Kwanini vijana wengi wanakuwa ‘jobless’?

Kwanini vijana wengi wanakuwa ‘jobless’?

Kwamba ajira zipo nyingi ila vijana wana tamaa wanamuibia boss badala ya kusubiri mshahara wao ?

Either unaishi miaka hamsini iliyopita (wakati demand ya human resources ilikuwa kubwa) au haujawahi kusikia kitu kinaitwa unemployment au upo out of touch...

Sijui ni kipi ila ulichoongelea hakina uhalisia...

Hakuna kipindi hapa Tanzania vijana hawachagui kazi kama sasa..., kuna kipindi kama miaka ishirini tu iliyopita watu walikuwa wanachagua kazi mtu kwenda ualimu, uaskari, jeshi au kuwa nurse mpaka ashikiwe bakora na kulazimishwa.., Tatizo sio vijana wa sasa bali watunga sera wa sasa wameshindwa kubadilika na wakati ili kuweza kutumia hii human resources ambayo ni future time bomb

Tujiajiri basi mkuu kama hajira hakuna
 
Cooper &white 1994 walikuja na theory ya Reform, wanasema bijana wanaathiriwa na mazingira wanayo ishi sambamba na malezi vitu ivi vinawasababisha kuwa na tabia isiyofaa ktk jamii

Sasa cooper na whites wanasema pia ni jukumu la jamii i kuja na interventions zitakazo wabadilisha hawa vijana ili wawe vijana wenye tija ktk jamii yao
Bila shaka wali-suggest interventions kadhaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona utakuwa humu ndio maana huelewi tatizo lililopo 😁

257459926_451987759619517_8831528382135701491_n.jpg
 
Habari zenu wakuu

Kumekuwa wimbi kubwa sana la vijana wasiokuwa na kazi wala vibarua mitaani zaidi ya kufanya day-work kwa kupata pesa ya kujikimu siku mbili tatu then ikiisha wanarudi tena kijiweni kwa kuangalia tena day-work na hawajui kama hilo ni tatizo kubwa sana la maendeleo yao.

Hiyo ndio inapelekea wingi wa vibaka na wapolaji wa mtaani kuanza tabia zisizofaa kwenye jamii na wazazi/walezi wao kuwaficha wanapofanya matukio kuto onyesha ushirikiano kwa polisi jamaii mpaka kwenye serikali kuu bila ya kujua kuwa mfuga mamba umtafuna mwenyewe.

Ndio haya mambo tunayoyasikia sasa hivi mara panya road mara sijui mamwitu na mawashawasha na makundi mengine ya ovyo ovyo na kupelekea kuwapoteza vijana wao kwa kuuliwa na raia wenye hasira kali kwa vitendo vyao visivyopendeza kwenye jamii mara wizi, uporaji mpaka uuaji na ubakaji.

Kazi/vibarua zipo nyingi sana ila vijana wengi wanapenda mafanikio ya haraka hawawezi kuvumilia mpaka siku za mishahara kupelekea kumuibia boss mpaka kufukuzwa makazini wamejawa na tamaa na hawajui kubana matumizi % ya vijana wengi mtaani kwenu ukiweza kuhesabu ni wajinga wajinga sana waelevu ni wachache sana wengi wavuta masigara, mabange mpaka kuwapelekea kuwa ma-adted wa maunga mpaka kuwapelekea kuwa na muonekana mbovu kushindwa mpaka kutoweza kuanzisha familia na kuilea uzuri.

Wanasababisha maisha yao kuwa magumu wao wenyewe kwa kukosa subra, uvumilivu.

Muhimu sana kuwatafuta watu wa kuwasaidia kujitambua kama wanajiona hawatoweza kujiongoza sio mpaka waharibikiwe.

Huruma sana kwa kijana/binti ukiwa haujielewi unaonekana kabsa anguko lako “ bila hata kutumia ramli au tambiko lolote.
Mkumbushe Mwanao kuwa Njia yake ikishanyooka Asithubutu kuwanyooshea vidole ambao Njia zao bado zina KONA.
 
Mkumbushe Mwanao kuwa Njia yake ikishanyooka Asithubutu kuwanyooshea vidole ambao Njia zao bado zina KONA.

Na uwakumbushe wapunguze mabenge na maunga kwa kuzisingizia stress kumbe wanachanganywa na mapenzi ya ovyo ovyo
 
Ukweli 100% ni tanzania pekee unakoweza kukuta kijana hajui atakula nini jioni lakini wakati huo anawaza kula tunda kimasihara,hopeless kabisa yaani tena sisi wenye karama ya kusaidia wahitaji tunachoka yaani kila siku wenye shida wanaongezeka
 
Tujiajiri basi mkuu kama hajira hakuna
Ni kujidanganya kama taifa kudhani kwamba kujiajiri ni rahisi, self employed / business inahitaji zaidi ya knowledge discipline na kutokukata tamaa jambo ambalo ni wachache wanalo, ndio maana wachache wanacreate employment kwa wengine (jambo ambalo kwa karne ya sasa linazidi kuwa gumu sababu labor force haiitajiki kama hapo awali kutokana na technology).., Fanya research kidogo tu utagundua kwamba a good number of business startups zinafail within first year...

Na hapo kwa Bongo bado biashara hazijawa saturated pale yatakapokuja ma-giants na ma-corporations hali itazidi kuwa tete (competition itaendelea kuwa stiff) hivyo kupelekea watu wengi zaidi kuchanganyikiwa na kuwa na mastress yasiyoisha...,

Watunga Sera wanahitaji to do better than what they are doing especially kwa nchi yenye vyanzo kama hii, na sio kumuachia kila mtu kivyake au kutegemea Hisani za Wamerakani.... (wakati nao wana matatizo yao)
 
Ni kujidanganya kama taifa kudhani kwamba kujiajiri ni rahisi, self employed / business inahitaji zaidi ya knowledge discipline na kutokukata tamaa jambo ambalo ni wachache wanalo, ndio maana wachache wanacreate employment kwa wengine (jambo ambalo kwa karne ya sasa linazidi kuwa gumu sababu labor force haiitajiki kama hapo awali kutokana na technology).., Fanya research kidogo tu utagundua kwamba a good number of business startups zinafail within first year...

Na hapo kwa Bongo bado biashara hazijawa saturated pale yatakapokuja ma-giants na ma-corporations hali itazidi kuwa tete (competition itaendelea kuwa stiff) hivyo kupelekea watu wengi zaidi kuchanganyikiwa na kuwa na mastress yasiyoisha...,

Watunga Sera wanahitaji to do better than what they are doing especially kwa nchi yenye vyanzo kama hii, na sio kumuachia kila mtu kivyake au kutegemea Hisani za Wamerakani.... (wakati nao wana matatizo yao)

Bro uza hata karanga usitake uanzie na mtaji wa mill-200
 
Ukweli 100% ni tanzania pekee unakoweza kukuta kijana hajui atakula nini jioni lakini wakati huo anawaza kula tunda kimasihara,hopeless kabisa yaani tena sisi wenye karama ya kusaidia wahitaji tunachoka yaani kila siku wenye shida wanaongezeka

Ah aha ha duuh
 
Bro uza hata karanga usitake uanzie na mtaji wa mill-200
Kwamba ni wauza karanga wangapi wanaweza ku-sustain maisha yao na kubaki na disposable income ? Na unaongelea wauza karanga wapi wenye mashamba kule kijijini ambao wateja sometimes ni wa kubahatisha na wakija walanguzi wanachukua mzigo kwa bei hafifu pesa ambayo haimalizi mwaka..

Au unaongelea wauza rejareja mtu anatembea kutwa nzima na akiuza sinia lote huenda anachopata kisitoshe hata kununulia kiatu ambacho soli itakuwa imekwisha mwisho wa mwaka ?

Ni kupotoka kudhani kwamba taifa linaweza kujengwa na wachuuzi au wote kuwa wachuuzi, tunahitaji kuwa na sera za watu wetu kuwa more productive na sio kudalaliana na kula cha juu au kutegemea majanga ya mwingine ili wewe ndio upate fursa..
 
Ukijaribu kujiajiri tu mwigulu na TRA wanakuja na tozo vibanda vya machinga havitakiwi boda hawaruhusiwi kuingia mjini unataka wafanye kazi gani sasa kama ww una pakujishikiza shukuru mungu.
 
Ukweli 100% ni tanzania pekee unakoweza kukuta kijana hajui atakula nini jioni lakini wakati huo anawaza kula tunda kimasihara,hopeless kabisa yaani tena sisi wenye karama ya kusaidia wahitaji tunachoka yaani kila siku wenye shida wanaongezeka
🤣🤣🤣
 
Mkuu sio mpaka ukae bungeni kama hao unawaowaona mkuu.. bakharesa alianza kushona viatu tu mkuu.. usijidharau
Kashone na wewe kama ni kazi rahisi,kijana kumbatia sana kazi uliyonayo isije kukutoroka mtaani maisha ni magumu watu wanaishi kwa mkate
 
Back
Top Bottom