Kwanini vijana wengi wanakuwa ‘jobless’?

Cooper &white 1994 walikuja na theory ya Reform, wanasema bijana wanaathiriwa na mazingira wanayo ishi sambamba na malezi vitu ivi vinawasababisha kuwa na tabia isiyofaa ktk jamii

Sasa cooper na whites wanasema pia ni jukumu la jamii i kuja na interventions zitakazo wabadilisha hawa vijana ili wawe vijana wenye tija ktk jamii yao
 
Cooper &white 1994 walikuja na theory ya Reform, wanasema bijana wanaathiriwa na mazingira wanayo ishi sambamba na malezi vitu ivi vinawasababisha kuwa na tabia isiyofaa ktk jamii

Sasa cooper na whites wanasema pia ni jukumu la jamii i kuja na interventions zitakazo wabadilisha hawa vijana ili wawe vijana wenye tija ktk jamii yao

Unatakiwa uanze kujisaidia wewe mwenyewe then watu wapembeni watakushika mkono kwa msaada zaidi kwani wakisema wakusaidie kabla wewe mwenyewe haujakubali haitosaidia.. hatufanikiwi kwa kupewa msaada tunafanikiwa kwa kuutumia vizuri huo msaada
 
Kwamba ukiwa jobless inapelekea uwe kibaka? Huu ni uongo.

Sijawahi kua kibaka. Marafiki zangu hawajawahi kua vibaka.

Kwamba hatujui kuweka akiba? Elfu tano kwa siku unatakiwa kula wewe na watoto na mke unataka nisave vipi?

Kaka yangu alikua ananisemea kwa mama kwamba siweki akiba huku ananilipa (nilikua namsaidia kazi zake) jamaa ananilipa elfu tatu, natakiwa kula asubuhi, mchana na jioni na watoto na mke wanatakiwa kula pia.

Ofisi ipo Makumbusho mimi naishi Buza. Kwahiyo hiyo elfu tatu inaishia kwenye nauli kwanza hapo bado familia haijala.

Kwa unavyoandika hapa sitashangaa kua wewe ni kaka yangu. Umeandika ujinga sana.
 
Kwamba ajira zipo nyingi ila vijana wana tamaa wanamuibia boss badala ya kusubiri mshahara wao ?

Either unaishi miaka hamsini iliyopita (wakati demand ya human resources ilikuwa kubwa) au haujawahi kusikia kitu kinaitwa unemployment au upo out of touch...

Sijui ni kipi ila ulichoongelea hakina uhalisia...

Hakuna kipindi hapa Tanzania vijana hawachagui kazi kama sasa..., kuna kipindi kama miaka ishirini tu iliyopita watu walikuwa wanachagua kazi mtu kwenda ualimu, uaskari, jeshi au kuwa nurse mpaka ashikiwe bakora na kulazimishwa.., Tatizo sio vijana wa sasa bali watunga sera wa sasa wameshindwa kubadilika na wakati ili kuweza kutumia hii human resources ambayo ni future time bomb
 
Back
Top Bottom