Rahsully
Member
- Aug 2, 2023
- 23
- 50
Hiv kwenye Web wanaandika shortlisted au selected for oralHuku kumenijenga sana hasa nilipoona ile SELECT BOTH ..nikachek kwangu nikaona BOTH...na kweli ikawa..Msife moyo.
Hiv kwenye Web wanaandika shortlisted au selected for oralHuku kumenijenga sana hasa nilipoona ile SELECT BOTH ..nikachek kwangu nikaona BOTH...na kweli ikawa..Msife moyo.
Kama ulifanya oral pekeake bila written wanaandika shortlistedHiv kwenye Web wanaandika shortlisted au selected for oral
Siku imekata tukiwa bado majobless, no new updates today.
IT hadi muda huu kagoma kutufurahisha ngoja tusubiri dakika za nyongeza hiz had saa nne kama nyavu za placement zitatikisika.
IT unaanza kubadilika.
Nyumbani ni nyumbani hata kama ni poriniWatu wakishalamba asali wanakimbia kabisa ...naona kidogo Mwifwa, Mnajimu nyota, Lidendec kidogo wanakumbuka walikotoka
hhhhh tutausukuma hata tukiwa vitengo kama mwifwa haina shidaWewe inabidi uchelewe kidogo kupata placement ili usukume uzi sio kwa ubaya lakn au unasemaje kiongozi
Hahahaha IT wa sasa hivi sio yule wa zamani 😂😂😂 anacheza kama pele.
Dk za nyongeza amezitendea haki
Inabidi aweke pdf zenye page fulani hv nyingiHahahaha IT wa sasa hivi sio yule wa zamani anacheza kama pele.
IT ni mtu wetu. Timu jobless pure hana mbambamba.
Sasa hivi tarehe za pdf zimepangana ni matumaini kwamba na Leo pdf nyingine inaweza kuachiwa😂😂😂Hahahaha IT wa sasa hivi sio yule wa zamani 😂😂😂 anacheza kama pele.
IT ni mtu wetu. Timu jobless pure hana mbambamba.
1. Atafanya hivyo. Ataanzia pale psrs kivukoni wakizingua ndio apande Dom kuleArudi sekretalieti ya ajira (PSRS) alipopewa hiyo barua na kuwajulisha kuwa kule mliponipeleka wamenambia nafasi imejaa.
Psrs wakimzingua aende wizara ya utumishi, na wale ma officer wa chini wakimzingua aombe kuonana na katibu mkuu utumishi au kabla ajaenda awapigie wizara ya utumishi namba zao za huduma kwa wateja ni 026 216 0240
Wakzingua na huko aende kwa katibu mkuu kiongozi, maana hayo ni maisha asichukulie poa kabisa kuwakanda psrs sio jambo jepesi hivyi chance hazijirudii mara mbili
Kikizima tu kimuli muli ujue kuna kitu kinakuja 😅😅Sasa hivi tarehe za pdf zimepangana ni matumaini kwamba na Leo pdf nyingine inaweza kuachiwa😂😂😂
Je wizara ya ujenzi ni asali ya nyuki wadogo au wale wakubwa wakubwa?Kuna yeyote aliepata humu asali ya wizara ya ujenzi watu wa mwezi wa 6. Maana zamu ya mwezi wa 6 imefika hatimaye.
Dogo Kapata asali ya wizara ya ujenzi?Je wizara ya ujenzi ni asali ya nyuki wadogo au wale wakubwa wakubwa?
Hivi kweli wanaweza kukosa miradi ya ujenzi ya kutosha?
Maana wadau wanasema wizarani ni halmashauri iliyochangamka.
Waliopo huko watuletee feeback kuna dogo wangu mmoja yeye ni civil Engineer anataka feedback za huko.
Hivi PLACEMENT NI UTANI NAMNA HIYO KWELI?Hii iliwahi kujitokeza kipindi Cha nyuma,Kuna dogo mmoja alipangiwa halmashauri flan,Sasa alipoenda akakuta kwenye hiyo nafasi mtu mwingne amesharipot tyr,ilibidi arud Psrs,japo alikaa mno kusubir kituo kipya,akawa akawa anampigia simu waziri wa UTUMISHI kipindi hicho mchegerwa,lalamika mno mtaandaoni,kuwa haki yake imepokonywa,Ila baadae sana Psrs wakampangia TAWA
mie kuna jamaa yangu alipangiwa electrical engineer halmashauri.kufika kule akaambiwa hawaitaji electrical engineer wao walitaka civil.jamaa mpaka leo anafanya kazi za civil na ni electrical..1. Atafanya hivyo. Ataanzia pale psrs kivukoni wakizingua ndio apande Dom kule
2. Psrs, Wizara utumishi atafatilia
3. KATIBU MKUU KIONGOZI ndo mwisho wa mambo... Drama ni jinsi ya kumfikia/kumpata... I think ana movement sana unaweza kwenda Dom mnapishana tu yeye yupo Dar, zbar, mbeya.
I wish kupata tips namna ya kumfikia KMK.
QUESTION IS:
Mpaka jamaa anapangiwa placement si kibali kilikuwa approved at all level kwahiyo ni suala la kufinalise process tu za kiutumishi au ipoje wakuu? Kwamba asipo fatilia gap lake linaweza kutumiwa na wajanja?
Mwifwa, wizy, Blueprint 9 et al
Jamaa yako mpumbavu..mie kuna jamaa yangu alipangiwa electrical engineer halmashauri.kufika kule akaambiwa hawaitaji electrical engineer wao walitaka civil.jamaa mpaka leo anafanya kazi za civil na ni electrical..
Aiseeh hizi roho mbaya miongoni mwetu wabongo sijui zitaisha lini!!💥💥💥ANOTHER BIG VERY BIG PROBLEM YET💥💥💥
Aise kuna jamaa kapangiwa placement. Kachukua barua kule PSRS DODOMA na kuipeleka kwa mwajiri alikopangiwa
Mwajiri kakataa kumpokea anasema wao walihitaji mmoja tu ila utumishi (psrs) wamepeleka zaidi ya mmoja
Ameshauri arudi psrs kule.
Now
Hiyo imekaaje?
Mwifwa , mfwende sawadogo Twinawe wizy
alikula ban kisa uzi huu, akaja na id mpya na jah kablesi yupo kwenye utumishi wa ummaHuyu lermax3 mwanzilishi wa uzi naye alikuwaga analilia sana kipindi bado jobless saizi kama hayupo kabisa
Ataingiziwaje wakati hajapokelewasema si mshahara atakua anaingiziwa
Watamsaidia wale au ni ngoma nzito?Jamaa yako mpumbavu..
Kwanini asirudi utumishi kuwaeleza uoga wa kijinga
Afadhali yeye asali yake haikuathirika/pending, kuliko wale wanaokataliwa kukamilishiwa taratibu za ajira yao shida ikiwa ma Hr kuleta excuses.mie kuna jamaa yangu alipangiwa electrical engineer halmashauri.kufika kule akaambiwa hawaitaji electrical engineer wao walitaka civil.jamaa mpaka leo anafanya kazi za civil na ni electrical..