Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kupokelewa mtu haiwezi kuharibu utendaji kazi mzee labda kama wanatetea per diem zao tu lakini kusema utendaji utahatibika hapo sio kweli na kusema Kwamba kwasasa Kuna taasisi ambayo imejitisheleza wafanyakazi labda ikulu tu huku kwingine hapana aseeeh na hapo wanaomkazia ni hapo HR hebu ajaribu kuongea na mkurugenzi wa taasisi amueleze na changamoto endapo akiikosa hiyo nafasi nafikiri atampokea tu

Kaka mimi nina uzoefu wa kazi (Private sector) lakini pia nimefanya kazi za utawala japo mimi sio HR ila nimekuwa ni overseer wa evalaution wa majukumu yao.

Kumbuka kuover suppliy wafanyakazi kunapunguza utendaji kazi (kutegeana kunatokea hata matumizi ya resources yanakuwa makubwa).

Kumbuka hiyo Ikama (scheme) inakuwa imepitishwa na Menejimenti ya Taasisi kwa vikao halali na minutes zake zina sahihi kabisa ya Mkurugenzi hivyo Hr yeye anapewa maelekezo ya kuisimamia na kuifuta kuhakikisha utekelezaji wake umefuatwa.

Katika kufanya performance evaluation wakikuta kuna kasoro za kiutendaji lazima watarudi kwenye Ikama kama mwongozo na hapo moja kwa moja HR ndio atawajibishwa kwa kutosimamia.

Solution ni wewe Mwajiriwa mpya kuwahi kuripoti kituoni, yani hata kama upo busy kisi gani bora utafute nauli uende mapema kuripoti hapo utakuwa booked.

Sio unakaa week hapo unakuta wenzako waliowahi ndio wamechukuliwa ma wewe uanrudishwa utumishi kupigwa vumbi mtaani hadi pdf nyingine ije itoke mzee lazima uwe umeshasanda mtaa.
 
Nimekuelewa mkuu. CLEAR kabisa. Upo vizuri sana.

Hata mimi sidhani yule HR amezengua on his own capacity, ofcourse i dont have a personal thing with the HR.

ARGUMENT
Sasa kama inatokea akawa over supplied than requested number,

Hiyo technically si kule utumishi wamepewa vibali na fungu la mshahara wamesha calculate sasa kama akimkubali huyo HR atapoteza nini? Implication ni kwamba kama amekataliwa hapo atapangwa kwingine maana fungu lake tayar au ipoje mkuu??? Au hiyo means hes just a loser??? Congressman

Sekretarieti ya Ajira haihusiki na mishahara (Fungu/tengo).
 
Yani kibali hata kama waliomba watu wawili wakaja 4 ni sawa kwakua wote walioletwa Wana vigezo vinavyohitaji lakini ma hr wanakunja tu aongee na mkurugenzi mkuu wa taasisi halafu aone kama atamkataa
So far amemchek Hr tu hajaonana na Mkurugenzi.
Barua nakala imeanza na PS UTUMISHI=> KATIBU (TUME YA UTUMISHI WA UMMA) Ikaisha na MKURUGENZI WA TAASISI
Ngoja kesho apite utumishi kivukoni alafu if necessary amuone mkurugenzi na lastly aendelee kule Dom
 
Taarifa zinatumwa mwezi kabla ya PDF kutoka kwenye hiyo taasisi,so huyo HR alishindwa vipi kuwajibu Psrs kuwa watumishi wamezidi?hiyo ni roho mbaya tu,jamaa akazie aende kwa mkurugenzi asipoeleweka ,ikibidi avunje protocol awasiliane na waziri husika direct km anaipenda hiyo taasisi,apambanie haki yake asikubali hata kwa mtutu wa bunduki,atabaki kwa amri ya kisiasa na watamuogopa vibaya sana
 
Jobless mkipata kazi kumbukeni kufanya saving Kwa ajiri ya uwekezaji badae sio ukipata mshahara unatumia unaisha, Epuka pombe na bia zitakumalizia Hela pia muombe mungu akulinde peke Yako huwezi.

Msiogope kupangiwa nje na town huwa naona humu mnaponda sana nakaa kimya hamjui kitu maisha ya mjini ni gharama sana kuliko huko mnakokuponda mfano Kuna WILAYA hazipo mjini ila Zina huduma zote, mfano maji,umeme, mtandao, hospital, na gharama za maisha zipo chini kiasi mfano nyumba Zima yenye vyumba 3 kimoja master, na jiko + public toilet full tiles na umeme na kila kitu Kodi na laki tu Kwa mwezi hiyo nyumba Kwa Dar utalipa laki hata 5 wazeee, nyumba yenye vyumba viwili inakua kama 75k tu, chumba(self) na sebule 30 Kwa Dar ungelipa 150k

Upande wa vyakula asili kama kuku unapata Kwa 10k tu na nyanya za buku zinaweza zikakuozea ndani 🤣🤣🤣

Nawashauli msichague mjini tu hakuna ishu huko Zaid ya club na kumbi za starehe hamtaweza kusave Hela na kununua gari pila mkopo

Mtunze afya pia hakuna Raha ya Hela ikiwa unaumwa

Cha mwisho naomba mnishauri gari la kununua🤣🤣( natania hapa Sina Hela)
 
Jobless mkipata kazi kumbukeni kufanya saving Kwa ajiri ya uwekezaji badae sio ukipata mshahara unatumia unaisha, Epuka pombe na bia zitakumalizia Hela pia muombe mungu akulinde peke Yako huwezi.

