busanji2003
JF-Expert Member
- Jul 6, 2016
- 589
- 1,243
sio wa mwenzi wa tatu hao.....wanaripoti kazin
sio wa mwenzi wa tatu hao.....wanaripoti kazin
sasa hivi kitu juu ya kitu sio mpaka vimulimuli vizimeKuna PDF huko,IT wa Sasa ni 🔥🔥
Hongera kwa wote walio pata, kiukweli kwa sasa psrs wamesikia kilio cha wengi.Watu walikuwa wanaandaa lunch na stress za ujobless,mara ghafla,wanajiona kweny mkeka,,hongera kwa walopata
Siku hizi MAMBO yamebadilika, unatakiwa uwe na NIN tu, ili kufungua AKAUNTI..tunahama kwenye kutembea na MAKARATASI.Ukiwa unafungua Account ya Benki, nyaraka zinazohitajika ni pamoja na Cheti cha kuzaliwa(huwa kuna majina 3 kwenye hiki cheti na ndio yanayoandikwa kwenye account namba).
Sasa kwenye vyeti majina yanatakiwa yafanane na ya kwenye cheti cha kuzaliwa, kwa hiyo yatafanana pia na majina ya Account number.
Kuhusu kutumia account yenye majina tofauti na ya kwenye vyeti sina uzoefu nalo ila kwa kuhakikisha taarifa ziwe sawa na wajue kuwa mwenye account ni fulani inabidi majina yafanane
Wamejitahidi sana....IT apewe hongera..hakika kilichozungumzwa Bungeni tunakiona ...Kwa trend ya placement PSRS wapewe maua yao
kabisa huyu jamaa inawezekana na yeye anapush kimtindo kutoka kwa pdf hadi weekend jamaa anaweka vitu.Hivi kwa nini tusichange siku ya birthday ya IT wa sasa tumnunulie keki
Mkuu bado hujachomokaa?kabisa huyu jamaa inawezekana na yeye anapush kimtindo kutoka kwa pdf hadi weekend jamaa anaweka vitu.
Lakini kama anaaccess ya kuwasumbua wanaokwamisha pdf za muda mrefu ili watu wao wanaojitolea waliokandwa waendelee kula bata alafu watu wanaishi kwa stress, apush waruhusu mikeka itoke. IT wetu hana baya pdf ikiwa tayari anaipress majobless tunaizoom chapu na kutoa shuhuda.
PLACEMENT UNAKAA MWAKA kama vile kazi tunapata wote, mambo ya ajabu sana haya.
Kuna watu wachawi wa chinichini wanajificha kwa kuvaa suti. 🚶🚶.
IT press button kwa pdf zilizopo usizibanie hazitagi hizo. Wewe ni mtu wetu.
Aisee na mimi leo zamu yanguMkuu bado hujachomokaa?
we acha wachelewe tu unawaambia wa nini..? 🤣 🤣 🤣
Congrats sana!Habari za wakati wana uzi kiukweli Mungu amenitendea nilofanya oral mwezi wa pili, lakin hatimae nimaelamba asali wizara ya maji
Both selected for all web and app. From database
Naamini wote mungu atatundea