Fahamu jinsi ya kutengeneza ndege ya kichawi, kwenda kokote Duniani

george aloyce

JF-Expert Member
Aug 22, 2017
1,177
1,823
WAKATI baadhi ya watu wakiepuka kabisa mijadala kuhusu uchawi na kutilia shaka kuwepo kwake kwa sababu ya jamii zetu kupokea imani ya Kikristo, na imani ya Kiislamu, wengine tunaendelea kutafiti mambo hayo kinaga ubaga.

Miongoni mwa vielelezo vinavyopatikana huko ni kwamba uchawi ni elimu ya ushetani. Ukishakua mchawi maana yake wewe ni shetani na utatumia nguvu za shetani ambazo kamwe haziwezi kusimama katika ulimwengu wa nuru

Vitu baadhi vinavyohitajika ili mchawi aweze kusafiri, leo tutazungumzia vitu viwili tu lakini vipo vingi sana.

1- 'Chishimba' (ni mafuta ya binadamu) mafuta haya anapaka usoni kila atakapo hitaji kuruka, akishapaka mafuta haya mchawi kamwe hawezi kuonekana wala hawezi kusikika wala hawezi kugusika.

2- Indeke (ndege ya kuruka) inayotumika kwa usafiri wa masafa marefu unaochochewa na damu ya binaadamu na majimaji ya sehemu za siri za mwanaadamu kama vile mbegu za kiume na maji ya ukeni (Huchanganywa kwa pamoja).

UCHAMBUZI WA MAFUTA YA BINAADAMU
Kwanini mchawi apake mafuta ya Binaadamu?

Kikawaida wao wanavyoeleza ni kwamba Mwanaadamu anamafuta aina mbili, moja ni mafuta mazito yanayopatika kwenye mishipa ya damu (Cholesterol) ni dutu ya nta inayopatikana katika damu ya mtu.

Mwili unahitaji Cholesterol ili kujenga seli zenye afya, lakini viwango vya juu vya kolesteroli vinaweza kuongeza hatari yako ya ugonjwa wa moyo. Katika uchawi inaaminika kwamba jini anayekuvaa mwilini ili akusafirishe katika giza, ataingia mwilini mwako pindi tu ukipaka hayo mafuta ya binaadamua ya 'Cholesterol' jini huyu atakusafirisha kwa kasi sana na atakufikisha popote unapotaka kwenda.

Mafuta mengine ni yale ambayo yapo nje ya mishipa ya damu ya mwanaadamu (Body Fatty) ambayo ni Mafuta ya mwili katika misuli ya mwanadamu, hivyo mchawi akipaka mafuta haya huingiwa na jini mwenye nguvu ambaye humsaidia kupata nguvu ya yeye kushiriki matendo yake ya kichawi. Cholesterol ni ya kusafiri, Body fatty ni ya kumpa mchawi nguvu. (Hayo ni masharti ya majini hao wawili).

Upatikanaji wa mafuta hayo?

Hayapatikani zaidi ya kuua mtu kisha kumbanika kwa kumchoma na kisha mafuta haya aina mbili huchujwa, na kugawanywa kila aina ya mafuta kwenye chupa lake.

Je! kama umeingia kwenye uchawi ni lazima uuwe ili upate hayo mafuta?

Hapana, sio lazima uuwe kwani yanapatika kwa kuuzwa kwenye vilinge vya wachawi ambapo gharama yake hufikia Tsh Milioni 8 hadi 10 kwa lita, ambayo yanaweza kudumu kwa miaka mingi kwa kadiri unavyotumia.

Pia sio binaadamu wote mafuta yao yanafaa kutumika, ni baadhi ya binaadamu ambao miili yao inasifa ambazo wao wanazijua. Mara nyingi wachawi wanaonekana ni masikini kwasababu pesa zao nyingi zinaishia huko.

Je! kama mchawi hana kiasi hicho cha pesa kwa ajili ya mafuta anafanyaje?

Ni rahisi sana, kwani anaweza kubebwa na wenzake wakaenda nae kuwanga pamoja. Huyu sasa atakua anapewa lifti na wenzake kwa kulipia gharama kidogo walau laki 1 hadi laki na nusu kwa safari.

Je! mafuta yakiniishia naweza kuuwa mtu nikambanika kama sitaki kununua?

Ndio, unaweza kuua mtu na ukamfanyia utaratibu huo kama unayo taaluma hiyo, hii ni kwasababu kuna kozi maalumu ya utengenezaji wa mafuta hayo, ambapo baadhi ya wachawi husomea namna ya kuchakata mafuta hayo, kama mchawi anaweza basi atafanya mwenyewe kwa kupata kibali maalumu kwa mkubwa wao, na kama hana taaluma hiyo basi atakwenda kununua kwenye kilinge cha mafuta.

UCHAMBUZI WA DAMU NA MAJIMAJI YA SEHEMU ZA SIRI

Kwanini sasa ndeke hiyo itumie damu ilihali tayari nimepaka mafuta ya binadamu na jini wa safari ameshanivaa?

Kwasababu ndeke ni chombo ambacho wewe utatumia kuwa juu yake baada ya jini kukuingi, jini anataka kukaa juu ya kitu ambacho kina uhai wa mwanaadamu ambayo ni damu, mbegu za uzazi na maji ya ukeni. Mchanganyiko huo ndio kama mafuta ya kafara ili jini aliyekuvaa aweze kukaa juu yake.

Napata wapi damu ya binaadamu?
Kwa kuua mtu ndio utaweza kupata damu ya binaadamu. Kwa namna gani? mchakato wake ni vilevile wakati wa kumbanika, basi damu hukusanywa kivyake.

Damu gani haswa inayohitajika?

