Kwanini Vitu Vinadondoka? (Newton vs Einstein)

So kulingana na Newton first law(f=ma), kama net force ni 0, basi hata acceleration ni 0 (cause mass haiwezi kuwa zero)



Sio acceleration ni Zero bali resultant force Fr, ndiyo zero, vyote acceleration na mass sio zero, kumbuka hapo unaongeleo juu ya RESULTANT FORCE.
 
Hii ni kwa mjibu wa Classical Mechanics ambayo ina depicts gravitation as "force"
ila in reality hakuna force yoyote inayo act kwa kitu kinachoonekana kudondoka

Thus why sikutaka ili jibu la Classical Mechanics kwa sababu halipo sahihi

Gravitation sio force

Swali bado , kwanini vitu vinaonekana kudondoka

Kwa yoyote aliyenielewa

Vitu vinaonekana kudondoka au vinadondoka?
 
Mleta mada naona Kama bado una akili kidogo Sana ya ku argue na laws zilizochakatwa na kupitishwa na jopo la nguri wa sayansi, kama hizo "Newton law of Motion".

Nakuomba uendelee kujikinga na Covid19 tu sayansi bado u mweupe Sana hata Hilo swali tukikujibu bado hutaelewa Bali utazidi kuchanganyikiwa tu.
Usinge comment Mzee.....
Niamini Mimi

Nahisi hujui hata General Relativity ni kitu gani
 
Sasa mwenzio kasema hii kitu aisababishi vitu kuanguka

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona kana nimeuliza swali la PHD kwa kundi la watoto wa Nursery

Mtu unamuonyesha kwanini Classical Mechanics imeshindwa kuelezea Gravitation na kwanini vitu vinaonekana kudondoka

Halafu anakuja kukupa jina hilohilo
Nahisi hata watu walio bahatika kusoma General Relativity bado hawajauona huu Uzi

Kuna kundi tu la vilaza ambao bado hawana habari kua Newtonian Gravitation theory sio current description ya Gravitation kwa sasa
 
Vitu vinaonekana kudondoka au vinadondoka?
Nimetumia hio sentensi "vinaonekana kudondoka" kwasababu kiuhalisia "havidondoki" kwa maana ya kuvutwa chini ya dunia...

Swali hili sio rahisi kama watu wanavyoliona
Ni moja kati ya maswali magumu mno kuyajibu

Newton alitupa formula ya Ku calculate Gravitation kati ya vitu viwili
(F=GM1M2/R^2)
Lakini hakutwambia chochote kuhusu Mechanism ya hii Force

Mechanism ipi inaiwezesha jua kuvuta dunia?

The famous "spooky action at distant"

So Newton alikiri mwenyewe theory yake haielezei asili ya Gravitation au nature

Aluchotupa ni Mathematical equation ambayo tunaweza kuitumia Ku calculate motion ya bodies under influence of the so called "Gravitation force"

Na ilikua accurate kwa kiasi Fulani,tatizo lilikuja iliposhindwa Ku elezea mzunguko wa sayari ya Zebaki kuzunguka jua

Einstein alipotaka Ku encapsulate accelerated motion kwenye special Relativity

Ndipo ilipo mbidi kuelezea nature ya Gravitation...

Na hapo ndipo uelewa wetu kuhusu Gravitation ulipo badilika
Once and for all

Kwa Einstein Gravitation sio tena "action at distant force" kama Newton alivyo assume anyway

Kwa Einstein Gravitation ni manifestation ya "Curved" spacetime

Na time component ya spacetime ndiyo inayofanya vitu "vionekane kudondoka"

Hili ndio lilikua swali langu "how?"
Yaani ningepata MTU aliyeelewa Gravitation (ya General Relativity) kunielezea hapo

Bahati mbaya najibiwa na watu ambao hata swali lenyewe wameshindwa kulielewa
 
Nimetumia hio sentensi "vinaonekana kudondoka" kwasababu kiuhalisia "havidondoki" kwa maana ya kuvutwa chini ya dunia...

Swali hili sio rahisi kama watu wanavyoliona
Ni moja kati ya maswali magumu mno kuyajibu

Newton alitupa formula ya Ku calculate Gravitation kati ya vitu viwili
(F=GM1M2/R^2)
Lakini hakutwambia chochote kuhusu Mechanism ya hii Force

Mechanism ipi inaiwezesha jua kuvuta dunia?

The famous "spooky action at distant"

So Newton alikiri mwenyewe theory yake haielezei asili ya Gravitation au nature

Aluchotupa ni Mathematical equation ambayo tunaweza kuitumia Ku calculate motion ya bodies under influence of the so called "Gravitation force"

Na ilikua accurate kwa kiasi Fulani,tatizo lilikuja iliposhindwa Ku elezea mzunguko wa sayari ya Zebaki kuzunguka jua

Einstein alipotaka Ku encapsulate accelerated motion kwenye special Relativity

Ndipo ilipo mbidi kuelezea nature ya Gravitation...

