha) baada ya hizi Sababu Kuu Saba (7) tajwa hapa juu tutabadilika, tutawapenda, tutawaheshimu na ikibidi tutajenga nao Ukaribu (Urafiki) ili Watufundishe Maisha na Kufanikiwa ili nasi tuwe na Maendeleo kama Wao.
Tanzania iñafanana tu hamna tofauti yoyote miji inafanana na vijijini maisha ni yaleyale kote

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Sababu hizi GENTAMYCINE nimezipata kutoka kwa Mkongwe na Mchambuzi wa Masuala ya Siasa Bwana Hamduni Marcel aliyeko Mkoani Mwanza alipokuwa akizungumza na Kipindi cha Morning Magic cha Magic FM Asubuhi hii hii ya leo


1. Viongozi wengi Wakubwa (Waandamizi) Kuoa Kaskazini (Kilimanjaro na Arusha) hivyo kuamua kupeleka Maendeleo ya Kasi huko Ukweni Kwao

2. Uasi wa Kihistoria wa Mikoa ya Watu wenye Misimamo ya Mara (Kwetu GENTAMYCINE) na Kagera kwa Watawala wa nchi hii.

3. Kuwa na Vivutio muhimu vya Utalii hasa Mbuga mbalimbali za Wanyama.

4. Kuwa Jirani na nchi ya Kenya ambayo miaka ya nyuma ilipata Ushirikiano mkubwa na nchi za Magharibi hasa Kimaendeleo

5. Kuwa na Kumbi kubwa na nyingi za Mikutano ya Kimataifa.

6. Kutangulia kupata Elimu kutoka kwa Taifa Jirani la Kenya ambalo Kiuhalisia limetangulia kuipata.

7. Hulka ya Kiasili ya Watu wa Mikoa hiyo kupenda Kujituma katika Kuwajibika na Kuinuana Kimaisha tofauti na Mikoa mengine ambayo haipendi Kusaidiana bali inapenda Kuchekana pale Mmoja akiwa bado hajatusua Kimaisha.

Kwahiyo kuanzia leo hii ni matumaini yangu makibwa GENTAMYCINE kuwa sasa Wenye Chuki (Usununu) na Watu wa Mikoa ya Kaskazini (ya Kilimanjaro na Arusha) baada ya hizi Sababu Kuu Saba (7) tajwa hapa juu tutabadilika, tutawapenda, tutawaheshimu na ikibidi tutajenga nao Ukaribu (Urafiki) ili Watufundishe Maisha na Kufanikiwa ili nasi tuwe na Maendeleo kama Wao.
Arusha hii hii ya Tanzania ama ?
-Stendi ya Basi mbovu kuliko miji yote Tanzania
-Barabara kibao vumbi
-Huduma ya maji amekuja weka magufuri.
-uwanja wa ndege kama gereji
-wizi,kukabana na magendo mipakani...
Hivi ushafika Longido kwanza
 
Back
Top Bottom