Damu ya mtu yeyote inaweza kufanya kazi, lakini damu yenye kasi zaidi na inayopendwa zaidi na yenye gharama kubwa zaidi ni damu ya mtoto mchanga, ambayo huchanganywa na nyama ya kitovu cha mtoto mchanga pamoja na kondo la nyuma la uzazi baada ya kuzaliwa mtoto mchanga. Vinaweza kutoka kwa watoto tofauti au mtoto mmoja.

Damu hiyo ndio grade one, na yenye gharama kubwa sana haswa ikichanganywa na nywele za kwanza za mtoto mchanga alizo nyolewa na kucha zake za kwanza kukatwa.

Gharama ya damu iko vipi ikiwa nitahitaji kununua?

Kwakua damu inayohitajika huwa tayari imechanganywa na mbegu za uzazi na maji ya ukeni, gharama yake hufikia Tsh Milioni 3 - 4. Ikiwa ni damu ya mtoto mchanga ndio imetumika basi hufikia Tsh milioni 8-10 kwa lita1. Ambayo utaitumia kwa miaka mingi sana kulingana na matumizi yako.

Na vipi hayo majimaji ya uzazi na mbegu za kiume?

Majimaji hayo au mbegu hizo zinapatikana kwa wachawi kujamiina ya watu wakati wa usingizi. Nguvu hii ya wao kushiriki tendo na watu huipata kwa kutumia 'Mkanda wa ngozi wa chatu' ambao huvaliwa kiunoni na mchawi ambaye ana nia ya kufanya uzinzi na mke wa mtu mwingine au mume wa mtu wakati wanandoa wako kitandani. Mume au mke hupakwa mimea ili apate usingizi mzito huku mzinzi akilala kwa uhuru na mwenza wake. 'Ambapo kwa lugha ya sasa huitwa jini mahaba'

Hivyo ndivyo majimaji na mbegu huchukuliwa na kuchanganywa na damu ya binaadamu, na mafuta ya binaadamu hupakwa mwilini tayari kwa safari ya kuelekea popote.

Ufafanuzi wa picha;

Helikopta nyeusi kwa chini kuna kopo leusi lenye mafuta ya mchanganyiko wa damu na majimaji ya uzazi, helikopa nyingine utaona kabisa chupa lake la mafuta ya damu na majimaji ya uzazi liko pembeni. Sasa mchawi atakaa hapo juu baada ya jini wa safari kumvaa, kwa wale wanaotumia ungo zana hizo wanaziweka juu ya ungo.

Hiyo ya duara ndio 'Mkanda wa ngozi wa chatu' hutumika kushiriki tendo la ndoa na watu wakiwa usingizini, na hizo tube mbili ndio mafuta ya kupaka 'Body Fatty' na 'Cholesterol' huitwa 'Chishimba' kwa Pembeni ni nywele za mtoto.
 
WAKATI baadhi ya watu wakiepuka kabisa mijadala kuhusu uchawi na kutilia shaka kuwepo kwake kwa sababu ya jamii zetu kupokea imani ya Kikristo, na imani ya Kiislamu, wengine tunaendelea kutafiti mambo hayo kinaga ubaga.

Miongoni mwa vielelezo vinavyopatikana huko ni kwamba uchawi ni elimu ya ushetani. Ukishakua mchawi maana yake wewe ni shetani na utatumia nguvu za shetani ambazo kamwe haziwezi kusimama katika ulimwengu wa nuru

Vitu baadhi vinavyohitajika ili mchawi aweze kusafiri, leo tutazungumzia vitu viwili tu lakini vipo vingi sana.

1- 'Chishimba' (ni mafuta ya binadamu) mafuta haya anapaka usoni kila atakapo hitaji kuruka, akishapaka mafuta haya mchawi kamwe hawezi kuonekana wala hawezi kusikika wala hawezi kugusika.

2- Indeke (ndege ya kuruka) inayotumika kwa usafiri wa masafa marefu unaochochewa na damu ya binaadamu na majimaji ya sehemu za siri za mwanaadamu kama vile mbegu za kiume na maji ya ukeni (Huchanganywa kwa pamoja).

UCHAMBUZI WA MAFUTA YA BINAADAMU
Kwanini mchawi apake mafuta ya Binaadamu?

Kikawaida wao wanavyoeleza ni kwamba Mwanaadamu anamafuta aina mbili, moja ni mafuta mazito yanayopatika kwenye mishipa ya damu (Cholesterol) ni dutu ya nta inayopatikana katika damu ya mtu.

Mwili unahitaji Cholesterol ili kujenga seli zenye afya, lakini viwango vya juu vya kolesteroli vinaweza kuongeza hatari yako ya ugonjwa wa moyo. Katika uchawi inaaminika kwamba jini anayekuvaa mwilini ili akusafirishe katika giza, ataingia mwilini mwako pindi tu ukipaka hayo mafuta ya binaadamua ya 'Cholesterol' jini huyu atakusafirisha kwa kasi sana na atakufikisha popote unapotaka kwenda.

Mafuta mengine ni yale ambayo yapo nje ya mishipa ya damu ya mwanaadamu (Body Fatty) ambayo ni Mafuta ya mwili katika misuli ya mwanadamu, hivyo mchawi akipaka mafuta haya huingiwa na jini mwenye nguvu ambaye humsaidia kupata nguvu ya yeye kushiriki matendo yake ya kichawi. Cholesterol ni ya kusafiri, Body fatty ni ya kumpa mchawi nguvu. (Hayo ni masharti ya majini hao wawili).

Upatikanaji wa mafuta hayo?

