Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,219
Anaesaidia ajitangaziUkweli 100% ni tanzania pekee unakoweza kukuta kijana hajui atakula nini jioni lakini wakati huo anawaza kula tunda kimasihara,hopeless kabisa yaani tena sisi wenye karama ya kusaidia wahitaji tunachoka yaani kila siku wenye shida wanaongezeka