Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,372
- 5,142
Ukipata placement lazima barua yako pia iende kwa mwajiri kumtaarifu sasa tujiulize.ANOTHER BIG VERY BIG PROBLEM YET
Aise kuna jamaa kapangiwa placement. Kachukua barua kule PSRS DODOMA na kuipeleka kwa mwajiri alikopangiwa
Mwajiri kakataa kumpokea anasema wao walihitaji mmoja tu ila utumishi (psrs) wamepeleka zaidi ya mmoja
Ameshauri arudi psrs kule.
Now
Hiyo imekaaje?
Mwifwa , mfwende sawadogo Twinawe wizy
Barua yake ilienda kwa mwajiri au ilienda ya mtu mmoja?
Kama ilienda sidhani kama mwajiri ana mamlaka ya kumkataa mtumishi aliyepangiwa kama taratibu na vigezo vyote vimetimia