Kwanini vijana wengi wanakuwa ‘jobless’?

Kwanini vijana wengi wanakuwa ‘jobless’?

iyo ndio faraja pekee ya masikini
Tuna mtazamo tofauti yaani mimi hainiingii akilini et mtu anapata hamu ya mapenzi huku ana hali ngumu ya maisha,mi kwanza hali ngumu tyari kwangu ni psychological torture ,
 
Niamini mkuu” pesa tunazo 100% mkuu
Yaani nikuamini tu!!?..hizo pesa ziko wapi!?..wanakopa kwa sababu wanapenda tu!?...tra wanaokusanya kiasi gani kwa mwezi na bajeti ni kiasi gani!?..Kuna ziada!?..Kama hakuna hiyo nakisi inatoka wapi!?
 
Yaani nikuamini tu!!?..hizo pesa ziko wapi!?..wanakopa kwa sababu wanapenda tu!?...tra wanaokusanya kiasi gani kwa mwezi na bajeti ni kiasi gani!?..Kuna ziada!?..Kama hakuna hiyo nakisi inatoka wapi!?

Izo ambazo zipo wanagawana mkuu.. nchi hii sio masikini kama tunavyopata baadhi ya hadith mkuu
 
Uwekezaji wetu hauna uwiano kati ya vitu tunavyozalisha na vitu tunavyovihitaji!! Tungekuwa tunazalisha vitu tunavyoagiza toka nje hata kama ni TOOTHPICKS tungeweza weka akiba ya fedha za kigeni ambayo tunazitumia kuagiza na fedha hizo zikatumika kuwekeza zaidi na hivyo kuongeza ajira!! Sasa tungefanya hivyo kwa bidhaa nyingi UCHUMI wetu ungekua na vijana wetu wangepata ajira!!!
Unfortunately , tunazalisha vitu tusivyotumia na tunatumia vitu tusivyozalisha; hilo ndio tatizo letu!!!

Tupo ovyo ovyo
 
Izo ambazo zipo wanagawana mkuu.. nchi hii sio masikini kama tunavyopata baadhi ya hadith mkuu
Una elimu kiasi gani!!?..nimekuuliza tra wanaokusanya kiasi gani na bajeti kiasi gani!?..Kama Kuna upungufu huo upungufu u afidiwaje,we unaleta hekaya za nchi hii tajiri,nchi Ingekua tajiri miaka 60 ya Uhuru bado pangekua na shida ya vyumba vya madarasa na madawati!?
 
Yaan watu mkiwaaga ktk nafas za kulamba asali, utamu unawalevya na kuanza kusasimanga nyuki kwa kelele zao wapitapo.

Ila iko siku tyuuh, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Yaan watu mkiwaaga ktk nafas za kulamba asali, utamu unawalevya na kuanza kusasimanga nyuki kwa kelele zao wapitapo.

Ila iko siku tyuuh, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

[emoji23][emoji23][emoji23] siku iyo isyokuwa na jina [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom