Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Huku kutoka mikeka mfululizo napo sio bure, Ukimsikiliza vizuri msajili wa hazina anavyosema kuwa wanataka kuwaachia makampuni ya Umma kujiendesha bila ya kuingiliwa na Serikali! Napata mashaka muda si mrefu Taasisi zinazojitegemea kwa mapato zitarudi kuendesha saili kama mwanzo..

Kutolea mfano wa Vyuo vikuu, hii ni Greenlight huenda vyuo vikuu vikaanza kuendesha saili kama ilivyokuwa zamani..

Tuendelee na maombi..
Basi watoe mikeka yote na Data base yote tumalize biashara ,uanze huo mfumo
wao sasa , ijulikanee moja .Kuliko hivi watu hawaelewi kipi ni kipi .
 
Huku kutoka mikeka mfululizo napo sio bure, Ukimsikiliza vizuri msajili wa hazina anavyosema kuwa wanataka kuwaachia makampuni ya Umma kujiendesha bila ya kuingiliwa na Serikali! Napata mashaka muda si mrefu Taasisi zinazojitegemea kwa mapato zitarudi kuendesha saili kama mwanzo..

Kutolea mfano wa Vyuo vikuu, hii ni Greenlight huenda vyuo vikuu vikaanza kuendesha saili kama ilivyokuwa zamani..

Tuendelee na maombi..
Hili jambo linawezekana kwa aslimia kubwa, kwamaana ukifuatia uwanja wa matangazo psrs yamepungua sana na sio kwaida yao psrs, kikubwa maombi yaendelee kuepusha hili.
 
Hili jambo linawezekana kwa aslimia kubwa, kwamaana ukifuatia uwanja wa matangazo psrs yamepungua sana na sio kwaida yao psrs, kikubwa maombi yaendelee kuepusha hili.
Vijana mnapaniki bure.

Mnaonekana mmeanza kuufuatilia huu uzi juzi.

Ajira portal inaenda kwa trending kuna muda mwezi mzima kunakuwa hamna Now post,placement wala interview.

Kusema taasisi za serikali zipewe mamlaka ya kuajiri wenyewe sahau hilo halitaweza kutokea kwa sasa.

Dhima ya sakratirieti ya ajira ni kusimamia michakato yote ya ajira na kama inatokea taasisi zinapewa mamlaka hiyo unadhani utumishi wa umma kazi yake itakuwa nini ?

Taasisi hazitaweza kupewa mamlaka ya kujisimamia kamwe.
 
Vijana mnapaniki bure.

Mnaonekana mmeanza kuufuatilia huu uzi juzi.

Ajira portal inaenda kwa trending kuna muda mwezi mzima kunakuwa hamna Now post,placement wala interview.

Kusema taasisi za serikali zipewe mamlaka ya kuajiri wenyewe sahau hilo halitaweza kutokea kwa sasa.

Dhima ya sakratirieti ya ajira ni kusimamia michakato yote ya ajira na kama inatokea taasisi zinapewa mamlaka hiyo unadhani utumishi wa umma kazi yake itakuwa nini ?

Taasisi hazitaweza kupewa mamlaka ya kujisimamia kamwe.
hujamsikiliza mchechu hapo juu?
 
Huku kutoka mikeka mfululizo napo sio bure, Ukimsikiliza vizuri msajili wa hazina anavyosema kuwa wanataka kuwaachia makampuni ya Umma kujiendesha bila ya kuingiliwa na Serikali! Napata mashaka muda si mrefu Taasisi zinazojitegemea kwa mapato zitarudi kuendesha saili kama mwanzo..

Kutolea mfano wa Vyuo vikuu, hii ni Greenlight huenda vyuo vikuu vikaanza kuendesha saili kama ilivyokuwa zamani..

Tuendelee na maombi..
Mama(rais) bora awaache PSRS angalau watoa matumain kwa vijana maskini ": afanye maboresho mapungufu yaliyopo na yanayosemwa na vijana...Maana
Hawa hawa wanaomwambia atoe usail PSRS ndo hao hao walikuwa wanasema tuunde PSRS na wakapitisha sheria kabisa...
 
Vijana mnapaniki bure.

Mnaonekana mmeanza kuufuatilia huu uzi juzi.

Ajira portal inaenda kwa trending kuna muda mwezi mzima kunakuwa hamna Now post,placement wala interview.

Kusema taasisi za serikali zipewe mamlaka ya kuajiri wenyewe sahau hilo halitaweza kutokea kwa sasa.

Dhima ya sakratirieti ya ajira ni kusimamia michakato yote ya ajira na kama inatokea taasisi zinapewa mamlaka hiyo unadhani utumishi wa umma kazi yake itakuwa nini ?

Taasisi hazitaweza kupewa mamlaka ya kujisimamia kamwe.
Tayari zimeshapewa mamlaka ya kuajiri zenyewe!!, labda cha maana ni kwamba PSRS ipewe jukumu la kuzisimamia ili zifuate sheria na taratibu zile zile zinazofuatwa na PSRS. Pia ni lazima ziweke matangazo yake kwenye tovuti ya PSRS. Vinginevyo yakachiwa yafanye yanavyotaka, vituko kama vilivyofanywa na TANROADS vitakuwa ni jambo la kawaida!!
 
Tayari zimeshapewa mamlaka ya kuajiri zenyewe!!, labda cha maana ni kwamba PSRS ipewe jukumu la kuzisimamia ili zifuate sheria na taratibu zile zile zinazofuatwa na PSRS. Pia ni lazima ziweke matangazo yake kwenye tovuti ya PSRS. Vinginevyo yakachiwa yafanye yanavyotaka, vituko kama vilivyofanywa na TANROADS vitakuwa ni jambo la kawaida!!
Mbona hili jambo muda mrefu tu lipo ila hawalitangazi, nimefanya usaili wa TPDC, TBC na NIRC taratibu zote wanafanya taasisi husika PSRS wao nikusimamia tu.
Naamini utaratibu utabakia huu huu.
 
Mbona hili jambo muda mrefu tu lipo ila hawalitangazi, nimefanya usaili wa TPDC, TBC na NIRC taratibu zote wanafanya taasisi husika PSRS wao nikusimamia tu.
Naamini utaratibu utabakia huu huu.
Sidhani kama walivyofanya TANROADS wamesimamiwa na PSRS!! Huo uhuru uliooneshwa na TANROADS ndio unaotia wasiwasi!! Tangazo la ajira linatoka likiwa backdated zikiwa zimebaki siku tatu tu kufika deadline ya kutuma maombi, halafu unaambiwa usitume kwa email!! Maana yake uipeleke posta!!
 
Sidhani kama walivyofanya TANROADS wamwsimamiwa na PSRS!! Huo uhuru uliooneshwa na TANROADS ndio unaotia wasiwasi!! Tangazo la ajira linatoka likiwa backdated zikiwa zimebaki siku tatu tu kufika deadline ya kutuma maombi, halafu unaambiwa usitume kwa email!! Maana yake uipeleke posta!!
Kuna taasisi bado hazijaingia kwenye system ya PSRS ikiwemo
TANROAD, EWURA, BOT nk hao wanaajiri wenyewe, na hapo ndipo inapobidi tupaze sauti zetu ili taasisi zote ziwe chini ya mwamvuli wa PSRS laa sivyo tutalia na kusaga meno
 
Ila hili la taasisi kutangaza , kufanyisha usaili na kuajiri zenyewe ni maafa ya mwaka. Tayari inaelekea taasisi zitakuwa zinaajiri zenyewe bila kupitia PSRS kama wakala. Ubovu wa kule ni kwamba, wanataarifiwa tu kibinafsi wale waliofanikiwa kuwa shortlisted! Kwa hiyo ukiomba halafu ukasikia kimya kwa muda mrefu (kama ilivyotokea kwa TRA) ujue kuwa hujafanikiwa!! Nimeangalia kwenye tovuti ya TANROADS nikakuta hayo mambo!! Wadau hapa mnaangalia PSRS tu kumbe kazi kibao zilishatangazwa huko na unaomba kwa kuandika barua kwa mkono!! Hawataki online application!! Kwanza ni gharama, pili ni usumbufu!! Ni gharama kwa sababu ili uwe na uhakika kuwa barua yako itafika salama, inabidi uitume kwa regester au kwa EMS!! Kwa jinsi attachments zilivyo nyingi, itagharimu zaidi ya 10,000/= kwa kila application!! Waliokuwa wanaombea taasisi ziajiri zenyewe, maombi yao yamesikiwa!!

JOB OPPORTUNITIES
01st August, 2023
Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is vested with the responsibility of Maintenanceand Development of Trunk and Regional Roads Networks in Tanzania Mainland. It is alsoresponsible in conducting Axle Load Control Operations using weighbridges scales.The Regional Manager TANROADS Mbeya on behalf of the Chief Executive TANROADS islooking for suitably qualified and competent Tanzanians to fill vacant positions available for Engineers, Social Welfare Officer and Accounts Officer as follows;..........................................,

Means of Applications
Please send your handwritten application letter, academic and birth certificates as well as comprehensive Curriculum Vitae (C.V) to the address shown below. Your application must be submitted not later than 14thAugust, 2023. Only successful candidates will be notified and invited for Interview.
THE REGIONAL MANAGER,TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY (TANROADS),
P. O. BOX 258,
MBEYA.​
Kwa taarifa zaidi, link hii hapa: https://www.tanroads.go.tz/common/uploads/vacancy/x6f817346c82e8782ac0004479cc23bf.pdf

Wamekusoma mkuu
  • A signed APPLICATION LETTER should be in English.
  • Deadline for the submission of application is 29 August,2023
  1. Only short-listed candidates will be informed for interview and;
  2. Presentation of forged certificates and other information will render to necessitate legal action;
ALL APPLICATIONS MUST BE POSTED TO THE ADDRESS BELOW;

Regional Manager,

TANROADS,

P.O BOX 97,

KIGOMA.


Email: rm-kigoma@tanroads.go.tz

NOTE: Hand delivery shall NOT be accepted.
 
Back
Top Bottom