Na hapo ndipo uelewa wetu kuhusu Gravitation ulipo badilika
Once and for all

Kwa Einstein Gravitation sio tena "action at distant force" kama Newton alivyo assume anyway

Kwa Einstein Gravitation ni manifestation ya "Curved" spacetime

Na time component ya spacetime ndiyo inayofanya vitu "vionekane kudondoka"

Hili ndio lilikua swali langu "how?"
Yaani ningepata MTU aliyeelewa Gravitation (ya General Relativity) kunielezea hapo

Bahati mbaya najibiwa na watu ambao hata swali lenyewe wameshindwa kulielewa

Swali kutokueleweka linamaanisha vitu viwili, mtoa maelezo na msomaji.

Kwa hiyo unakubali kwamba gravitational ipo na kanuni au formula ya Newton ipo sahihi tatizo ni maelezo yake kuhusu gravitational?

Sasa nakushauri jifunze kwanza hizo mambo za relativity ukishaelewa vizuri njoo uelezee kiufasaha, hauwezi kupinga maelezo ya Newton wakati huo huo hauitetei hoja yako ipasavyo ikaeleweka.

Kwamba vitu tukiviachia/ visiposhikiliwa hua havidondoki ila vinaonekana kudondoka? ( unaweza kuwa na hoja ila hadi sasa, ni rahisi zaidi kumwelewa Newton kuliko maelezo yako mkuu).

Kumbuka sijapinga au kudharau maoni na mawazo yako, ila nimeshauri urudi kujifua upya, ukishaiva uje uteme mambo tuelewe.
 
I am Newtonian fan sababu nitaiishi maisha yangu yote down to earth na hiyo chupa in classical mechanics ukiiachia inaanguka
Usichanganye Newtonian Mechanics na General relativity

Newtonian mechanics is correct at its own merit and conditions thus Newton’s laws of motion explain gravity to particle level physics and are obeyed to a high precision for velocities much less than the velocity of light, it is useful in determine the gravitational force of things that are in velocity that is less than velocity of light like a falling apple.

While general relativity is sub atomic particle physics relates to speed of light and is the theory that formulates gravity in terms of the curvature of spacetime, Since light moves at the speed of light, it sees equal amounts of space and time curvature, so it bends twice as far as the Newtonian theory would predict, its only useful in things like determining the behaviour of the Black Hole, or the trajectory of the Mercury around the Sun which Newtonian mechanics failed to do so.
Key point hapa ni "Explanation"
Ni true kuwa Einstein Field Equations ina reduce Newton Gravitation Equation kwa bodies ambazo masses zao sio kubwa sana

So tunaweza safely kutumia "Classical Equation ya Newton" kuelezea "their motions"

Kitu ambacho naona umeshindwa kuelewa hapa ni Physical Explanation ya Gravitation

Hapa ndipo tofauti ya Newtonian Gravity na General Relativity ilipo

Na hii Physical Explanation ya Gravity kulingana na General Relativity (Kwasababu ndio current interpretation ya Gravitation kwa sasa)
Iliyonifanya niulize ili swali


Kwanini vitu vinadondoka?

Narudia tena ili swali sio rahisi kama akitokea mtu wa kunielewa
 


Duu ndiyo nini???

Maji yakiwa ndani ya chupa yana exert force (mg) kwenye floor ya chupa au kwa maneno mengine inaitwa reaction force R, hiyo force per unit area on the bottom surface of the bottle ndiyo pressure (pgh) rho, g, h, sasa unapoachia chupa lidondoke maana yake hiyo R =mg=ma, they are numerically equal but algebrically acts in opposite direction therefore -mg+ma=0, , ndio maana maji yanashindwa kutoka kwenye matundu. R=0 the weightlessness phenomenon, na ndio maana nikasema Resultant force ndio zero na sio acceleration.

It is purely a classical mechanics issue.
 
Watu wa modern Physics wana tumia energy kubwa sana kutafta namna za kuzi pruv wrong fomular na law za mtaalam newton

Kwenye physcs ukiwasoma vizuri utagundua kua Eistain ni Negation ya Newton au unaweza sema Opposite

Mechanical Physics ni Opposite ya Modern na zile newtons law zinaenda oppsite na principle of reletivity hadi kufika kwenye time traviling zote zina pishana na law za Isaav newton

Kama unahisi hukubatiani na newton na alitoa maelezo ya uongo basi tambua wewe c wakwanza wala si wamwisho na hata Eistein kaacha theory nyingi za kupruv zile law kua ni wrong lakini hazijatoboa


Kwenye list ya binadamu walio badiri maisha ya binadamu kwa muda wote yangu dunia ianze asie nabii wa wa mungu ninyeye pekeake kwenye tatu bora kiwa na Muhammad S.A.W na Yesu massiah...

Dont mess with isaac he is more than jus a genius ndio maana kuna baadh ya makabila huko uguriki wanaamini alikua ni binadamu asie wakawaida ...