Hayapatikani zaidi ya kuua mtu kisha kumbanika kwa kumchoma na kisha mafuta haya aina mbili huchujwa, na kugawanywa kila aina ya mafuta kwenye chupa lake.

Je! kama umeingia kwenye uchawi ni lazima uuwe ili upate hayo mafuta?

Hapana, sio lazima uuwe kwani yanapatika kwa kuuzwa kwenye vilinge vya wachawi ambapo gharama yake hufikia Tsh Milioni 8 hadi 10 kwa lita, ambayo yanaweza kudumu kwa miaka mingi kwa kadiri unavyotumia.

Pia sio binaadamu wote mafuta yao yanafaa kutumika, ni baadhi ya binaadamu ambao miili yao inasifa ambazo wao wanazijua. Mara nyingi wachawi wanaonekana ni masikini kwasababu pesa zao nyingi zinaishia huko.

Je! kama mchawi hana kiasi hicho cha pesa kwa ajili ya mafuta anafanyaje?

Ni rahisi sana, kwani anaweza kubebwa na wenzake wakaenda nae kuwanga pamoja. Huyu sasa atakua anapewa lifti na wenzake kwa kulipia gharama kidogo walau laki 1 hadi laki na nusu kwa safari.

Je! mafuta yakiniishia naweza kuuwa mtu nikambanika kama sitaki kununua?

Ndio, unaweza kuua mtu na ukamfanyia utaratibu huo kama unayo taaluma hiyo, hii ni kwasababu kuna kozi maalumu ya utengenezaji wa mafuta hayo, ambapo baadhi ya wachawi husomea namna ya kuchakata mafuta hayo, kama mchawi anaweza basi atafanya mwenyewe kwa kupata kibali maalumu kwa mkubwa wao, na kama hana taaluma hiyo basi atakwenda kununua kwenye kilinge cha mafuta.

UCHAMBUZI WA DAMU NA MAJIMAJI YA SEHEMU ZA SIRI

Kwanini sasa ndeke hiyo itumie damu ilihali tayari nimepaka mafuta ya binadamu na jini wa safari ameshanivaa?

Kwasababu ndeke ni chombo ambacho wewe utatumia kuwa juu yake baada ya jini kukuingi, jini anataka kukaa juu ya kitu ambacho kina uhai wa mwanaadamu ambayo ni damu, mbegu za uzazi na maji ya ukeni. Mchanganyiko huo ndio kama mafuta ya kafara ili jini aliyekuvaa aweze kukaa juu yake.

Napata wapi damu ya binaadamu?
Kwa kuua mtu ndio utaweza kupata damu ya binaadamu. Kwa namna gani? mchakato wake ni vilevile wakati wa kumbanika, basi damu hukusanywa kivyake.

Damu gani haswa inayohitajika?

Damu ya mtu yeyote inaweza kufanya kazi, lakini damu yenye kasi zaidi na inayopendwa zaidi na yenye gharama kubwa zaidi ni damu ya mtoto mchanga, ambayo huchanganywa na nyama ya kitovu cha mtoto mchanga pamoja na kondo la nyuma la uzazi baada ya kuzaliwa mtoto mchanga. Vinaweza kutoka kwa watoto tofauti au mtoto mmoja.

Damu hiyo ndio grade one, na yenye gharama kubwa sana haswa ikichanganywa na nywele za kwanza za mtoto mchanga alizo nyolewa na kucha zake za kwanza kukatwa.

Gharama ya damu iko vipi ikiwa nitahitaji kununua?

Kwakua damu inayohitajika huwa tayari imechanganywa na mbegu za uzazi na maji ya ukeni, gharama yake hufikia Tsh Milioni 3 - 4. Ikiwa ni damu ya mtoto mchanga ndio imetumika basi hufikia Tsh milioni 8-10 kwa lita1. Ambayo utaitumia kwa miaka mingi sana kulingana na matumizi yako.

Na vipi hayo majimaji ya uzazi na mbegu za kiume?

Majimaji hayo au mbegu hizo zinapatikana kwa wachawi kujamiina ya watu wakati wa usingizi. Nguvu hii ya wao kushiriki tendo na watu huipata kwa kutumia 'Mkanda wa ngozi wa chatu' ambao huvaliwa kiunoni na mchawi ambaye ana nia ya kufanya uzinzi na mke wa mtu mwingine au mume wa mtu wakati wanandoa wako kitandani. Mume au mke hupakwa mimea ili apate usingizi mzito huku mzinzi akilala kwa uhuru na mwenza wake. 'Ambapo kwa lugha ya sasa huitwa jini mahaba'

Hivyo ndivyo majimaji na mbegu huchukuliwa na kuchanganywa na damu ya binaadamu, na mafuta ya binaadamu hupakwa mwilini tayari kwa safari ya kuelekea popote.

Ufafanuzi wa picha;

Helikopta nyeusi kwa chini kuna kopo leusi lenye mafuta ya mchanganyiko wa damu na majimaji ya uzazi, helikopa nyingine utaona kabisa chupa lake la mafuta ya damu na majimaji ya uzazi liko pembeni. Sasa mchawi atakaa hapo juu baada ya jini wa safari kumvaa, kwa wale wanaotumia ungo zana hizo wanaziweka juu ya ungo.

Hiyo ya duara ndio 'Mkanda wa ngozi wa chatu' hutumika kushiriki tendo la ndoa na watu wakiwa usingizini, na hizo tube mbili ndio mafuta ya kupaka 'Body Fatty' na 'Cholesterol' huitwa 'Chishimba' kwa Pembeni ni nywele za mtoto.
aisee,,,,UCHAWI haufai kabisa na unatisha sana,,,unam'banika m2 amekuwa mbuzi!!!!
 
Mhh, mleta mada wewe ni mbunge hapa Tanzania au Waziri? Maana michezo hii ni yao japo wanajifanya hawajuwi uchawi kumbe ndiyo wale wale kama Wakristu na Waislam, wanajifanya hawajuwi uchawi kumbe wao ndiyo vinara wa huu mchezo.
 
Mhh, mleta mada wewe ni mbunge hapa Tanzania au Waziri? Maana michezo hii ni yao japo wanajifanya hawajuwi uchawi kumbe ndiyo wale wale kama Wakristu na Waislam, wanajifanya hawajuwi uchawi kumbe wao ndiyo vinara wa huu mchezo.
ujue nimegundua wanaosali sana wanaekti!!!,,ukifuatilia sana walevi na masela wote ni watatifu,,,,mleve ataamka saa ngapi akaloge wakati ti kwa usingizi,,,msela hawezi kwenda kuroga manake ganja lenyewe linazuia uchawi!!
 
WAKATI baadhi ya watu wakiepuka kabisa mijadala kuhusu uchawi na kutilia shaka kuwepo kwake kwa sababu ya jamii zetu kupokea imani ya Kikristo, na imani ya Kiislamu, wengine tunaendelea kutafiti mambo hayo kinaga ubaga.

Miongoni mwa vielelezo vinavyopatikana huko ni kwamba uchawi ni elimu ya ushetani. Ukishakua mchawi maana yake wewe ni shetani na utatumia nguvu za shetani ambazo kamwe haziwezi kusimama katika ulimwengu wa nuru

Vitu baadhi vinavyohitajika ili mchawi aweze kusafiri, leo tutazungumzia vitu viwili tu lakini vipo vingi sana.

1- 'Chishimba' (ni mafuta ya binadamu) mafuta haya anapaka usoni kila atakapo hitaji kuruka, akishapaka mafuta haya mchawi kamwe hawezi kuonekana wala hawezi kusikika wala hawezi kugusika.

2- Indeke (ndege ya kuruka) inayotumika kwa usafiri wa masafa marefu unaochochewa na damu ya binaadamu na majimaji ya sehemu za siri za mwanaadamu kama vile mbegu za kiume na maji ya ukeni (Huchanganywa kwa pamoja).

UCHAMBUZI WA MAFUTA YA BINAADAMU
Kwanini mchawi apake mafuta ya Binaadamu?

Kikawaida wao wanavyoeleza ni kwamba Mwanaadamu anamafuta aina mbili, moja ni mafuta mazito yanayopatika kwenye mishipa ya damu (Cholesterol) ni dutu ya nta inayopatikana katika damu ya mtu.

Mwili unahitaji Cholesterol ili kujenga seli zenye afya, lakini viwango vya juu vya kolesteroli vinaweza kuongeza hatari yako ya ugonjwa wa moyo. Katika uchawi inaaminika kwamba jini anayekuvaa mwilini ili akusafirishe katika giza, ataingia mwilini mwako pindi tu ukipaka hayo mafuta ya binaadamua ya 'Cholesterol' jini huyu atakusafirisha kwa kasi sana na atakufikisha popote unapotaka kwenda.

Mafuta mengine ni yale ambayo yapo nje ya mishipa ya damu ya mwanaadamu (Body Fatty) ambayo ni Mafuta ya mwili katika misuli ya mwanadamu, hivyo mchawi akipaka mafuta haya huingiwa na jini mwenye nguvu ambaye humsaidia kupata nguvu ya yeye kushiriki matendo yake ya kichawi. Cholesterol ni ya kusafiri, Body fatty ni ya kumpa mchawi nguvu. (Hayo ni masharti ya majini hao wawili).

Upatikanaji wa mafuta hayo?

Hayapatikani zaidi ya kuua mtu kisha kumbanika kwa kumchoma na kisha mafuta haya aina mbili huchujwa, na kugawanywa kila aina ya mafuta kwenye chupa lake.

Je! kama umeingia kwenye uchawi ni lazima uuwe ili upate hayo mafuta?

Hapana, sio lazima uuwe kwani yanapatika kwa kuuzwa kwenye vilinge vya wachawi ambapo gharama yake hufikia Tsh Milioni 8 hadi 10 kwa lita, ambayo yanaweza kudumu kwa miaka mingi kwa kadiri unavyotumia.

Pia sio binaadamu wote mafuta yao yanafaa kutumika, ni baadhi ya binaadamu ambao miili yao inasifa ambazo wao wanazijua. Mara nyingi wachawi wanaonekana ni masikini kwasababu pesa zao nyingi zinaishia huko.

Je! kama mchawi hana kiasi hicho cha pesa kwa ajili ya mafuta anafanyaje?

Ni rahisi sana, kwani anaweza kubebwa na wenzake wakaenda nae kuwanga pamoja. Huyu sasa atakua anapewa lifti na wenzake kwa kulipia gharama kidogo walau laki 1 hadi laki na nusu kwa safari.

Je! mafuta yakiniishia naweza kuuwa mtu nikambanika kama sitaki kununua?

Ndio, unaweza kuua mtu na ukamfanyia utaratibu huo kama unayo taaluma hiyo, hii ni kwasababu kuna kozi maalumu ya utengenezaji wa mafuta hayo, ambapo baadhi ya wachawi husomea namna ya kuchakata mafuta hayo, kama mchawi anaweza basi atafanya mwenyewe kwa kupata kibali maalumu kwa mkubwa wao, na kama hana taaluma hiyo basi atakwenda kununua kwenye kilinge cha mafuta.

UCHAMBUZI WA DAMU NA MAJIMAJI YA SEHEMU ZA SIRI

Kwanini sasa ndeke hiyo itumie damu ilihali tayari nimepaka mafuta ya binadamu na jini wa safari ameshanivaa?

Kwasababu ndeke ni chombo ambacho wewe utatumia kuwa juu yake baada ya jini kukuingi, jini anataka kukaa juu ya kitu ambacho kina uhai wa mwanaadamu ambayo ni damu, mbegu za uzazi na maji ya ukeni. Mchanganyiko huo ndio kama mafuta ya kafara ili jini aliyekuvaa aweze kukaa juu yake.

Napata wapi damu ya binaadamu?
Kwa kuua mtu ndio utaweza kupata damu ya binaadamu. Kwa namna gani? mchakato wake ni vilevile wakati wa kumbanika, basi damu hukusanywa kivyake.

Damu gani haswa inayohitajika?

Damu ya mtu yeyote inaweza kufanya kazi, lakini damu yenye kasi zaidi na inayopendwa zaidi na yenye gharama kubwa zaidi ni damu ya mtoto mchanga, ambayo huchanganywa na nyama ya kitovu cha mtoto mchanga pamoja na kondo la nyuma la uzazi baada ya kuzaliwa mtoto mchanga. Vinaweza kutoka kwa watoto tofauti au mtoto mmoja.

Damu hiyo ndio grade one, na yenye gharama kubwa sana haswa ikichanganywa na nywele za kwanza za mtoto mchanga alizo nyolewa na kucha zake za kwanza kukatwa.

Gharama ya damu iko vipi ikiwa nitahitaji kununua?

Kwakua damu inayohitajika huwa tayari imechanganywa na mbegu za uzazi na maji ya ukeni, gharama yake hufikia Tsh Milioni 3 - 4. Ikiwa ni damu ya mtoto mchanga ndio imetumika basi hufikia Tsh milioni 8-10 kwa lita1. Ambayo utaitumia kwa miaka mingi sana kulingana na matumizi yako.

Na vipi hayo majimaji ya uzazi na mbegu za kiume?

Majimaji hayo au mbegu hizo zinapatikana kwa wachawi kujamiina ya watu wakati wa usingizi. Nguvu hii ya wao kushiriki tendo na watu huipata kwa kutumia 'Mkanda wa ngozi wa chatu' ambao huvaliwa kiunoni na mchawi ambaye ana nia ya kufanya uzinzi na mke wa mtu mwingine au mume wa mtu wakati wanandoa wako kitandani. Mume au mke hupakwa mimea ili apate usingizi mzito huku mzinzi akilala kwa uhuru na mwenza wake. 'Ambapo kwa lugha ya sasa huitwa jini mahaba'

Hivyo ndivyo majimaji na mbegu huchukuliwa na kuchanganywa na damu ya binaadamu, na mafuta ya binaadamu hupakwa mwilini tayari kwa safari ya kuelekea popote.

Ufafanuzi wa picha;

Helikopta nyeusi kwa chini kuna kopo leusi lenye mafuta ya mchanganyiko wa damu na majimaji ya uzazi, helikopa nyingine utaona kabisa chupa lake la mafuta ya damu na majimaji ya uzazi liko pembeni. Sasa mchawi atakaa hapo juu baada ya jini wa safari kumvaa, kwa wale wanaotumia ungo zana hizo wanaziweka juu ya ungo.

Hiyo ya duara ndio 'Mkanda wa ngozi wa chatu' hutumika kushiriki tendo la ndoa na watu wakiwa usingizini, na hizo tube mbili ndio mafuta ya kupaka 'Body Fatty' na 'Cholesterol' huitwa 'Chishimba' kwa Pembeni ni nywele za mtoto.
Endeleza vitu mkuu
 
Un
ujue nimegundua wanaosali sana wanaekti!!!,,ukifuatilia sana walevi na masela wote ni watatifu,,,,mleve ataamka saa ngapi akaloge wakati ti kwa usingizi,,,msela hawezi kwenda kuroga manake ganja lenyewe linazuia uchawi!!
Una akili sana msela wangu.....yote uliyoyasema ni ukweli mtupu, chunguza demu au kijana yeyote aliyejikita kwenye dini utaona madhambi yao. Ni wanafiki kupindukia, wana royo mbaya ila wanajifanya wanahofu ya Mungu, wanajificha nyuma ya dini. Wanawake utakuta wengi wao walikuwa mafuska huko nyuma au waliharibu mimba kibao kutokana na uhuni wao, sasa wamechoka wamejiingiza kwenye dini. Hapa mtaani kwetu kuna Mama mmoja ni mshirikina kishenzi, mtaani tunamjuwa kuwa kaua baadhi ya wanawe na huwaga hanaga time na mtu. Hapa mtaani tunahisi ni kutokana na haibu zake mwenyewe za kuua. Huyu Mama anatoka hapa mtaani kwetu anakwenda kanisa lililoko kilomita 10 kutoka hapa kwetu wakati hapa mtaani kanisa la dhehebu lake lipo ila hasali pale. Huko anakosali yeye ni mkuu wa kwaya, just imagine....mchawi anapewa uongozi wa kuimba nyimba za mapambio kwa Mungu kweli? Akitoka hapo usiku yuko angani na ungo wake akielekea Marekani kula pizza na burgers. Ogopa sana wapenda dini na viongozi wao, never trust them, fear them like wabunge.
 
WAKATI baadhi ya watu wakiepuka kabisa mijadala kuhusu uchawi na kutilia shaka kuwepo kwake kwa sababu ya jamii zetu kupokea imani ya Kikristo, na imani ya Kiislamu, wengine tunaendelea kutafiti mambo hayo kinaga ubaga.

