AccomplishedEntrepreneur
JF-Expert Member
- Feb 25, 2020
- 497
- 861
Huyo mtu kaomba instrument yoyote ya kupresent akirudi kule psrs Dom. Jamaa Hr akakaza . Muda wa kureport haujaexpire hadi ijumaa ya wiki hii ndo 14days zita lapseKiushauri labda huyo mtu angemwambia mwajiri ampe barua ya kuwajulisha psprs kwamba hawamuhitaji, kuliko kurudi hivihivi Bila uthibitisho wa mwajiri ya kwamba hawamuhitaji tena, maana psprs wanaweza kumwambia alichelewa kuriport kituo cha kazi ndio maana mwajiri amemkataa.maana katika hiyo barua ya mwajiri ndio ingekuwa na maelezo yote kwanini hawamuhitaji
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app