Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 736
- 2,162
Kupokelewa mtu haiwezi kuharibu utendaji kazi mzee labda kama wanatetea per diem zao tu lakini kusema utendaji utahatibika hapo sio kweli na kusema Kwamba kwasasa Kuna taasisi ambayo imejitisheleza wafanyakazi labda ikulu tu huku kwingine hapana aseeeh na hapo wanaomkazia ni hapo HR hebu ajaribu kuongea na mkurugenzi wa taasisi amueleze na changamoto endapo akiikosa hiyo nafasi nafikiri atampokea tu
Kaka mimi nina uzoefu wa kazi (Private sector) lakini pia nimefanya kazi za utawala japo mimi sio HR ila nimekuwa ni overseer wa evalaution wa majukumu yao.
Kumbuka kuover suppliy wafanyakazi kunapunguza utendaji kazi (kutegeana kunatokea hata matumizi ya resources yanakuwa makubwa).
Kumbuka hiyo Ikama (scheme) inakuwa imepitishwa na Menejimenti ya Taasisi kwa vikao halali na minutes zake zina sahihi kabisa ya Mkurugenzi hivyo Hr yeye anapewa maelekezo ya kuisimamia na kuifuta kuhakikisha utekelezaji wake umefuatwa.
Katika kufanya performance evaluation wakikuta kuna kasoro za kiutendaji lazima watarudi kwenye Ikama kama mwongozo na hapo moja kwa moja HR ndio atawajibishwa kwa kutosimamia.
Solution ni wewe Mwajiriwa mpya kuwahi kuripoti kituoni, yani hata kama upo busy kisi gani bora utafute nauli uende mapema kuripoti hapo utakuwa booked.
Sio unakaa week hapo unakuta wenzako waliowahi ndio wamechukuliwa ma wewe uanrudishwa utumishi kupigwa vumbi mtaani hadi pdf nyingine ije itoke mzee lazima uwe umeshasanda mtaa.