Miongoni mwa vielelezo vinavyopatikana huko ni kwamba uchawi ni elimu ya ushetani. Ukishakua mchawi maana yake wewe ni shetani na utatumia nguvu za shetani ambazo kamwe haziwezi kusimama katika ulimwengu wa nuru

Vitu baadhi vinavyohitajika ili mchawi aweze kusafiri, leo tutazungumzia vitu viwili tu lakini vipo vingi sana.

1- 'Chishimba' (ni mafuta ya binadamu) mafuta haya anapaka usoni kila atakapo hitaji kuruka, akishapaka mafuta haya mchawi kamwe hawezi kuonekana wala hawezi kusikika wala hawezi kugusika.

2- Indeke (ndege ya kuruka) inayotumika kwa usafiri wa masafa marefu unaochochewa na damu ya binaadamu na majimaji ya sehemu za siri za mwanaadamu kama vile mbegu za kiume na maji ya ukeni (Huchanganywa kwa pamoja).

UCHAMBUZI WA MAFUTA YA BINAADAMU
Kwanini mchawi apake mafuta ya Binaadamu?

Kikawaida wao wanavyoeleza ni kwamba Mwanaadamu anamafuta aina mbili, moja ni mafuta mazito yanayopatika kwenye mishipa ya damu (Cholesterol) ni dutu ya nta inayopatikana katika damu ya mtu.

Mwili unahitaji Cholesterol ili kujenga seli zenye afya, lakini viwango vya juu vya kolesteroli vinaweza kuongeza hatari yako ya ugonjwa wa moyo. Katika uchawi inaaminika kwamba jini anayekuvaa mwilini ili akusafirishe katika giza, ataingia mwilini mwako pindi tu ukipaka hayo mafuta ya binaadamua ya 'Cholesterol' jini huyu atakusafirisha kwa kasi sana na atakufikisha popote unapotaka kwenda.

Mafuta mengine ni yale ambayo yapo nje ya mishipa ya damu ya mwanaadamu (Body Fatty) ambayo ni Mafuta ya mwili katika misuli ya mwanadamu, hivyo mchawi akipaka mafuta haya huingiwa na jini mwenye nguvu ambaye humsaidia kupata nguvu ya yeye kushiriki matendo yake ya kichawi. Cholesterol ni ya kusafiri, Body fatty ni ya kumpa mchawi nguvu. (Hayo ni masharti ya majini hao wawili).

Upatikanaji wa mafuta hayo?

Hayapatikani zaidi ya kuua mtu kisha kumbanika kwa kumchoma na kisha mafuta haya aina mbili huchujwa, na kugawanywa kila aina ya mafuta kwenye chupa lake.

Je! kama umeingia kwenye uchawi ni lazima uuwe ili upate hayo mafuta?

Hapana, sio lazima uuwe kwani yanapatika kwa kuuzwa kwenye vilinge vya wachawi ambapo gharama yake hufikia Tsh Milioni 8 hadi 10 kwa lita, ambayo yanaweza kudumu kwa miaka mingi kwa kadiri unavyotumia.

Pia sio binaadamu wote mafuta yao yanafaa kutumika, ni baadhi ya binaadamu ambao miili yao inasifa ambazo wao wanazijua. Mara nyingi wachawi wanaonekana ni masikini kwasababu pesa zao nyingi zinaishia huko.

Je! kama mchawi hana kiasi hicho cha pesa kwa ajili ya mafuta anafanyaje?

Ni rahisi sana, kwani anaweza kubebwa na wenzake wakaenda nae kuwanga pamoja. Huyu sasa atakua anapewa lifti na wenzake kwa kulipia gharama kidogo walau laki 1 hadi laki na nusu kwa safari.

Je! mafuta yakiniishia naweza kuuwa mtu nikambanika kama sitaki kununua?

Ndio, unaweza kuua mtu na ukamfanyia utaratibu huo kama unayo taaluma hiyo, hii ni kwasababu kuna kozi maalumu ya utengenezaji wa mafuta hayo, ambapo baadhi ya wachawi husomea namna ya kuchakata mafuta hayo, kama mchawi anaweza basi atafanya mwenyewe kwa kupata kibali maalumu kwa mkubwa wao, na kama hana taaluma hiyo basi atakwenda kununua kwenye kilinge cha mafuta.

UCHAMBUZI WA DAMU NA MAJIMAJI YA SEHEMU ZA SIRI

Kwanini sasa ndeke hiyo itumie damu ilihali tayari nimepaka mafuta ya binadamu na jini wa safari ameshanivaa?

Kwasababu ndeke ni chombo ambacho wewe utatumia kuwa juu yake baada ya jini kukuingi, jini anataka kukaa juu ya kitu ambacho kina uhai wa mwanaadamu ambayo ni damu, mbegu za uzazi na maji ya ukeni. Mchanganyiko huo ndio kama mafuta ya kafara ili jini aliyekuvaa aweze kukaa juu yake.

Napata wapi damu ya binaadamu?
Kwa kuua mtu ndio utaweza kupata damu ya binaadamu. Kwa namna gani? mchakato wake ni vilevile wakati wa kumbanika, basi damu hukusanywa kivyake.

Damu gani haswa inayohitajika?

Damu ya mtu yeyote inaweza kufanya kazi, lakini damu yenye kasi zaidi na inayopendwa zaidi na yenye gharama kubwa zaidi ni damu ya mtoto mchanga, ambayo huchanganywa na nyama ya kitovu cha mtoto mchanga pamoja na kondo la nyuma la uzazi baada ya kuzaliwa mtoto mchanga. Vinaweza kutoka kwa watoto tofauti au mtoto mmoja.

Damu hiyo ndio grade one, na yenye gharama kubwa sana haswa ikichanganywa na nywele za kwanza za mtoto mchanga alizo nyolewa na kucha zake za kwanza kukatwa.

