figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Yaani baada ya kuangalia Video inayosambaa, nikashangaa Tanzania hawana Viwanja pamoja kuwa na ndege za kisasa.
Tatizo ni nini? Kwani jengo la Abiria Shilingi ngapi?
Wakenya wanawacheka Tanzania kwa dharau
Samia kazi anayo.. Hivi Magufuli kumbe hakujenga kiwanja hata kimoja
Naona aibu.
Tatizo ni nini? Kwani jengo la Abiria Shilingi ngapi?
Wakenya wanawacheka Tanzania kwa dharau
Samia kazi anayo.. Hivi Magufuli kumbe hakujenga kiwanja hata kimoja
Naona aibu.