Mkuu mi nakujibu kupitia classical physics hyo hyo na jibu linajibika. Kinachoproduce acceleration na direction ya acceleration ni net force sio one force. Kwahyo kama hakuna force inayoact upward dhidi ya chupa means kuidrive upward basi net force itakuwa ma-mg( g= acceleration due to gravity)=mA( net acceleration). Sasa tunakuja hapo a=0 hence mA=-mg( free fall)Nimetumia mfano wa chupa ya maji kwasababu ni experiment rahisi unayoweza kuifanya hata ukiwa nyumbani
The moment umeiachia chupa hakuna force yoyote inayo act pale hence net force iliyokua inavuta maji chini inakua zero
Kama mfano wa chupa umekuchanganya.....imagine mtu anaye anguka kwenye lift (Elevator)
Huyu mtu ata feel weightless sawa sawa kabisa na astronaut aliye kwenye Space
In both scenarios hakuna force yoyote inayo act kwao
So kulingana na Newton first law(f=ma), kama net force ni 0, basi hata acceleration ni 0 (cause mass haiwezi kuwa zero)
Baadhi ya watu hapa bado wanatumia Classical mechanics kujibu hili swali bila hata kusoma nilichoandika
Swali ni kama F=0 na a=0 kwanini chupa inaonekana kushuka chini?
Ili swali limejibiwa na General Relativity lakini maelezo yake ni very confusing thus why nipo hapa kupata mtu aliyeelewa
Jibu ni , "Things fall because their future belongs to the ground"
Hapa ndio sielewi, yaani in short mda ndio unaosababisha vitu kuanguka but sijui jinsi gani walivyofika kwenye hii conclusion
Bahati mbaya hapa najibiwa na watu ambao hawajawahi kusoma hata hio General Relativity
Kwa yoyote atakayenielewa much thanks