Msiogope kupangiwa nje na town huwa naona humu mnaponda sana nakaa kimya hamjui kitu maisha ya mjini ni gharama sana kuliko huko mnakokuponda mfano Kuna WILAYA hazipo mjini ila Zina huduma zote, mfano maji,umeme, mtandao, hospital, na gharama za maisha zipo chini kiasi mfano nyumba Zima yenye vyumba 3 kimoja master, na jiko + public toilet full tiles na umeme na kila kitu Kodi na laki tu Kwa mwezi hiyo nyumba Kwa Dar utalipa laki hata 5 wazeee, nyumba yenye vyumba viwili inakua kama 75k tu, chumba(self) na sebule 30 Kwa Dar ungelipa 150k

Upande wa vyakula asili kama kuku unapata Kwa 10k tu na nyanya za buku zinaweza zikakuozea ndani 🤣🤣🤣

Nawashauli msichague mjini tu hakuna ishu huko Zaid ya club na kumbi za starehe hamtaweza kusave Hela na kununua gari pila mkopo

Mtunze afya pia hakuna Raha ya Hela ikiwa unaumwa

Cha mwisho naomba mnishauri gari la kununua🤣🤣( natania hapa Sina Hela)
Ushauri mzuri sana🙏 nunua subaru mkuu😂
 
Wazee wa asali mpo🤣🤣
Tupo za masiku?
Jobless mkipata kazi kumbukeni kufanya saving Kwa ajiri ya uwekezaji badae sio ukipata mshahara unatumia unaisha, Epuka pombe na bia zitakumalizia Hela pia muombe mungu akulinde peke Yako huwezi.

Msiogope kupangiwa nje na town huwa naona humu mnaponda sana nakaa kimya hamjui kitu maisha ya mjini ni gharama sana kuliko huko mnakokuponda mfano Kuna WILAYA hazipo mjini ila Zina huduma zote, mfano maji,umeme, mtandao, hospital, na gharama za maisha zipo chini kiasi mfano nyumba Zima yenye vyumba 3 kimoja master, na jiko + public toilet full tiles na umeme na kila kitu Kodi na laki tu Kwa mwezi hiyo nyumba Kwa Dar utalipa laki hata 5 wazeee, nyumba yenye vyumba viwili inakua kama 75k tu, chumba(self) na sebule 30 Kwa Dar ungelipa 150k

Upande wa vyakula asili kama kuku unapata Kwa 10k tu na nyanya za buku zinaweza zikakuozea ndani 🤣🤣🤣

Nawashauli msichague mjini tu hakuna ishu huko Zaid ya club na kumbi za starehe hamtaweza kusave Hela na kununua gari pila mkopo

Mtunze afya pia hakuna Raha ya Hela ikiwa unaumwa

Cha mwisho naomba mnishauri gari la kununua🤣🤣( natania hapa Sina Hela)
Gari nunua Subaru mkuu.
 
Jobless mkipata kazi kumbukeni kufanya saving Kwa ajiri ya uwekezaji badae sio ukipata mshahara unatumia unaisha, Epuka pombe na bia zitakumalizia Hela pia muombe mungu akulinde peke Yako huwezi.

Msiogope kupangiwa nje na town huwa naona humu mnaponda sana nakaa kimya hamjui kitu maisha ya mjini ni gharama sana kuliko huko mnakokuponda mfano Kuna WILAYA hazipo mjini ila Zina huduma zote, mfano maji,umeme, mtandao, hospital, na gharama za maisha zipo chini kiasi mfano nyumba Zima yenye vyumba 3 kimoja master, na jiko + public toilet full tiles na umeme na kila kitu Kodi na laki tu Kwa mwezi hiyo nyumba Kwa Dar utalipa laki hata 5 wazeee, nyumba yenye vyumba viwili inakua kama 75k tu, chumba(self) na sebule 30 Kwa Dar ungelipa 150k

Upande wa vyakula asili kama kuku unapata Kwa 10k tu na nyanya za buku zinaweza zikakuozea ndani

Nawashauli msichague mjini tu hakuna ishu huko Zaid ya club na kumbi za starehe hamtaweza kusave Hela na kununua gari pila mkopo

Mtunze afya pia hakuna Raha ya Hela ikiwa unaumwa

Cha mwisho naomba mnishauri gari la kununua( natania hapa Sina Hela)
Upumbavu kijisifia kukaa sehemu cheap kisa maisha marahisi hatujaumbwa duniani kuridhika.

So acha tuwe na choice .

Mtaani kuna joto jamani.
 
