Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,776
- 24,211
Kumekuwa na tension kubwa kutokana na katazo la serikali yetu kwa shirika la ndege la Kenya KQ kurusha ndege zake za abiria kuja Tanzania
Kumekuwa na hisia mseto juu ya hili, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Nafafanua ifuatavyo: Kwenye dunia ya Aviation kuna kitu kinaitwa Chicago convention au Convention on International Civil Aviation.
Chicago convention ndio ilizaa wakala anga kimataifa ICAO (International Civil Aviation Organization)
ICAO ndio inaratibu na kusimamia sheria zote za huduma ya anga kama vile anga la kuruka, usajili wa ndenge, usalama nk
Chicago convention ilisainiwa kwa mara ya kwanza na majimbo 52 tarehe 7 December 1944 mjini Chicago, Illinois na ikaanza kutumika mwaka 1947
Turejee barua
Barua inaongelea kitu kinaitwa "Freedom traffic Rights"
Haya sio mataa ya barabarani kama ambavyo
Hizi ni HAKI za matumizi ya Anga, viwanja vya ndege, kubeba abiria, mizigo au vifurushi (mailings)
Zipo HAKI 9 kwenye Chicago convention
1st Freedom traffic Right
Haki ya kuruka kwenye anga la kigeni bila kutua
2nd Freedom traffic Right
Haki ya kutua kwa matengenezo au kujaza mafuta kwenye kiwanja cha ndege kisicho cha anga lako.
3rd
Haki ya kuruka kutoka kwenye kiwanja nchini kwako kwenda kiwanja cha ugenini
4th Freedom Traffic Right
Haki ya kuruka kutoka kiwanja cha ugenini kwenda kiwanja chako
5th Freedom Traffic Right
Haki ya kuruka kwenye nchi mbili za kigeni kwa safari inayoanzia na kuishia nchini kwako
Tusiendelee na haki nyingine kwani barua imetaja haki No. 3, 4 na 5. Serikali ya Tanzania ilikuwa imetoa ombi kwa serikali ya Kenya kuingiza ndege zake zote za mizigo zilizo chini ya Air Tanzania nchini humo kupitia mgongo wa 5th Freedom Traffic Right
Kumekuwa na hisia mseto juu ya hili, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Nafafanua ifuatavyo: Kwenye dunia ya Aviation kuna kitu kinaitwa Chicago convention au Convention on International Civil Aviation.
Chicago convention ndio ilizaa wakala anga kimataifa ICAO (International Civil Aviation Organization)
ICAO ndio inaratibu na kusimamia sheria zote za huduma ya anga kama vile anga la kuruka, usajili wa ndenge, usalama nk
Chicago convention ilisainiwa kwa mara ya kwanza na majimbo 52 tarehe 7 December 1944 mjini Chicago, Illinois na ikaanza kutumika mwaka 1947
Turejee barua
Barua inaongelea kitu kinaitwa "Freedom traffic Rights"
Haya sio mataa ya barabarani kama ambavyo
Hizi ni HAKI za matumizi ya Anga, viwanja vya ndege, kubeba abiria, mizigo au vifurushi (mailings)
Zipo HAKI 9 kwenye Chicago convention
1st Freedom traffic Right
Haki ya kuruka kwenye anga la kigeni bila kutua
2nd Freedom traffic Right
Haki ya kutua kwa matengenezo au kujaza mafuta kwenye kiwanja cha ndege kisicho cha anga lako.
3rd
Haki ya kuruka kutoka kwenye kiwanja nchini kwako kwenda kiwanja cha ugenini
4th Freedom Traffic Right
Haki ya kuruka kutoka kiwanja cha ugenini kwenda kiwanja chako
5th Freedom Traffic Right
Haki ya kuruka kwenye nchi mbili za kigeni kwa safari inayoanzia na kuishia nchini kwako
Tusiendelee na haki nyingine kwani barua imetaja haki No. 3, 4 na 5. Serikali ya Tanzania ilikuwa imetoa ombi kwa serikali ya Kenya kuingiza ndege zake zote za mizigo zilizo chini ya Air Tanzania nchini humo kupitia mgongo wa 5th Freedom Traffic Right