Soma vizuri principle pf releativity ilivyo eleze free fall ndio utajua kwanini newton anabaki kua newton.
Kweli mfumo wa Elimu wa Tanzania ni takataka

Kwa comment ya namna hii

Hatupo kwenye mabishanao ya "nani mkali au nani Genius"

Katika watu waliyo revolutionize "our understanding of physical universe" namuweka "Newton above anyone" (binafsi)

Ila hii haindoi fact kuwa hakua sahihi kwenye Motion na Gravitation

Na hii ipo wazi haina haja ya debate
Under "relativistic speed" au massively bodies (Eg black holes)
The whole Newtonian Mechanics ina vunjika vipande vipande

Na kuhusu Gravitation, Newton alikiri kabisa theory yake haielezei Gravitation ni nini au inasabibishwa na nini?

Swali bado lipo pale pale kwanini vitu vinaonekana kudondoka?
 
Ni maneno yaleyale,moja tu lina tilia mkazo zaidi swali langu

Kwa mtizamo wangu, maneno ni yale yale lakini yanamaanisha vitu tofauti.

Kitu kuonekana kudondoka, inamaana ki uhalisia hakidondoki.

Kitu kudondoka, inamaana kinadondoka

Au nimeelewa tofauti mkuu? Ikiwa hiyo ndio maana yake, hauoni ni vitu tofauti?

Na kuna mahali uliandika vitu havidondoki, nikakuuliza unamaanisha tukishikilia kitu tukakiachia hakidondoki?
 
Nimetumia hio sentensi "vinaonekana kudondoka" kwasababu kiuhalisia "havidondoki" kwa maana ya kuvutwa chini ya dunia...

Swali hili sio rahisi kama watu wanavyoliona
Ni moja kati ya maswali magumu mno kuyajibu

Newton alitupa formula ya Ku calculate Gravitation kati ya vitu viwili
(F=GM1M2/R^2)
Lakini hakutwambia chochote kuhusu Mechanism ya hii Force

Mechanism ipi inaiwezesha jua kuvuta dunia?

The famous "spooky action at distant"

So Newton alikiri mwenyewe theory yake haielezei asili ya Gravitation au nature

Aluchotupa ni Mathematical equation ambayo tunaweza kuitumia Ku calculate motion ya bodies under influence of the so called "Gravitation force"

Na ilikua accurate kwa kiasi Fulani,tatizo lilikuja iliposhindwa Ku elezea mzunguko wa sayari ya Zebaki kuzunguka jua

Einstein alipotaka Ku encapsulate accelerated motion kwenye special Relativity

Ndipo ilipo mbidi kuelezea nature ya Gravitation...

Na hapo ndipo uelewa wetu kuhusu Gravitation ulipo badilika
Once and for all

Kwa Einstein Gravitation sio tena "action at distant force" kama Newton alivyo assume anyway

Kwa Einstein Gravitation ni manifestation ya "Curved" spacetime

Na time component ya spacetime ndiyo inayofanya vitu "vionekane kudondoka"

Hili ndio lilikua swali langu "how?"
Yaani ningepata MTU aliyeelewa Gravitation (ya General Relativity) kunielezea hapo

Bahati mbaya najibiwa na watu ambao hata swali lenyewe wameshindwa kulielewa
Hapa hii formula si imetoholewa kutokea sehemu nyingine au.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Key point hapa ni "Explanation"
Ni true kuwa Einstein Field Equations ina reduce Newton Gravitation Equation kwa bodies ambazo masses zao sio kubwa sana

So tunaweza safely kutumia "Classical Equation ya Newton" kuelezea "their motions"

Kitu ambacho naona umeshindwa kuelewa hapa ni Physical Explanation ya Gravitation

Hapa ndipo tofauti ya Newtonian Gravity na General Relativity ilipo

Na hii Physical Explanation ya Gravity kulingana na General Relativity (Kwasababu ndio current interpretation ya Gravitation kwa sasa)
Iliyonifanya niulize ili swali


Kwanini vitu vinadondoka?

Narudia tena ili swali sio rahisi kama akitokea mtu wa kunielewa
Sasa kitu asili yake ni kushikiliwa na ardhi , Sasa lazima kirudi kilipotoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu ndiyo nini???

Maji yakiwa ndani ya chupa yana exert force (mg) kwenye floor ya chupa au kwa maneno mengine inaitwa reaction force R, hiyo force per unit area on the bottom surface of the bottle ndiyo pressure (pgh) rho, g, h, sasa unapoachia chupa lidondoke maana yake hiyo R =mg=ma, they are numerically equal but algebrically acts in opposite direction therefore -mg+ma=0, since, ndio maana maji yanashindwa kutoka kwenye matundu. R=0 the weightlessness phenomenon.

It is purely a classical mechanics issue.
Hili ndio tatizo..
Kwanini hamsomi kwanza swali kabla ya kujibu?

Hii sio issue ya Classical Mechanics

Utaona hapa maelezo yako yote yame assume uwepo wa "Gravitation force" notion ambayo sio sahihi kwasababu Gravitation sio force... Hence hakuna acceleration due to gravity
(Value "g" uliyo assume kuwa ni 9.8m/s^2 conceptually ni 0 kwa hoja hii)

Na hakika hapa namjibu MTU ambao hata General Relativity hajawahi kuisoma

Unaweza kunielezea "Equivalent Principle" kwa maneno yako?
 
Back
Top Bottom