Huwa tunauliza hilo swali kwa sababu za kiuchumi na kisaikolojia.
Ukisema ni Mkinga au Mbena tunajua unaweza kuwa mtu wa system maana ni wanoko sana na wamejazana huko. Ukisema ni Mkinga tunakaa na wewe kwa akili tukijua muda wowote unaweza kuwa mpinzani wa kiuchumi. Kuna makabila ukitutajia tunajua huyu atakuwa mvivu au ana matumizi mabaya ya pesa, kwa mfano Msambaa au Mngoni. Kuna makabila ukitutajia tunajua huyu ili tumkamate tumuweke mahali kuna wanawake wazuri atatufanyia kazi bure. Kuna makabila ukiyataja tunajua hapa hamna tunachopata ila tunasaidia tu mtu. Makabila mengine ukitutajia tunajua huyu atakuwa anapiga kazi sana kama Wasukuma, Wanyamwezi au Wanyakyusa.
Hilo swali ni "very technical" na ni muhimu sana kwetu.
Ukweli ni kuwa mwezi wa 12 huwa tukikutana tunajadili makabila yote kutokana na sehemu tunazoishi hivyo tunawajua wote vizuri sana.
Hata huku Uchagani huwa tunaulizana kama ni wa wapi ili tujue... Mrombo au Mkibosho-mzuri sana kwenye Biashara.
Muuru- Mcha Mungu ila anaamini kwenye uganga sana.
Mmachame- mzuri kwenye kilimo na ugugaji wa kisasa. Mkirua-Mshamba, Mmarangu- wavivu wanategemea uzuri wa dada zao kufanikiwa.
Bottom Line : hilo swali hatuwezi kuacha kuuliza. Ni swali muhimu sana.