Gharama ya damu iko vipi ikiwa nitahitaji kununua?

Kwakua damu inayohitajika huwa tayari imechanganywa na mbegu za uzazi na maji ya ukeni, gharama yake hufikia Tsh Milioni 3 - 4. Ikiwa ni damu ya mtoto mchanga ndio imetumika basi hufikia Tsh milioni 8-10 kwa lita1. Ambayo utaitumia kwa miaka mingi sana kulingana na matumizi yako.

Na vipi hayo majimaji ya uzazi na mbegu za kiume?

Majimaji hayo au mbegu hizo zinapatikana kwa wachawi kujamiina ya watu wakati wa usingizi. Nguvu hii ya wao kushiriki tendo na watu huipata kwa kutumia 'Mkanda wa ngozi wa chatu' ambao huvaliwa kiunoni na mchawi ambaye ana nia ya kufanya uzinzi na mke wa mtu mwingine au mume wa mtu wakati wanandoa wako kitandani. Mume au mke hupakwa mimea ili apate usingizi mzito huku mzinzi akilala kwa uhuru na mwenza wake. 'Ambapo kwa lugha ya sasa huitwa jini mahaba'

Hivyo ndivyo majimaji na mbegu huchukuliwa na kuchanganywa na damu ya binaadamu, na mafuta ya binaadamu hupakwa mwilini tayari kwa safari ya kuelekea popote.

Ufafanuzi wa picha;

Helikopta nyeusi kwa chini kuna kopo leusi lenye mafuta ya mchanganyiko wa damu na majimaji ya uzazi, helikopa nyingine utaona kabisa chupa lake la mafuta ya damu na majimaji ya uzazi liko pembeni. Sasa mchawi atakaa hapo juu baada ya jini wa safari kumvaa, kwa wale wanaotumia ungo zana hizo wanaziweka juu ya ungo.

Hiyo ya duara ndio 'Mkanda wa ngozi wa chatu' hutumika kushiriki tendo la ndoa na watu wakiwa usingizini, na hizo tube mbili ndio mafuta ya kupaka 'Body Fatty' na 'Cholesterol' huitwa 'Chishimba' kwa Pembeni ni nywele za mtoto.
Uchawi upigwe vita! Mambo gani haya?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
WAKATI baadhi ya watu wakiepuka kabisa mijadala kuhusu uchawi na kutilia shaka kuwepo kwake kwa sababu ya jamii zetu kupokea imani ya Kikristo, na imani ya Kiislamu, wengine tunaendelea kutafiti mambo hayo kinaga ubaga.

Huu ni Utafiti endelevu, lengo kuu ni kukujuza tu tasnia hii ya wachawi ilivyo, tunakujuza haya kutokana na matukio ya 'Kichawi yanavyo athiri maisha ya watu.

Moja ya rejea tunayotumia ni center ndogo ya kumbukumbu ya uchawi iliyopo 'Moto Moto Museum'

Miongoni mwa vielelezo vinavyopatikana huko ni kwamba uchawi ni elimu ya ushetani. Ukishakua mchawi maana yake wewe ni shetani na utatumia nguvu za shetani ambazo kamwe haziwezi kusimama katika ulimwengu wa nuru.

Vitu baadhi vinavyohitajika ili mchawi aweze kusafiri, leo tutazungumzia vitu viwili tu lakini vipo vingi sana.

1- 'Chishimba' (ni mafuta ya binadamu) mafuta haya anapaka usoni kila atakapo hitaji kuruka, akishapaka mafuta haya mchawi kamwe hawezi kuonekana wala hawezi kusikika wala hawezi kugusika.

2- Indeke (ndege ya kuruka) inayotumika kwa usafiri wa masafa marefu unaochochewa na damu ya binaadamu na majimaji ya sehemu za siri za mwanaadamu kama vile mbegu za kiume na maji ya ukeni (Huchanganywa kwa pamoja).

UCHAMBUZI WA MAFUTA YA BINAADAMU
Kwanini mchawi apake mafuta ya Binaadamu?

Kikawaida wao wanavyoeleza ni kwamba Mwanaadamu anamafuta aina mbili, moja ni mafuta mazito yanayopatika kwenye mishipa ya damu (Cholesterol) ni dutu ya nta inayopatikana katika damu ya mtu.

Mwili unahitaji Cholesterol ili kujenga seli zenye afya, lakini viwango vya juu vya kolesteroli vinaweza kuongeza hatari yako ya ugonjwa wa moyo. Katika uchawi inaaminika kwamba jini anayekuvaa mwilini ili akusafirishe katika giza, ataingia mwilini mwako pindi tu ukipaka hayo mafuta ya binaadamua ya 'Cholesterol' jini huyu atakusafirisha kwa kasi sana na atakufikisha popote unapotaka kwenda.

Mafuta mengine ni yale ambayo yapo nje ya mishipa ya damu ya mwanaadamu (Body Fatty) ambayo ni Mafuta ya mwili katika misuli ya mwanadamu, hivyo mchawi akipaka mafuta haya huingiwa na jini mwenye nguvu ambaye humsaidia kupata nguvu ya yeye kushiriki matendo yake ya kichawi. Cholesterol ni ya kusafiri, Body fatty ni ya kumpa mchawi nguvu. (Hayo ni masharti ya majini hao wawili).

Upatikanaji wa mafuta hayo?

Hayapatikani zaidi ya kuua mtu kisha kumbanika kwa kumchoma na kisha mafuta haya aina mbili huchujwa, na kugawanywa kila aina ya mafuta kwenye chupa lake.

Je! kama umeingia kwenye uchawi ni lazima uuwe ili upate hayo mafuta?

Hapana, sio lazima uuwe kwani yanapatika kwa kuuzwa kwenye vilinge vya wachawi ambapo gharama yake hufikia Tsh Milioni 8 hadi 10 kwa lita, ambayo yanaweza kudumu kwa miaka mingi kwa kadiri unavyotumia.

Pia sio binaadamu wote mafuta yao yanafaa kutumika, ni baadhi ya binaadamu ambao miili yao inasifa ambazo wao wanazijua. Mara nyingi wachawi wanaonekana ni masikini kwasababu pesa zao nyingi zinaishia huko.

Je! kama mchawi hana kiasi hicho cha pesa kwa ajili ya mafuta anafanyaje?

Ni rahisi sana, kwani anaweza kubebwa na wenzake wakaenda nae kuwanga pamoja. Huyu sasa atakua anapewa lifti na wenzake kwa kulipia gharama kidogo walau laki 1 hadi laki na nusu kwa safari.

Je! mafuta yakiniishia naweza kuuwa mtu nikambanika kama sitaki kununua?

Ndio, unaweza kuua mtu na ukamfanyia utaratibu huo kama unayo taaluma hiyo, hii ni kwasababu kuna kozi maalumu ya utengenezaji wa mafuta hayo, ambapo baadhi ya wachawi husomea namna ya kuchakata mafuta hayo, kama mchawi anaweza basi atafanya mwenyewe kwa kupata kibali maalumu kwa mkubwa wao, na kama hana taaluma hiyo basi atakwenda kununua kwenye kilinge cha mafuta.

UCHAMBUZI WA DAMU NA MAJIMAJI YA SEHEMU ZA SIRI

Kwanini sasa ndeke hiyo itumie damu ilihali tayari nimepaka mafuta ya binadamu na jini wa safari ameshanivaa?


Kwasababu ndeke ni chombo ambacho wewe utatumia kuwa juu yake baada ya jini kukuingi, jini anataka kukaa juu ya kitu ambacho kina uhai wa mwanaadamu ambayo ni damu, mbegu za uzazi na maji ya ukeni. Mchanganyiko huo ndio kama mafuta ya kafara ili jini aliyekuvaa aweze kukaa juu yake.

Napata wapi damu ya binaadamu?

Kwa kuua mtu ndio utaweza kupata damu ya binaadamu. Kwa namna gani? mchakato wake ni vilevile wakati wa kumbanika, basi damu hukusanywa kivyake.

Damu gani haswa inayohitajika?

Damu ya mtu yeyote inaweza kufanya kazi, lakini damu yenye kasi zaidi na inayopendwa zaidi na yenye gharama kubwa zaidi ni damu ya mtoto mchanga, ambayo huchanganywa na nyama ya kitovu cha mtoto mchanga pamoja na kondo la nyuma la uzazi baada ya kuzaliwa mtoto mchanga. Vinaweza kutoka kwa watoto tofauti au mtoto mmoja.

Damu hiyo ndio grade one, na yenye gharama kubwa sana haswa ikichanganywa na nywele za kwanza za mtoto mchanga alizo nyolewa na kucha zake za kwanza kukatwa.

Gharama ya damu iko vipi ikiwa nitahitaji kununua?

Kwakua damu inayohitajika huwa tayari imechanganywa na mbegu za uzazi na maji ya ukeni, gharama yake hufikia Tsh Milioni 3 - 4. Ikiwa ni damu ya mtoto mchanga ndio imetumika basi hufikia Tsh milioni 8-10 kwa lita1. Ambayo utaitumia kwa miaka mingi sana kulingana na matumizi yako.

Na vipi hayo majimaji ya uzazi na mbegu za kiume?

Majimaji hayo au mbegu hizo zinapatikana kwa wachawi kujamiina ya watu wakati wa usingizi. Nguvu hii ya wao kushiriki tendo na watu huipata kwa kutumia 'Mkanda wa ngozi wa chatu' ambao huvaliwa kiunoni na mchawi ambaye ana nia ya kufanya uzinzi na mke wa mtu mwingine au mume wa mtu wakati wanandoa wako kitandani. Mume au mke hupakwa mimea ili apate usingizi mzito huku mzinzi akilala kwa uhuru na mwenza wake. 'Ambapo kwa lugha ya sasa huitwa jini mahaba'

Hivyo ndivyo majimaji na mbegu huchukuliwa na kuchanganywa na damu ya binaadamu, na mafuta ya binaadamu hupakwa mwilini tayari kwa safari ya kuelekea popote.

Ufafanuzi wa picha;

picha na 1. hapa chini ni Helikopta nyeusi kwa chini kuna kopo leusi lenye mafuta ya mchanganyiko wa damu na majimaji ya uzazi.

322333787_882385756132610_6348299422352492076_n.jpg


Picha na 2. helikopa nyingine utaona kabisa chupa lake la mafuta ya damu na majimaji ya uzazi liko pembeni.

320692362_843786970258896_1552129280313649730_n.jpg

Sasa mchawi atakaa hapo juu baada ya jini wa safari kumvaa, kwa wale wanaotumia ungo zana hizo wanaziweka juu ya ungo.

Picha na 3. Hi ya duara ndio 'Mkanda wa ngozi wa chatu' hutumika kushiriki tendo la ndoa na watu wakiwa usingizini,

394600820_728156029344132_8342134749409601060_n.jpg


Picha no 4, na hizo tube mbili ndio mafuta ya kupaka 'Body Fatty' na 'Cholesterol' huitwa 'Chishimba' kwa Pembeni ni nywele za mtoto.

394332331_728146912678377_7673373460273691972_n.jpg


Utafiti unaendelea!
 
Back
Top Bottom