Dah hatimae na mie nimelamba asali, baada ya mkeka wa Kaimu Katibu kucheka

usaili nilifanya mwezi wa Kwanza mwaka huu (2023) nikasahau na kusahau maana nilijua ndio basi tena sababu katika taasisi niliyoomba ina kamfumo flani hivi ka wenyewe kwa wenyewe kupeana michongo ila sasa ona jinsi Mungu alivyo mkuu mkeka umetoka nami nimo

Ile Napeleka barua, ofisi nzima wananiangalia na kuniuliza maswali ya uongo na ukweli, nikasema Mungu katenda miujiza sifa na shukrani zimrejee yeye, maana katika waliopenya ni wawili tu ndio hatukuwa kwenye ofisi hiyo

Wengine wote waliobakia ama walikuwa wanajitolea au walikuwa wana mikataba hapo hapo taasisini kwa muda mrefu tu

Acheni Mungu aitwe Mungu akiamua jambo hakuna wa kuzuia litatimia tu kwa wakati wake.

Background: niliomba mara saba nafasi mbali mbali za ajira portal kwenye taasisi mbalimbali ikiwemo MDA na LGA,

moja sikwenda kwa sababu ya kukosa nauli, mbili nilinasa kwenye written, mbili nilifika oral na ndio moja nimeitwa, na mbili bado pending kwenye mfumo nasubiri kuitwa kwa ajili ya usaili ila ndio hivyo tena mkeka ushatiki😁

Na mpaka kufanikisha Dodoma nimeenda mara 4 na simjui hata sekretari wa utumishi, ni Mungu tu kunipigania na maombi kama yote

Tusikate tamaa friends, tuendelee kupambana.
 
Dah hatimae na mie nimelamba asali, baada ya mkeka wa Kaimu Katibu kucheka

usaili nilifanya mwezi wa Kwanza mwaka huu nikasahau na kusahau maana nilijua ndio basi tena sababu katika taasisi niliyoomba ina kamfumo flani hivi ka wenyewe kwa wenyewe kupeana michongo ila sasa ona jinsi Mungu alivyo mkuu mkeka umetoka nami nimo

Ile Napeleka barua ofisi nzima wananiangalia na kuniuliza maswali ya uongo na ukweli, nikasema Mungu katenda miujiza sifa na shukrani zimrejee yeye, maana katika waliopenya ni wawili tu ndio hatukuwa kwenye ofisi hiyo

Wengine wote waliobakia ama walikuwa wanajitolea au walikuwa wana mikataba hapo kwa muda mrefu tu

Acheni Mungu aitwe Mungu akiamua jambo hakuna wa kuzuia litatimia tu kwa wakati wake.

Background: niliomba mara saba nafasi mbali mbali kwenye taasisi mbalimbali ikiwemo MDA na LGA, moja sikwenda kwa sababu ya kukosa nauli, mbili nilinasa kwenye written, mbili nilifika oral na ndio moja nimeitwa, na mbili bado pending kwenye mfumo nasubiri kuitwa kwa ajili ya usaili ila ndio hivyo tena mkeka ushatiki

Na mpaka kufanikisha Dodoma nimeenda mara 4 na simjui hata sekretari wa utumishi ni, Mungu tu kunipigania na maombi kama yote

Tusikate tamaa friends, tuendelee kupambana.
Hongera mkuu
 
Dah hatimae na mie nimelamba asali, baada ya mkeka wa Kaimu Katibu kucheka

usaili nilifanya mwezi wa Kwanza mwaka huu nikasahau na kusahau maana nilijua ndio basi tena sababu katika taasisi niliyoomba ina kamfumo flani hivi ka wenyewe kwa wenyewe kupeana michongo ila sasa ona jinsi Mungu alivyo mkuu mkeka umetoka nami nimo

Ile Napeleka barua ofisi nzima wananiangalia na kuniuliza maswali ya uongo na ukweli, nikasema Mungu katenda miujiza sifa na shukrani zimrejee yeye, maana katika waliopenya ni wawili tu ndio hatukuwa kwenye ofisi hiyo

Wengine wote waliobakia ama walikuwa wanajitolea au walikuwa wana mikataba hapo kwa muda mrefu tu

Acheni Mungu aitwe Mungu akiamua jambo hakuna wa kuzuia litatimia tu kwa wakati wake.

Background: niliomba mara saba nafasi mbali mbali kwenye taasisi mbalimbali ikiwemo MDA na LGA, moja sikwenda kwa sababu ya kukosa nauli, mbili nilinasa kwenye written, mbili nilifika oral na ndio moja nimeitwa, na mbili bado pending kwenye mfumo nasubiri kuitwa kwa ajili ya usaili ila ndio hivyo tena mkeka ushatiki

Na mpaka kufanikisha Dodoma nimeenda mara 4 na simjui hata sekretari wa utumishi ni, Mungu tu kunipigania na maombi kama yote

Tusikate tamaa friends, tuendelee kupambana.
Hongera sanaaaa
 
Back
Top Bottom